Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia: Nitatumia uzoefu wa utalii kuibeba Kigoma

Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ameahidi kutumia uzoefu wake wa masuala ya utalii na ilani ya chama chake, kutangaza na kuinua utalii uliopo Kigoma wakiwamo sokwe mtu.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Samia: Nina uzoefu na mambo ya uzazi

Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema anayaelewa matatizo ya wazazi kwa kuwa ameshajifungua watoto wanne hivyo ataweza kuyashughulikia vizuri iwapo chama hicho kitashinda kiti cha urais.

 

11 years ago

Michuzi

WANAHABARI KIGOMA NA UTALII WA NDANI

 Safari ya wanahabari toka Mkoani Kigoma kutembelea hifadhi ya Taifa ya arusha ikaanza   Wanahabri toka Mmkoa wa Kigoma wakiwa ndani ya hifadhi ya Taifa ya Arusha  Waandishi wa habri wa Mkoa wa Kigoma wakipata maelezo kuhusu hifadhi ya Taifa ya Arusha kutoka kwa Mhifadhi  Ikolojia Bi Maria Kirombo Mambo ya utalii wa ndani kwa wanahabri toka Kigoma ndani ya hifadhi ya Taifa ya Arusha yalikuwa kama hivi.(picha zote na Editha Karlo)

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA SULUHU AWASILI KIGOMA, WANANCHI WASIMAMISHA SHUGHULI KUMLAKI

Baadhi ya wananchi na wanaCCM wakiwa wamemsimamisha mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan Kata ya Igagala, Uvinza Mkoani Kigoma wakimtaka awasalimie kabla ya kuendelea na safari. Mgombea mwenza huyo wa CCM ameingia mkoani Kigoma kwa ziara ya kampeni kuinadi ilani ya CCM.
Baadhi ya Wananchi wakiwa wamesimama pemezoni mwa barabara kumlaki mgombea mwenza wa urais CCM alipokuwa akiwasili Mkoani Kigoma kufanya mikutano yake ya kampeni.Mgombea mwenza akizungumza na...

 

9 years ago

Vijimambo

NITATUMIA TOCHI KUFICHUA MAFISADI - CHUMI

mjumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Mufindi Bw Tovick Kahemele akimuombea kura mgombea udiwani kata ya Bomani Bw John Chota kulia Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Iringa Rose Tweve akimwaga sera Mgombea ubunge jimbo la Mafinga Bw Cosato Chumi kulia akisalimiana na mmoja kati ya wapiga kura wakeMgombea ubunge jimbo la Mufindi Kaskazin Bw Mahamudu Mgimwa akiwahutubia wananchi wakati wa mkutano wa Chumi Mjumbe wa NEC Mufindi Marcelina Mkini akiomba kura za CCM Mjumbe wa...

 

10 years ago

Mtanzania

AT: Nitatumia lugha ya Kihindi kwenye nyimbo zangu

AT...NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya kuweza kuitumia lugha ya Kihindi vizuri, msanii wa muziki wa mduara nchini, Ally Ramadhani ‘AT’ amesema anatamani kuimba mahadhi ya Kihindi.
AT alisema lugha Kihindi ikitumika katika wimbo inaleta hamasa wakati wa kuimba na kwa anayeisikiliza.
“Mara nyingi ninapokuwa nafanya mazoezi ya kuimba huwa najitahidi kuimba nyimbo za Kihindi na Kiingereza kwa pamoja zinanisaidia kuniongezea nguvu na kuzidi kuwa imara katika uimbaji wangu, napenda sana Kihindi,”...

 

10 years ago

Mwananchi

Amina Salum Ally: Nitatumia miaka mitano kujenga uchumi

Kwa mara ya pili Amina Salum Ally, anasimama kuomba kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Michuzi

wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akimpa zawadi ya kinyago Naibu Meya wa jiji la Seattle nchini Marekani Bi. Kim mara baada ya kumaliza mazungumzo yao. Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa akiongea katika ziara ya kutangaza vivutio vya utalii nchini katika jiji la Seattle nchini Marekani. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akipokea kitabu maalum...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI

IMG-20140704-WA0013Waziri wa Maliasili na utalii Mh. Lazaro Nyarandu akifungua rasmi mkutano wa 30 wa asasi ya wamiliki wa makampuni ya kusafirisha watalii TATO jijini Arusha hivi karibuni. IMG-20140704-WA0009Wadau mbalimbali wa utalii wakisikiliza mada kwa umakiniIMG-20140704-WA0004MAKAMPUNI ya kitalii hapa nchii yametakiwa kuutangaza kwa kiasi kikubwa utalii wa vivutio vyetu hapa nchini  ndani ya nchi pamoja na nje ya nchi ili kuwapa wanachi moyo wa kizalendo katika kujali vivutio walivyo navyo. Hayo yalisemwa juzi jijini Arusha na waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani