NITATUMIA TOCHI KUFICHUA MAFISADI - CHUMI
mjumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Mufindi Bw Tovick Kahemele akimuombea kura mgombea udiwani kata ya Bomani Bw John Chota kulia
Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Iringa Rose Tweve akimwaga sera
Mgombea ubunge jimbo la Mafinga Bw Cosato Chumi kulia akisalimiana na mmoja kati ya wapiga kura wake
Mgombea ubunge jimbo la Mufindi Kaskazin Bw Mahamudu Mgimwa akiwahutubia wananchi wakati wa mkutano wa Chumi
Mjumbe wa NEC Mufindi Marcelina Mkini akiomba kura za CCM
Mjumbe wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Kufichua mafisadi salama ya CCM- Abdulrahman Kinana
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Watumia tochi kuzalisha wajawazito
WAUGUZI wa Zahanati ya Kivukoni, Kata ya Minepa, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, wanalazimika kutumia tochi kushona majeraha na kuzalisha wajawazito wanaofika kupata huduma usiku. Afisa afya zahanati hiyo, Costansia...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Samia: Nitatumia uzoefu wa utalii kuibeba Kigoma
10 years ago
Mtanzania04 May
AT: Nitatumia lugha ya Kihindi kwenye nyimbo zangu
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya kuweza kuitumia lugha ya Kihindi vizuri, msanii wa muziki wa mduara nchini, Ally Ramadhani ‘AT’ amesema anatamani kuimba mahadhi ya Kihindi.
AT alisema lugha Kihindi ikitumika katika wimbo inaleta hamasa wakati wa kuimba na kwa anayeisikiliza.
“Mara nyingi ninapokuwa nafanya mazoezi ya kuimba huwa najitahidi kuimba nyimbo za Kihindi na Kiingereza kwa pamoja zinanisaidia kuniongezea nguvu na kuzidi kuwa imara katika uimbaji wangu, napenda sana Kihindi,”...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Jaji atumia tochi ya simu kurekodi kumbukumbu
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
JAJI Gadi Mjemas wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, amelazimika kutumia tochi ya simu kuandika taarifa za kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Wakili Median Mwale na wenzake watatu baada ya umeme kukatika mara mbili wakati kesi hiyo ikiendelea.
Hali hiyo ilitokea juzi wakati mawakili wa pande mbili wakibishana kisheria ambapo ghafla umeme ulikatika na kulazimu kutumia tochi za simu zao huku askari polisi akitumia simu yake kummulikia Jaji Mjemas aweze...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Amina Salum Ally: Nitatumia miaka mitano kujenga uchumi
9 years ago
Mwananchi23 Sep
TOCHI YA MOROGORO : Vifo vya wakulima, wafugaji Moro vitakomeshwa lini?
9 years ago
CCM BlogCOSATO CHUMI AMALIZA TATIZO LA VITANDA HOSPITAL YA MAFINGA MJINI
Pichani Mbunge wa jimbo la Mafinga mji ni Cotato chumi akimkabidhi msaada wa vitanda ,magodoro pamoja na vifaa mbalimbali kaimu mganga mkuu wa hospitali ya Mafinga dk Abdul Msuya juzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jd8oLZZQz_E/VmAYYxl67sI/AAAAAAAABGc/NWYH0ED0_tE/s640/IMG_20151201_122733.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wvZw31T1l00/VmAYZ-g0onI/AAAAAAAABGk/C35xb99iGd4/s640/IMG_20151201_124445.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhLhoGprqHY/VmAYkpCpmfI/AAAAAAAABG0/J7OIPRxTJps/s640/IMG_20151201_124509.jpg)
TATIZO la upungufu wa vitanda katika wodi ya akina mama na watoto...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
mdau cosato david chumi aibuka kidedea kura za maoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MiDynH1WFaA/VcAxLTbXnrI/AAAAAAAHttw/RQsP45oWGbE/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)