Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SE TENNIS WASHINDA MECHI YAO DHIDI YA CHEVY CHASE


Timu ya watoto ya SE Tennis and Learning Center imechukuwa ubingwa mnono dhidi ya timu ya Chevy Chase Country Club ya Chevy Chase, Maryland. 
Timu ya watoto yaSE Tennis and Learning Center,Washington, DC ilichuwana na watoto Chevy Chase Club, Chevy Chase, Maryland na kushinda mechi 8 kati ya kumi. Kati ya magoli 7 kwa kila mchezo. Watoto wenye asili ya Kitanzania Briana Kagemuro na Bryan Mwombeki walishiriki kwa singles na kushinda mechi zao tatu kila mmoja.
Picha ya pamoja.
Briana Kagemuro na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Yanga yaishukia bodi ya Ligi,yagomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu

Jerry MuroMsemaji wa Timu ya YangaNa Ripota wa Globu ya Jamii
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeishukia bodi ya Ligi kwa kile walichodai kuwa wamechakachua kanuni kwa kuiruhusu Timu ya Simba kumtumia mchezaji Ibrahimu Hajibu na kuitaka sheria zichukue mkondo wake huku wakigomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu kusogezwa mbele.
Akizungumza kwenye Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Msemaji wa Yanga Jerry Muro amesema Bodi ya Ligi inayumbisha soka la Tanzania kwa kupindisha sheria na kitendo walichofanya ni...

 

11 years ago

Michuzi

MACHAVA FC KUTUMIA UZI MPYA TOKA MEGATRADE KATIKA MECHI YAO DHIDI YA PANONE FC ITAKAYOSHUHUDIWA NA MAGWIJI WA REAL MADRID UWANJA WA USHIRIKA MOSHI

Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha ,Edmund Rutaraka (kushoto)akikabidhi msaada wa jezi kwa Makamu mwenyekiti wa timu ya soka ya Machava fc,Abuu Masudi.Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha timu ya Machava fc ya mkoani Kilimanjaro wakionesha uzi mpya waliopewa na kampuni ya Megatrade Investment ya jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Panone fc uliondaliwa mahususi kwa ajili ya Magwiji wa soka wa klabu ya Real Madrid utakaopigwa katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Stoke City, Spurs washinda mechi muhimu

Siku chache baada ya kulaza Manchester United, Stoke City wameandikisha ushindi muhimu Ligi ya Uingereza kwa kucharaza Everton.

 

5 years ago

BBC

Rising tennis star Ons Jabeur 'confused' about rest of tennis season after Wimbledon cancellation

Tunisian tennis star Ons Jabeur has told BBC Sport Africa that the cancellation of Wimbledon has left her "confused" about the remainder of the season.

 

10 years ago

Dewji Blog

Johnson Lukaza na Mwesigwa Lukaza washinda kesi dhidi ya EPA

unnamed

Johnson Lukaza.

unnamed (1)

Mwesigwa Lukaza

JOHNSON  LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI

Na Happiness Katabazi (UB)

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdomo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.

Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Podolski nje ya mechi dhidi ya Algeria

Lukas Podolski na Gerome Boateng katika orodha ya majeruhi ya Ujerumani kabla ya mechi dhidi ya Algeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Camara:mechi dhidi ya Uganda ni muhimu

Kiungo Lansana Camara amesema atatumia mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya Sports Club Villa ya Uganda kuonesha uwezo wake.

 

9 years ago

MillardAyo

TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi …

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limepitia ombi la chama cha wanasoka Tanzania SPUTANZA, TFF ambayo ilipokea ombi la SPUTANZA kushughulikia madai ya muda mrefu ya wachezaji wa zamani wa  Yanga, ambao waliachwa wakati wakiwa bado wanaidai klabu hiyo. December 24 mwenyekiti wa SPUTANZA Musa Kisoki alithibitisha kupatiwa ufumbuzi suala hilo. Wachezaji wanaoidai Yanga […]

The post TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi … appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Siasa zavuruga mechi ya Serbia dhidi ya Albania

Tofauti za kisiasa baina ya Albania na Serbia zimevunja mechi ya soka ya kufuzu kwa fainali za Ulaya, mwaka 2016 mjini Belgrade, Serbia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani