Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NITATUMIA TOCHI KUFICHUA MAFISADI - CHUMI

mjumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Mufindi Bw Tovick Kahemele akimuombea kura mgombea udiwani kata ya Bomani Bw John Chota kulia Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Iringa Rose Tweve akimwaga sera Mgombea ubunge jimbo la Mafinga Bw Cosato Chumi kulia akisalimiana na mmoja kati ya wapiga kura wakeMgombea ubunge jimbo la Mufindi Kaskazin Bw Mahamudu Mgimwa akiwahutubia wananchi wakati wa mkutano wa Chumi Mjumbe wa NEC Mufindi Marcelina Mkini akiomba kura za CCM Mjumbe wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kufichua mafisadi salama ya CCM- Abdulrahman Kinana

>Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema kitu kitakachokiokoa chama hicho ni wanachama kutowafumbia macho wezi na mafisadi akisisitiza kuwa kulindana na upole kutakiangamiza chama hicho kikongwe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumia tochi kuzalisha wajawazito

WAUGUZI wa Zahanati ya Kivukoni, Kata ya Minepa, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, wanalazimika kutumia tochi kushona majeraha na kuzalisha wajawazito wanaofika kupata huduma usiku. Afisa afya zahanati hiyo, Costansia...

 

9 years ago

Mwananchi

Samia: Nitatumia uzoefu wa utalii kuibeba Kigoma

Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ameahidi kutumia uzoefu wake wa masuala ya utalii na ilani ya chama chake, kutangaza na kuinua utalii uliopo Kigoma wakiwamo sokwe mtu.     

 

10 years ago

Mtanzania

AT: Nitatumia lugha ya Kihindi kwenye nyimbo zangu

AT...NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya kuweza kuitumia lugha ya Kihindi vizuri, msanii wa muziki wa mduara nchini, Ally Ramadhani ‘AT’ amesema anatamani kuimba mahadhi ya Kihindi.
AT alisema lugha Kihindi ikitumika katika wimbo inaleta hamasa wakati wa kuimba na kwa anayeisikiliza.
“Mara nyingi ninapokuwa nafanya mazoezi ya kuimba huwa najitahidi kuimba nyimbo za Kihindi na Kiingereza kwa pamoja zinanisaidia kuniongezea nguvu na kuzidi kuwa imara katika uimbaji wangu, napenda sana Kihindi,”...

 

9 years ago

Mtanzania

Jaji atumia tochi ya simu kurekodi kumbukumbu

wakiliNA JANETH MUSHI, ARUSHA

JAJI Gadi Mjemas wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, amelazimika kutumia tochi ya simu kuandika taarifa za kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Wakili Median Mwale na wenzake watatu baada ya umeme kukatika mara mbili wakati kesi hiyo ikiendelea.

Hali hiyo ilitokea juzi wakati mawakili wa pande mbili wakibishana kisheria ambapo ghafla umeme ulikatika na kulazimu kutumia tochi za simu zao huku askari polisi akitumia simu yake kummulikia Jaji Mjemas aweze...

 

10 years ago

Mwananchi

Amina Salum Ally: Nitatumia miaka mitano kujenga uchumi

Kwa mara ya pili Amina Salum Ally, anasimama kuomba kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

Mwananchi

TOCHI YA MOROGORO : Vifo vya wakulima, wafugaji Moro vitakomeshwa lini?

Septemba 15 mwaka huu katika Kijiji cha Tindiga, Tarafa ya Masanze Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro, mkulima mmoja aliyeuawa kwa kushambuliwa na watu wawili wanaosadikiwa kuwai wafugaji wa jamii Kimasai baada ya kulisha ng’ombe zao kwenye shamba lake.

 

9 years ago

CCM Blog

COSATO CHUMI AMALIZA TATIZO LA VITANDA HOSPITAL YA MAFINGA MJINI


Pichani Mbunge wa jimbo la Mafinga mji ni Cotato chumi akimkabidhi msaada wa  vitanda ,magodoro pamoja na vifaa mbalimbali  kaimu mganga mkuu wa hospitali ya Mafinga dk Abdul Msuya juzi  baadhi ya waandishi wa habari wakifuatiliwa ugawaji wa vifaa hivyo wakati wa makabidhiano
 Mbunge wa Mafinga mjini Cosato Chumi akikabidhi vifaa hivyo kwa vitendo
Baadhi ya wadau na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM walihudhulia tukio hilo 
TATIZO la upungufu wa vitanda katika wodi ya akina mama na watoto...

 

10 years ago

Michuzi

mdau cosato david chumi aibuka kidedea kura za maoni

 Mdau mkubwa wa Globu ya Jamii Cosato David Chumi ambaye ni afisa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akielekea jukwaani kuwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea katika kura za maoni katika kugombea Ubunge jimbo jipya la Mafinga mjini mkoani Iringa kwenye hafla iliyofanyika katika uwanja wa Changarawe.  Jimbo hilo limemegwea kutoka iliyokuwa Mufindi Kaskazini na kata moja ya Bumilayinga toka Mufindi Kusini na kuwa Mafinga mjini Mdau mkubwa wa Globu ya Jamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani