SE TENNIS WASHINDA MECHI YAO DHIDI YA CHEVY CHASE

Timu ya watoto ya SE Tennis and Learning Center imechukuwa ubingwa mnono dhidi ya timu ya Chevy Chase Country Club ya Chevy Chase, Maryland.
Timu ya watoto yaSE Tennis and Learning Center,Washington, DC ilichuwana na watoto Chevy Chase Club, Chevy Chase, Maryland na kushinda mechi 8 kati ya kumi. Kati ya magoli 7 kwa kila mchezo. Watoto wenye asili ya Kitanzania Briana Kagemuro na Bryan Mwombeki walishiriki kwa singles na kushinda mechi zao tatu kila mmoja.
Picha ya pamoja.
Briana Kagemuro na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Yanga yaishukia bodi ya Ligi,yagomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu

Uongozi wa Klabu ya Yanga umeishukia bodi ya Ligi kwa kile walichodai kuwa wamechakachua kanuni kwa kuiruhusu Timu ya Simba kumtumia mchezaji Ibrahimu Hajibu na kuitaka sheria zichukue mkondo wake huku wakigomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu kusogezwa mbele.
Akizungumza kwenye Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Msemaji wa Yanga Jerry Muro amesema Bodi ya Ligi inayumbisha soka la Tanzania kwa kupindisha sheria na kitendo walichofanya ni...
11 years ago
MichuziMACHAVA FC KUTUMIA UZI MPYA TOKA MEGATRADE KATIKA MECHI YAO DHIDI YA PANONE FC ITAKAYOSHUHUDIWA NA MAGWIJI WA REAL MADRID UWANJA WA USHIRIKA MOSHI
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Stoke City, Spurs washinda mechi muhimu
5 years ago
BBC03 Apr
Rising tennis star Ons Jabeur 'confused' about rest of tennis season after Wimbledon cancellation
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Johnson Lukaza na Mwesigwa Lukaza washinda kesi dhidi ya EPA
Johnson Lukaza.
Mwesigwa Lukaza
JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
Na Happiness Katabazi (UB)
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdomo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa...
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Podolski nje ya mechi dhidi ya Algeria
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Camara:mechi dhidi ya Uganda ni muhimu
9 years ago
MillardAyo25 Dec
TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi …
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limepitia ombi la chama cha wanasoka Tanzania SPUTANZA, TFF ambayo ilipokea ombi la SPUTANZA kushughulikia madai ya muda mrefu ya wachezaji wa zamani wa Yanga, ambao waliachwa wakati wakiwa bado wanaidai klabu hiyo. December 24 mwenyekiti wa SPUTANZA Musa Kisoki alithibitisha kupatiwa ufumbuzi suala hilo. Wachezaji wanaoidai Yanga […]
The post TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi … appeared first on...
11 years ago
Mwananchi16 Oct
Siasa zavuruga mechi ya Serbia dhidi ya Albania