Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sangara wa kuchoma kwa saladi ya tikiti

Licha ya kuwa na sifa ya shombo isiyomithilikia, samaki aina ya Sangara anaweza kutengenezwa na namna mbalimbali ambazo zitamfanya mlaji kupata ladha ya aina yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mbaroni wakituhumiwa kwa mauaji, kuchoma makanisa

POLISI mkoani Kagera imewakamata watu watatu wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio mbalimbali ya mauaji na uchomaji moto makanisa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa matukio hayo yalikuwa yakifanyika mfululizo tangu mwaka 2013 hadi Novemba Mosi mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mapishi:Saladi ya makaroni

Makaroni ni aina ya tambi zenye maumbo tofauti. Aina hii ya chakula kwa sasa imejizolea umaarufu katika maeneo mengi duniani.

 

9 years ago

Mwananchi

100 watiwa mbaroni kwa kuchoma ofisi ya Serikali

Kundi la wananchi leo lilivamia ofisi ya Serikali ya kata ya Njoro,Manispaa ya Moshi, na kuichoma moto wakipinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea udiwani wa Chadema, Jomba Koyi.

 

9 years ago

Mwananchi

Saba mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa Bukoba

Watu saba wametiwa mbaroni na polisi mkoani Kagera kwa tuhuma za kuhusika na uchomaji moto wa makanisa matatu hali iliyosababisha taharuki kwa waumini wa makanisa hayo mjini Bukoba.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa CUF Bukoba na wengine 15 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa

Jeshi la Polisi limewakamata watu 16 akiwamo Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Bukoba kwa madai ya kuhusika na vitendo vya uchomaji wa makanisa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bukoba.

 

10 years ago

CloudsFM

WANAFUNZI NJOMBE WAWEKWA CHINI YA ULINZI KWA TUHUMA ZA KUCHOMA SHULE

Kamishna wa Elimu Nchini Ameifunga Shule ya Sekondari ya Njombe (NJOSS) Kwa Muda wa Mwezi Mmoja Kutokana na Vurugu Zilizotokea Katika Shule Hiyo na Kusababisha Hasara ya Zaidi ya Shilingi Milioni Moja.Akifunga Shule Hiyo Kwa niaba ya Kamishna wa Elimu Nchini, Afisa Elimu Shule za Sekondari Mkoani Njombe Said Nyasiro Amesema Wameifunga Shule Hiyo Kutokana Uharibifu Uliofanywa na Wanafunzi Ikiwemo Kuchoma Jengo la Bweni na Karakana Pamoja Kupisha Uchunguzi Juu ya Tukio Hilo.Aidha Afisa Elimu...

 

10 years ago

CloudsFM

NASSARI AACHIWA HURU KWA DHAMANA NA MAHAKAMA,BAADA YA KUTUHUMIWA KUCHOMA BENDERA YA CCM

Hakimu David Mwita wa Mahakama ya mwanzo ya maji ya chai ameahirisha hadi Decemba 24, shauri la kesi inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nassari (CHADEMA), kwa tuhuma za kuharibu mali ya uma kwa kuichoma yenye dhamani ya shilingi laki mbili (bendera ya CCM),pamoja na kumteka mtu na kumtishia kwa bunduki tukio ambalo anatuhumiwa kufanya december 15 mwaka huu
mahakama hiyo imemuachia mbunge huyo mara baada ya kutimiza mashariti ya dhamana, ambapo shariti la kwanza ni kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

ONGEZEKO LA SANGARA ZIWA VICTORIA LAISHTUA CCM,YATOA MAAGIZO MAZITO

 Katibu wa CCM Mkoa wa Simiyu, Haula Kachwamba akibeba samaki aina ya sangara mwenye urefu wa  sentimita 90 akiwa na uzito wa kilo 15 baada ya kutembelea Mwalo wa Nyamikoma Busega Simiyu na kushangazwa na mafanikio ya Serikali ya kudhibiti uvuvi haramuKATIBU wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Haula Kachwamba akikagua zana haramu zilizokamatwa katika Mwalo wa Nyamikoma wilayani Busega mkoani Simiyu wakati wa ziara ya Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Mkoa Simiyu kukagua utekelezaji wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Baba azika ua kuchoma maelfu ya miili ya watu kujifariji kwa kifo cha mtoto wake

Mohammad “Mjomba” Shareef amezika ama kuchoma maelfu ya miili ya watu kwa miaka 28 kaskazini mwa India mji wa Ayodhya. Mtoto wake wa kiume aliuawa katika vita 1992 na mwili wake haukuwahi kuonekana zaidi ya nguzo zake tu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani