Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saudia yawakataa mayaya wa Uganda

Mamlaka ya Saudia mjini Kampala imewaonya raia wake nchini Saudia dhidi ya kuwaajiri mayaya kutoka Uganda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Somalia yawakataa wanajeshi wa S.Leone

Wanajeshi wa Sierra Leone wameondoka nchini Somali na hakuna wanajeshi wengine wa taifa hilo watakaochukua mahala pao

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais Trump awalenga mayaya na wanafunzi katika masharti mapya ya visa Marekani

Wafanyikazi wenye ujuzi mkubwa wa kiufundi, wafanyikazi wasio katika sekta ya kilimo na maafisa wakuu wa makampuni wataathirika.

 

10 years ago

StarTV

Somalia yawakataa wanajeshi wa Sierra Leone

Wanajeshi wa kulinda amani kutoka Sierra Leone wameondoka nchini Somali na hakuna wanajeshi wengine wa taifa hilo watakaochukua mahala pao kufuatia wasiwasi wa ugonjwa wa Ebola.

Umoja wa Afrika una mpango wa kutafuta wanajeshi wengine kutoka mataifa yenye wanajeshi wake nchini humo.

Zaidi ya wanajeshi 800 wa Sierra Leone walio kusini mwa bandari ya Kismayu wameondoka kuelekea nyumbani.

Walitarajiwa kuondoka mapema lakini safari yao ikacheleweshwa kwa zaidi ya miezi sita baada ya mmoja...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

UWT mkoani Arusha yawakataa walimu


NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
UMOJA wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Arusha umetangaza kuwakataa walimu kusimamia uchaguzi wa madiwani, wabunge na Rais.
Aidha umewanyooshea kidole baadhi ya askari kwa kuwa na mapenzi yaliyopitiliza dhidi ya wanasiasa, hali inayosababisha washindwe kutenda haki katika maamuzi mbalimbali.
Msimamo huo ulitangazwa kwa nyakati tofauti na Mwenyekiti wa UWT mkoani humo, Flora Zelote, alipokuwa akizungumza katika kata mbalimbali za Wilaya ya Arusha kwenye ziara ya kukagua...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?

Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.

 

10 years ago

BBCSwahili

wanawake wa Saudia waamua

Harakati za kutetea haki za wanawake nchini Saudi Arabia kutaka na wao wapewe haki ya kuendesha magari kama wanaume zashika kasi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mihadarati:Mwanamfalme wa Saudia akamatwa

Maafisa wa kupambana na matumizi ya mihadarati nchini Lebanon wamekamata ndege ya Saudia iliyokuwa imebeba tani 2 ya mihadarati

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lawaua wanajesi 3 wa Saudia

Saudi Arabia inasema kuwa maafisa 3 wa kijeshi wa taifa hilo wameuawa na kombora lililofyatuliwa na waasi wa Houthi nchini Yemen

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake na wanaume walumbana Saudia

Wasaudi wamekuwa wakilumbana kwenye mtandao baada ya wengi wao kujitokeza kuchangia ujumbe huu na nukuu " Don't marry a Saudi man", yaani ole wako uolewe na Msaudi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani