Mapishi:Saladi ya makaroni
Makaroni ni aina ya tambi zenye maumbo tofauti. Aina hii ya chakula kwa sasa imejizolea umaarufu katika maeneo mengi duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Sangara wa kuchoma kwa saladi ya tikiti
Licha ya kuwa na sifa ya shombo isiyomithilikia, samaki aina ya Sangara anaweza kutengenezwa na namna mbalimbali ambazo zitamfanya mlaji kupata ladha ya aina yake.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mapishi ya kuku wa ‘Cornflakes’
Tukiwa katika mfululizo wetu wa kuangalia namna ya kupika vyakula mbalimbali tulivyozoea ni wazi kuwa vyakula havibadiliki, lakini namna mpishi atakavyokuwa mbunifu, ndivyo atakavyoweza kubadilisha na ladha ya mlo husika.
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Video:Tazama mapishi ya konokono?
Mfanyabiashara mmoja nchini Kenya ameanzisha kampeni kali ya kufuga konokono Afrika Mashariki
10 years ago
VijimamboMapishi ya bagia na chatney ya machicha ya nazi
Mahitaji
Kunde (Ila mimi nilitumia Nigerian brown beans 1/2 kilo)
Vitunguu maji (onion 2)
Pilipili (scotch bonnet pepper 2)
Vitunguu swaum (garlic 4 cloves)
Chumvi (salt)
Barking powder (1/2 kijiko cha chai)
Machicha ya nazi (grated coconut 1 kikombe cha chai)
Limao (lemon 1)
Mafuta (vegetable oil)
Matayarisho
Loweka kunde usiku mzima kisha ziondoe maganda na uzitie kwenye blender pamoja na vitunguu maji, vitunguu swaum, pilipili, chumvi,barking powder na maji kiasi. Visage vitu vyote mpaka viwe laini...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL6UB1*vxzaXsBmXEr3ev0qhu3a54XXajgvnUGzPE6o45rCiKKXN3TjBVyMqzVOTbT9QxnjtnvPrw*EZH9poZ4x-/blackcoupleeating.jpg?width=650)
MAPISHI NDIYO LIMBWATA KUU KWA MUMEO
Asalam Alaikum, Bwana Yesu Asifiwe, bila shaka wazima wa afya kama nilivyo, nina amani kwa sababu nimempigia kura yule ninayeamini anafaa kuliongoza taifa hili. Leo nimekuja na mada nyepesi kwa muonekano lakini ni mada kali na ina mapana zaidi kwani ndoa nyingi siku hizi zinavunjika kwa sababu ya wanawake kutojua kupika. Kwa nini mumeo akapikiwe na kimada?
Naomba nikufundishe jinsi ya kutumia mapishi kama limbwata ambapo mumeo...
10 years ago
Vijimambo13 Nov
11 years ago
Michuzi17 Jul
9 years ago
Mwananchi18 Oct
MARION : Mapishi yana nafasi kubwa katika maisha
Marion Elias siyo jina geni kwa watazamaji wa runinga hususan ITV. Licha ya kuwa mwanadada huyu alikuwa akitangaza vipindi kadha wa kadha, lakini nyota yake ilionekana kung’ara zaidi katika Kipindi cha Mapishi.
11 years ago
Michuzi19 Jul
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
14-February-2025 in Tanzania