WASICHANA WA KIHINDI WANASWA WAKIJIUZA
![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIFpjuN0avCdAwpfrxdbA57whb4vMYtS9brvxDDDyNZSYpHJV2aoRB2EjaKrJbwYNywpEypnvxgDAWayYRaMeYx5/MsichanawaKihindiakiwachiniyaulinzibaadayakukamatwa.jpg?width=650)
Msichana wa Kihindi akiwa chini ya ulinzi baada ya kukamatwa Mmoja wa wamiliki wa Kasino hiyo Wasichana 16 wa kihindi walinaswa wakijiuza katika moja ya makasino yaliyopo jijini hapa  alhamisi majira ya 12:30 usiku, ambapo walikamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi cha…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Tamasha la vyakula vya Kihindi Jumapili
TAMASHA la vyakula vya Kihindi lenye lengo la kuongeza urafiki miongoni mwa Watanzania wanaovutiwa na vyakula hivyo linatarajiwa kufanyika viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam keshokutwa. Akizungumza na...
10 years ago
Mtanzania04 May
AT: Nitatumia lugha ya Kihindi kwenye nyimbo zangu
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya kuweza kuitumia lugha ya Kihindi vizuri, msanii wa muziki wa mduara nchini, Ally Ramadhani ‘AT’ amesema anatamani kuimba mahadhi ya Kihindi.
AT alisema lugha Kihindi ikitumika katika wimbo inaleta hamasa wakati wa kuimba na kwa anayeisikiliza.
“Mara nyingi ninapokuwa nafanya mazoezi ya kuimba huwa najitahidi kuimba nyimbo za Kihindi na Kiingereza kwa pamoja zinanisaidia kuniongezea nguvu na kuzidi kuwa imara katika uimbaji wangu, napenda sana Kihindi,”...
10 years ago
Bongo526 Feb
Filamu mpya ya JB ‘Mzee wa Swagga’ ni kopi 100% ya filamu ya kihindi
10 years ago
Bongo502 Mar
Ni kweli nimekopi filamu ya kihindi — mwandishi wa filamu mpya ya JB
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeJCw9EjCq*Ncpemz-xauhouYhB5FKiB*ikcltr2KZdLAO7GQ79xMxGLndIdE7uy7U53Vm7AtgLKM*kkIAw5uu3i/IMG20140722WA0005.jpg?width=650)
MAJANGILI WANASWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5c3Ispmu1NtXwpZiIKDgC5Xq5k5XT63FX90J9MiYOIA8nNnu-5MOEGe7liQ0X6ikIZS2A2tF2UtoPeT6HLrUBk/gesti.jpg)
WATOTO WANASWA GESTI!
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Wanaswa na meno ya tembo
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
WATU watano wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kukutwa na vipande vinane vya meno ya tembo, vikiwa vimevificha kwenye dumu la mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema tukio hilo lilitokea jana, saa 2:30 usiku katika eneo la Daraja Mbili, barabara ya kwenda Mikumi wilayani Kilosa.
Alisema watuhumiwa hao walikamatwa na polisi kwa kushirikiana na askari wa wanyamapori, waliokuwa kwenye doria.
Paul alisema watu hao walichukua...
9 years ago
GPLLUNGI, FERGUSON WANASWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLR6aJ48QI*ppcLHRtP84JApFyZc0f2apL6KG1-di9ysqk1FW-xZ2TYnlUGvQbTn3wGXAwKAigBkskUkE9AT80Pl/4.jpg)
SABBY, CYRILL WANASWA!