WASANII WAJIVUNIA KIBA KUMKUBALI PRODYUZA WAO
![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3Jd6sw05kkpdhIbEZqogBPF8Q5*qvFp7iyErU4ZTtnE0sMTqtvlslM2gwC*pH6yp0NfS0kOrf8pGUsNcT7TzEEX/IMG20150303WA0005.jpg?width=650)
Msanii Shaaban Seif ‘Shebbylove’ akiwa katika pozi. Aboubakar Athuman ‘Beckatittle’…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvXzJ70P4sM/XpVuImyF6fI/AAAAAAALm6E/OG5jeEZI3cc-1CAA7vgINF6NyhfLgRcxACLcBGAsYHQ/s72-c/cf4504b5-09e4-45f9-b077-2f7f8a6b7248.jpg)
ALI KIBA APATA PIGO, WASANII WAKE WAWILI WAMKIMBIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvXzJ70P4sM/XpVuImyF6fI/AAAAAAALm6E/OG5jeEZI3cc-1CAA7vgINF6NyhfLgRcxACLcBGAsYHQ/s320/cf4504b5-09e4-45f9-b077-2f7f8a6b7248.jpg)
Charles James, Michuzi TV
PIGO! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wasanii wawili, Killy na Cheesy kutoka Lebo ya Kings Music inayomilikiwa na Supastaa, Ali Kiba kutangaza kujitoa kwenye lebo hiyo.
Taarifa za kujitoa kwa wakali hao zimeanza kusambaa leo baada ya wasanii hao wenyewe kuandika kwenye mitandao yao ya Instagram lakini hawajaweka sababu za kujitoa kwao.
" Naitwa Ally Killy maarufu kama Lilly nikijulikana kama msanii wa Kings Music Records, napenda kuwajulisha fans wangu wote waliokua...
11 years ago
Bongo511 Jul
Ali Kiba:Nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Salabi: Wakenya ‘hawasapoti’ wasanii wao
NA MWANDISHI WETU
MWANAMUZIKI wa muziki wa asili kutoka Kenya, Mandela Salabi, amewataka mashabiki na wadau wa muziki wa Kenya kuwatia moyo wasanii wao wanapotumbuiza katika matamasha ya nchini humo kama wafanyavyo Watanzania kwa wasanii wao.
Salabi amesema mashabiki wa muziki nchini Kenya wengi wao hawatoi hamasa wala hawajali wakifanyacho wasanii wao katika maonyesho yao tofauti na mashabiki wa Tanzania wakati wote huonekana kuvutiwa na kifanywacho na wasanii wao jukwaani.
“Kwetu Kenya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgadGuNd6DdN4CuIGnN33wQD5ocpMg81eJYZwZIMkg4E-REuRODx0W-BHkcYmL833Xox2xXlL44XcrfYuw8N2dMD/MJUMBEWASHILIKISHOLAFILAMU6.jpg)
WASANII WALIVYOMPA NGUVU MWAKILISHI WAO BUNGENI
9 years ago
Bongo516 Oct
BASATA yawashauri wasanii kuwa makini na mashabiki wao
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Wasanii wakongwe wa filamu wamtaka Mwakifwamba aendelee kuwa rais wao
Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho ‘Mashaka’, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ na Salome Sokoni ‘Mama Abdul’.
Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge ‘Mama Abdul’ aliyeko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
WAKONGWE wa Filamu hapa nchini, wakiongozwa na Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ wamemtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba kugombea tena nafasi yake ya urais kwa mwaka 2015 ili awe...
9 years ago
Bongo528 Aug
Ben Pol ashangazwa na club za Kenya kutocheza muziki wa wasanii wao
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s72-c/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)
Wakati Wengine Wakitambulisha Wapenzi Wao Ali Kiba kaanza Mwaka kwa Kuwatambulisha Watoto wake kwa Mashabiki
![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s640/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)
10 years ago
Bongo522 Jul
Wakenya wamkalia shingoni Victoria Kimani baada ya kuwaambia hawasupport wasanii wao