Samia: Nina uzoefu na mambo ya uzazi
Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema anayaelewa matatizo ya wazazi kwa kuwa ameshajifungua watoto wanne hivyo ataweza kuyashughulikia vizuri iwapo chama hicho kitashinda kiti cha urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Dk Tulia Ackson: Sikubebwa bali nina uwezo na uzoefu wa kutosha
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Samia: Nitatumia uzoefu wa utalii kuibeba Kigoma
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/zjg0sWbML4M/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama
11 years ago
Habarileo15 Apr
'Vijana jitoleeni mpate uzoefu'
MOYO wa kujitolea kwa baadhi ya vijana haupo kutokana na wengi wao kutoandaliwa katika mazingira ya kuwahamasisha kujitolea na wengine kutopenda kufanya hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga wakati akifungua semina elekezi kwa vijana wa kujitolea 27.
9 years ago
Habarileo14 Nov
Uzoefu, busara kumbeba Spika
WABUNGE jana walianza kujisajili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 11 wiki ijayo, huku wengi wao wakitoa maoni ya sifa wanazozitaka kwa Spika mpya wa Bunge hilo, zikiwemo uzoefu, busara, kujua kanuni na mwenye utayari wa kuyakabili mabadiliko.
11 years ago
Habarileo07 Jan
Ashauri watumie uzoefu wa ASP
AKINAMAMA wa CCM pamoja na jumuiya zake wametakiwa kutumia uzoefu wa wenzao wa Chama cha Afro Shirazi Party (ASP), ambao walipata mafanikio makubwa na kuendesha miradi yao kwa faida.
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Bunge la Katiba kupewa uzoefu na Wakenya