Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SBL yafungua ghala Mbeya

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), imefungua ghala kubwa la kwanza jijini hapa lenye uwezo wa kuhifadhi masanduku 80,000 hadi 100,000 ya bia kwa ajili ya kuhifadhi na kusambaza bidhaa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City yafungua milango kwa wafadhili

UONGOZI wa Mbeya City umezidi kufungua milango kwa makampuni na wafanyabishara kuwekeza  kwao kwa maslahi ya pande zote, hasa soka la Tanzania. Katibu wa Mbeya City, Emmanuel Kimbe akizungumza na...

 

10 years ago

GPL

SAMSUNG TANZANIA YAFUNGUA DUKA MBEYA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Tanzania  Hy zong Sun Seo, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la Samsung mkoani Mbeya ambalo litatumika pia kama kituo cha huduma za wateja katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Mbeya,wanaoshuhudia ni  wafanyakazi wa kampuni hiyo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moto wateketeza ghala Vingunguti

GHALA la RK Complex la jijini Dar es Salaam limeungua moto na kuteketea mali zote zilizokuwamo ndani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema moto huo ulizuka juzi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wamiliki wa Ghala hatiani China

Wamiliki wawili wa ghala zilizosababisha mlipuko wiki iliyopita walipata kibali cha kuhifadhi bidhaa hizo kwa kujuana -xinhua

 

11 years ago

GPL

FIKIRIA KUNUNUA GHALA, SIYO BIDHAA

FIKIRIA kununua ghala, siyo bidhaa
Tunakutana tena katika safu yetu hii ya ujasiriamali ambayo ingawa walengwa ni wanafunzi, lakini hata watu wazima pia inaweza kuwasaidia kwa kuwa hakuna umri wa mwisho katika kutafuta maisha bora. Wapo watu ambao wamekuwa kati ka biashara kwa muda mrefu lakini bado hawajaona faida yoyote kiasi cha kuwafanya waanze kuchanganyikiwa. Jibu ni rahisi. Wanachopaswa kukiweka akilini mwao ni kuachana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moto wateketeza ghala la Polisi Moshi

MOTO uliozuka jana katika ghala la Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), umeteketeza vitu mbali mbali vilivyokuwa katika jengo hilo ambalo limekuwa likitumika kama stoo ya kuhifadhi majora ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira aahidi Kigoma kuwa ghala la chakula

Mgombea wa urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema endapo akipewa ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano atahakikisha Mkoa wa Kigoma unakuwa ghala la chakula.

 

5 years ago

Michuzi

Tandahimba yatoa eneo ujenzi wa kiwanda na ghala la kisasa

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri yaTandahimba Said Msomoka ametoa eneo kwa ajili uwekezaji wa kiwanda na ghala la kisasa

Ameyasema hayo leo ofisini kwake wakati na kueleza kuwa kiwanda na ghala zitaleta tija kwa wakulima wa korosho ndani ya Wilaya

"Tunatoa eneo kwa ajili ya mtandao wa kijani kibichi Tanzania(Mkikita) ambao wanahitajibkujenga kiwanda na ghala,hivyo sisi Kama halmashauri tunawakaribisha kwakuwa maeneo yapo kwa ajili ya uwekezaji," amesema Msomoka

Naye mkurugenzi wa Mtandao wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR

MOTO huu umezuka leo asubuhi katika ghala la kuhifadhia bidhaa mbalimbali maeneo ya barabara ya Pugu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa hisani ya Times FM)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani