AT: Nitatumia lugha ya Kihindi kwenye nyimbo zangu
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya kuweza kuitumia lugha ya Kihindi vizuri, msanii wa muziki wa mduara nchini, Ally Ramadhani ‘AT’ amesema anatamani kuimba mahadhi ya Kihindi.
AT alisema lugha Kihindi ikitumika katika wimbo inaleta hamasa wakati wa kuimba na kwa anayeisikiliza.
“Mara nyingi ninapokuwa nafanya mazoezi ya kuimba huwa najitahidi kuimba nyimbo za Kihindi na Kiingereza kwa pamoja zinanisaidia kuniongezea nguvu na kuzidi kuwa imara katika uimbaji wangu, napenda sana Kihindi,”...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Nameless: Wasichana pendeni nyimbo zangu si mapenzi
NAIROBI, KENYA
STAA wa muziki nchini Kenya, David Mathenge (Nameless), amesema ubora wa nyimbo zake unasababisha apendwe na idadi kubwa ya wasichana warembo waliopo nchini humo bila kujali kwamba ni mume wa mtu.
Alisema ingawa asilimia 80 ya nyimbo zake ‘Juju’, ‘Deadly’ na ‘Butterfly’ hulenga wasichana, waishie kuzipenda nyimbo hizo na si zaidi ya hapo kwa kuwa anaiheshimu na kuijali ndoa yake.
“Sina uhakika kama wanapenda kazi zangu tu, kwa kuwa kuna wengine wanaonekana kuwa na...
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Kleyah: Lugha ya Kiswahili inavutia kwenye muziki
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKALI wa wimbo wa ‘Msobe Msobe’, Claire Pamela Kamahoro ‘Kleyah’ ameweka wazi kwamba wasanii wa Tanzania wana nafasi kubwa ya kupata mafanikio kimataifa kwa kuwa lugha ya Kiswahili wanayoitumia katika nyimbo zao inapendwa na watu wa mataifa mbalimbali.
Msanii huyo katika wimbo huo aliomshirikisha mkali wa sauti, mpigaji vyombo mbalimbali vya muziki nchini na mmiliki wa studio ya High Table Sound, Barnaba Elias ‘Barnaba Boy’, umezua mengi huku wengi wakimfananisha na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_3115.jpg?width=650)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU NA MAADILI KWENYE KAMPENI
9 years ago
Bongo509 Dec
Tutawalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao redio na kwenye TV – Ruge
![Ruge](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ruge-300x194.jpg)
Mmoja kati ya wadau wakubwa wa muziki hapa nchini na Mkurugenzi wa Uzalishaji na vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema ujio wa kampuni ya kusimamia hakimiliki za kazi za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) wakishirikiana na Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA), utasaidia vituo vya redio na runinga kushindwa kukwepa kulipa mirahaba inayotokana na upigwaji wa nyimbo za wasanii.
Akizungumza na CMEA hivi karibuni, Ruge alisema mfumo huo mpya utawasaidia...
9 years ago
VijimamboNITATUMIA TOCHI KUFICHUA MAFISADI - CHUMI
9 years ago
Bongo510 Nov
Nahreel aeleza maana ya ‘Above In A Minute’ ambayo husikika kwenye nyimbo za Navy Kenzo
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/04/Nahreel-200x200.jpeg)
Ukisikiliza baadhi ya nyimbo za kundi la Navy Kenzo ikiwemo ‘Game’ kuna maneno wanapenda kuyasema, “Above In A Minute”, lakini inawezekana hujui ni kwasababu gani wanapenda kuyatumia au yana maana gani kwao.
Mbali na nyimbo, hata post zao za mitandao ya kijamii, Nahreel na aika huwa wanaweka hashtag ya #AboveInAMinute kwenye post zao nyingi.
Mwimbaji wa Navy Kenzo ambaye pia ni producer wa The Industry, Emmanuel Mkono maarufu kama Nahreel amesema kuwa “ABOVE IN A MINUTE” ni jina la...
10 years ago
Bongo502 Dec
Nicki Minaj ataja nyimbo zitakazokuwepo kwenye ‘The Pinkprint’, upo aliomshirikisha Beyonce
9 years ago
Bongo521 Sep
Hemedy PHD atoa orodha ya nyimbo 18 zitakazokuwepo kwenye album yake ya ‘Virgo’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIFpjuN0avCdAwpfrxdbA57whb4vMYtS9brvxDDDyNZSYpHJV2aoRB2EjaKrJbwYNywpEypnvxgDAWayYRaMeYx5/MsichanawaKihindiakiwachiniyaulinzibaadayakukamatwa.jpg?width=650)
WASICHANA WA KIHINDI WANASWA WAKIJIUZA