Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASICHANA WA KIHINDI WANASWA WAKIJIUZA

Msichana wa Kihindi akiwa chini ya ulinzi baada ya kukamatwa Mmoja wa wamiliki wa Kasino hiyo Wasichana 16 wa kihindi walinaswa wakijiuza katika moja ya makasino yaliyopo jijini hapa  alhamisi majira ya 12:30 usiku, ambapo walikamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi cha…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la vyakula vya Kihindi Jumapili

TAMASHA la vyakula vya Kihindi lenye lengo la kuongeza urafiki miongoni mwa Watanzania wanaovutiwa na vyakula hivyo linatarajiwa kufanyika viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam keshokutwa. Akizungumza na...

 

10 years ago

Mtanzania

AT: Nitatumia lugha ya Kihindi kwenye nyimbo zangu

AT...NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya kuweza kuitumia lugha ya Kihindi vizuri, msanii wa muziki wa mduara nchini, Ally Ramadhani ‘AT’ amesema anatamani kuimba mahadhi ya Kihindi.
AT alisema lugha Kihindi ikitumika katika wimbo inaleta hamasa wakati wa kuimba na kwa anayeisikiliza.
“Mara nyingi ninapokuwa nafanya mazoezi ya kuimba huwa najitahidi kuimba nyimbo za Kihindi na Kiingereza kwa pamoja zinanisaidia kuniongezea nguvu na kuzidi kuwa imara katika uimbaji wangu, napenda sana Kihindi,”...

 

10 years ago

Bongo5

Filamu mpya ya JB ‘Mzee wa Swagga’ ni kopi 100% ya filamu ya kihindi

Kwa mara ya kwanza muigizaji na muongozaji mahiri wa filamu nchini ameingia kwenye skendo ya kugeza filamu ya nje na kutengeneza filamu yake iitwayo ‘Mzee wa Swagga’. Issue hiyo ilianza kujulikana kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo kwa mujibu wa mtangazaji Zamaradi Mketema, shabiki mmoja wa show hiyo alimweleza kufanana kwa filamu […]

 

10 years ago

Bongo5

Ni kweli nimekopi filamu ya kihindi — mwandishi wa filamu mpya ya JB

Mwandishi filamu za Jacob ‘JB’ Stephen, Daniel Manege amemtetea muigizaji huyo kuwa hakuwa na makosa ya kuigiza filamu ya ‘Mzee wa Swagga’ ambayo ni kopi ya filamu ya kihindi, Ladies Vs Ricky Bahl. Manege aliyeiandika filamu hiyo pamoja na zingine zikiwemo Dereva Taxi, Nakwenda kwa Mwanangu, Shikamoo Mzee, Bado Natafuta zingine, ameandika ujumbe kupitia Facebook […]

 

11 years ago

GPL

MAJANGILI WANASWA

Majangili waliokamatwa wakiwa chini ya ulinzi. Swala aliyeuawa na majangili hao. WIMBI…

 

11 years ago

GPL

WATOTO WANASWA GESTI!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
KWELI ni watoto! Wanafunzi wawili, wa kike ana miaka 14  (darasa la saba), wa kiume miaka 15 (kidato cha kwanza) mjini hapa wanadaiwa kukutwa ndani ya gesti moja ikisemekana walikuwa na lengo la kuivunjilia mbali amri ya sita ya Mungu. Binti huyo akidhibitiwa na polisi. Tukio hilo lililojaza umati lilijiri hivi karibuni katika gesti hiyo ambayo inadaiwa haina usajili halali iliyopo jirani...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wanaswa na meno ya tembo


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
WATU watano wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma  ya  kukutwa na vipande vinane  vya  meno  ya  tembo, vikiwa vimevificha kwenye dumu la  mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema tukio  hilo lilitokea jana, saa 2:30 usiku katika eneo  la  Daraja Mbili, barabara  ya  kwenda Mikumi wilayani Kilosa.
Alisema watuhumiwa hao walikamatwa na polisi kwa kushirikiana na askari wa  wanyamapori, waliokuwa kwenye  doria.
Paul alisema  watu  hao walichukua...

 

9 years ago

GPL

LUNGI, FERGUSON WANASWA

Rapa Saulo John ‘Ferguson’ akiwa na  Lungi Maulanga. Issa Mnally Rapa mahiri wa bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa ya jijini Dar es Salaam Saulo John ‘Ferguson’ mwishoni mwa wiki iliyopita alinaswa na Lungi Maulanga wakiwa katika hali tete ndani ya Ukumbi wa Mango Garden. Akiwa ameongozana na mkewe aitwaye Rose Bushoke kwenye onesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta,’...

 

10 years ago

GPL

SABBY, CYRILL WANASWA!

Imelda Mtema/mchanganyiko
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi. Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ wakipozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani