Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Salabi: Wakenya ‘hawasapoti’ wasanii wao

NA MWANDISHI WETU

MWANAMUZIKI wa muziki wa asili kutoka Kenya, Mandela Salabi, amewataka mashabiki na wadau wa muziki wa Kenya kuwatia moyo wasanii wao wanapotumbuiza katika matamasha ya nchini humo kama wafanyavyo Watanzania kwa wasanii wao.

Salabi amesema mashabiki wa muziki nchini Kenya wengi wao hawatoi hamasa wala hawajali wakifanyacho wasanii wao katika maonyesho yao tofauti na mashabiki wa Tanzania wakati wote huonekana kuvutiwa na kifanywacho na wasanii wao jukwaani.

“Kwetu Kenya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Wakenya wamkalia shingoni Victoria Kimani baada ya kuwaambia hawasupport wasanii wao

Victoria Kimani analihisi joto la hasira kutoka kwa wakenya walioanzisha hashtag #SomeoneTellVictoriaKimani baada ya juzi kuwalalamikia kuwa wamekuwa nyuma kuwaunga mkono wasanii wao. “Life without art is hell….how can the Kenyan youth not have an interest in the arts ? Who robbed us of our self expression?” alitweet Kimani. “Lupita had to travel and be […]

 

9 years ago

StarTV

Utendaji Wa Rais Magufuli wawafanya Wakenya kutamani awe Rais wao

Raia wa Kenya wamewataka Watanzania kutoa ushirikiano kwa Rais Dokta John Magufuli katika juhudi zake ya kupambana na Ufisadi na Ubadhilifu wa mali za umma anazoendelea kuzichukua tangu aapishwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba tano mwaka huu.

Wakenya hao wamesema kimsingi hata wao wanatamani kuwa na Rais  kama Dokta Magufuli kwa sababu ameonesha kuwa ni Mzalendo anayeipenda nchi yake na anayepigania maslahi ya wananchi masikini ambao kwa miaka kadhaa wamekosa fursa ya...

 

11 years ago

GPL

WASANII WALIVYOMPA NGUVU MWAKILISHI WAO BUNGENI

Mwakilishi wa wasanii kwenye bunge la katiba, Paul Mtenda akiwa kwenye picha ya pozi Dodoma. Hapa akiwa na mama watoto wake, Vanitha.…

 

10 years ago

GPL

WASANII WAJIVUNIA KIBA KUMKUBALI PRODYUZA WAO

Msanii Shaaban Seif ‘Shebbylove’ akiwa katika pozi. Aboubakar Athuman ‘Beckatittle’…

 

9 years ago

Bongo5

BASATA yawashauri wasanii kuwa makini na mashabiki wao

Baraza la Sanaa Taifa, BASATA limewataka wasanii kutumia vizuri mashabiki wa muziki wao ili kujenga muziki wao na sio kubomoa. Katibu mkuu wa BASATA, Godfey Mngereza akiwa na Diamond kwenye mapokezi yake baada ya kutoka Marekani, Alhamis hii Akizungumza na Bongo5 jana, katibu mkuu wa BASATA, Godfrey Mngereza , alisema moja ya vitu vinavyosababisha kutoelewana […]

 

9 years ago

Global Publishers

Wasanii wakongwe wa filamu wamtaka Mwakifwamba  aendelee  kuwa rais wao

1.Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho, Ahmed Olotu (Mzee Chilo) na Salome Sokoni (Mama Abdul.

Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho ‘Mashaka’, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ na Salome Sokoni ‘Mama Abdul’.

2.Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge 'Mama Abdul' aliyoko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.

Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge ‘Mama Abdul’ aliyeko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.

3.Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

4.Mkutano ukiendelea.

Mkutano ukiendelea.

WAKONGWE wa Filamu hapa nchini, wakiongozwa na Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ wamemtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba kugombea tena nafasi yake ya urais kwa mwaka 2015  ili awe...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol ashangazwa na club za Kenya kutocheza muziki wa wasanii wao

Miongoni mwa vitu vilivyomshangaza The King Of R&B Bongo, Ben Pol alipokuwa Kenya hivi karibuni ni jinsi muziki wa wasanii wa Kenya usivyopewa nafasi kwenye clubs za huko. Ben Pol ambaye aliungana na wanamuziki wengine wa Afrika katika msimu mpya wa kipindi cha Coke Studio Afrika jijini Nairobi, alisema kuwa alishangazwa kusikia wimbo mmoja tu […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi na Wasanii wa Vyama vya Mashirikisho ya Sanaa wasisitiza kuhusu ujio wa Ujumbe wao Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma

PIX 1.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET) Bw. John Kitime (kushoto) akiwahutubia waandishi wa Habari pamoja na Wasanii waliohudhuria mkutano uliofanyika mjini Dodoma 27 Agosti, 2014. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

VIONGOZI na Wasanii toka baadhi ya Vyama na Mashirikisho ya Sanaa nchini wameendelea kuhabarisha umma juu ya ujio wa Ujumbe wao wenye malengo mawili ya msingi ya kutaka wasanii kutambuliwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Warioba; tusiwe kama wao kwani wao sio sisi

MOJAWAPO ya vitu ambavyo naviogopa sana ninapotafakari hatima ya taifa letu huko mbeleni ni uwezekano kuwa tunaweza kubadilisha watawala bila kubadilisha utawala. Lugha ya kisiasa nchini imebadilika sana kiasi kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani