Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia: Nina uzoefu na mambo ya uzazi

Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema anayaelewa matatizo ya wazazi kwa kuwa ameshajifungua watoto wanne hivyo ataweza kuyashughulikia vizuri iwapo chama hicho kitashinda kiti cha urais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Tulia Ackson: Sikubebwa bali nina uwezo na uzoefu wa kutosha

Kwa zaidi ya wiki sasa jina la Dk Tulia Akson si geni masikioni mwa Watanzania kutokana na kutawala katika vyombo vya habari, Bungeni, mitandao ya kijamii na  hata katika vijiwe mbalimbali nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

Samia: Nitatumia uzoefu wa utalii kuibeba Kigoma

Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ameahidi kutumia uzoefu wake wa masuala ya utalii na ilani ya chama chake, kutangaza na kuinua utalii uliopo Kigoma wakiwamo sokwe mtu.     

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama

Uzazi ni suala la msingi linalotawala viumbe vyote vilivyo hai duniani.

 

11 years ago

Habarileo

'Vijana jitoleeni mpate uzoefu'

MOYO wa kujitolea kwa baadhi ya vijana haupo kutokana na wengi wao kutoandaliwa katika mazingira ya kuwahamasisha kujitolea na wengine kutopenda kufanya hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga wakati akifungua semina elekezi kwa vijana wa kujitolea 27.

 

9 years ago

Habarileo

Uzoefu, busara kumbeba Spika

WABUNGE jana walianza kujisajili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 11 wiki ijayo, huku wengi wao wakitoa maoni ya sifa wanazozitaka kwa Spika mpya wa Bunge hilo, zikiwemo uzoefu, busara, kujua kanuni na mwenye utayari wa kuyakabili mabadiliko.

 

11 years ago

Habarileo

Ashauri watumie uzoefu wa ASP

AKINAMAMA wa CCM pamoja na jumuiya zake wametakiwa kutumia uzoefu wa wenzao wa Chama cha Afro Shirazi Party (ASP), ambao walipata mafanikio makubwa na kuendesha miradi yao kwa faida.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu

>Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk Hamis Kigwangalla ametangaza kwa mara ya pili  kuwania urais wa Tanzania akitoa vipaumbele vitatu na kufafanua kuwa urais hauhitaji uzoefu.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba kupewa uzoefu na Wakenya

Wataalamu wawili kutoka nchi ya Kenya Jumanne ijayo watatoa semina na uzoefu wao kwa wajumbe wa Bunge la Katiba, namna nchi ilivyofanikiwa kutunga katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani