Salabi: Wakenya ‘hawasapoti’ wasanii wao
NA MWANDISHI WETU
MWANAMUZIKI wa muziki wa asili kutoka Kenya, Mandela Salabi, amewataka mashabiki na wadau wa muziki wa Kenya kuwatia moyo wasanii wao wanapotumbuiza katika matamasha ya nchini humo kama wafanyavyo Watanzania kwa wasanii wao.
Salabi amesema mashabiki wa muziki nchini Kenya wengi wao hawatoi hamasa wala hawajali wakifanyacho wasanii wao katika maonyesho yao tofauti na mashabiki wa Tanzania wakati wote huonekana kuvutiwa na kifanywacho na wasanii wao jukwaani.
“Kwetu Kenya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Jul
Wakenya wamkalia shingoni Victoria Kimani baada ya kuwaambia hawasupport wasanii wao
9 years ago
StarTV16 Dec
Utendaji Wa Rais Magufuli wawafanya Wakenya kutamani awe Rais wao
Raia wa Kenya wamewataka Watanzania kutoa ushirikiano kwa Rais Dokta John Magufuli katika juhudi zake ya kupambana na Ufisadi na Ubadhilifu wa mali za umma anazoendelea kuzichukua tangu aapishwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba tano mwaka huu.
Wakenya hao wamesema kimsingi hata wao wanatamani kuwa na Rais kama Dokta Magufuli kwa sababu ameonesha kuwa ni Mzalendo anayeipenda nchi yake na anayepigania maslahi ya wananchi masikini ambao kwa miaka kadhaa wamekosa fursa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgadGuNd6DdN4CuIGnN33wQD5ocpMg81eJYZwZIMkg4E-REuRODx0W-BHkcYmL833Xox2xXlL44XcrfYuw8N2dMD/MJUMBEWASHILIKISHOLAFILAMU6.jpg)
WASANII WALIVYOMPA NGUVU MWAKILISHI WAO BUNGENI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3Jd6sw05kkpdhIbEZqogBPF8Q5*qvFp7iyErU4ZTtnE0sMTqtvlslM2gwC*pH6yp0NfS0kOrf8pGUsNcT7TzEEX/IMG20150303WA0005.jpg?width=650)
WASANII WAJIVUNIA KIBA KUMKUBALI PRODYUZA WAO
9 years ago
Bongo516 Oct
BASATA yawashauri wasanii kuwa makini na mashabiki wao
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Wasanii wakongwe wa filamu wamtaka Mwakifwamba aendelee kuwa rais wao
Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho ‘Mashaka’, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ na Salome Sokoni ‘Mama Abdul’.
Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge ‘Mama Abdul’ aliyeko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
WAKONGWE wa Filamu hapa nchini, wakiongozwa na Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ wamemtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba kugombea tena nafasi yake ya urais kwa mwaka 2015 ili awe...
9 years ago
Bongo528 Aug
Ben Pol ashangazwa na club za Kenya kutocheza muziki wa wasanii wao
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Viongozi na Wasanii wa Vyama vya Mashirikisho ya Sanaa wasisitiza kuhusu ujio wa Ujumbe wao Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET) Bw. John Kitime (kushoto) akiwahutubia waandishi wa Habari pamoja na Wasanii waliohudhuria mkutano uliofanyika mjini Dodoma 27 Agosti, 2014. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
VIONGOZI na Wasanii toka baadhi ya Vyama na Mashirikisho ya Sanaa nchini wameendelea kuhabarisha umma juu ya ujio wa Ujumbe wao wenye malengo mawili ya msingi ya kutaka wasanii kutambuliwa...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Ya Warioba; tusiwe kama wao kwani wao sio sisi
MOJAWAPO ya vitu ambavyo naviogopa sana ninapotafakari hatima ya taifa letu huko mbeleni ni uwezekano kuwa tunaweza kubadilisha watawala bila kubadilisha utawala. Lugha ya kisiasa nchini imebadilika sana kiasi kwamba...