Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sefue: Maagizo ya Rais hayavunji Sheria ya Ununuzi

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema maagizo ya Rais John Magufuli ya kutaka fedha zilizokuwa zitumike kwa matumizi yasiyo ya lazima kupelekwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo nchini, hayavunji Sheria ya Ununuzi, wala utaratibu mwingine wa kisheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bodi yalilia mabadiliko Sheria ya Ununuzi

Bodi ya Barabara Mkoa wa Arusha imeliomba Bunge kufanya marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma.

 

11 years ago

Habarileo

Mabadiliko Sheria ya Ununuzi yalinda maslahi ya taifa

MIKATABA isiyo na maslahi kwa taifa imedhibitiwa kwa kiwango kikubwa kutokana na mabadiliko yaliyofanyika katika Sheria ya Ununuzi ya mwaka 2011; Bunge limeelezwa jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwigulu: Sheria ya Ununuzi wa Umma wizi wa kistaarabu

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametoboa madudu aliyoyaona kipindi kifupi alichokaa kwenye ofisi hiyo baada ya kuapisha hivi karibuni.

 

10 years ago

Vijimambo

LUSINDE AWASHUKIA WATENDAJI WASITEKELEZA MAAGIZO YA RAIS


 Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana(kushoto) akimuonyesha Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde namna ya kufatua matofali wakati wa kushiriki ujenzi wa shule ya msingi Lowasa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupampu maji ya kisima cha...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda kuongoza kikao CDA kutekeleza maagizo ya Rais

VIONGOZI na watendaji mkoani Dodoma wanatarajiwa kufanya kikao kitakachoongozwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa malalamiko kati ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) na wananchi.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO KWA MKANDARASI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt. Elias Kuandikwa wakishuhudia wakati Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania(TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale na Mwakilishi wa Kampuni ya China  Railway 15 Bureau Group Corporation, Su Jinlan  wakitia saini mkataba wa makubaliano kati ya serikali na Kampuni hiyo ya ujenzi wa barabara ya Nanganga -Ruangwa kwa kiwango cha lami yenye urefu wa Kilomita 53.2 kwa gaharama ya Sh. Bilioni 59.28....

 

9 years ago

Michuzi

Maagizo ya Rais Magufuli kuhusu safari za nje za watendaji wa Serikali yaanza kutekelezwa

Kufuatia maagizo ya Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyoyatoa hivi karibuni ya kusitisha safari za nje kwa Wizara, Idara na Taasisi za Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imeanza kutekeleza maagizo hayo kwa kutoa maelekezo mahsusi kwa Balozi zake nje.
Wizara imezielekeza Balozi zote zilizopo maeneo mbalimbali duniani kujipanga ili kushiriki kikamilifu katika kuiwakilisha Serikali kwenye mikutano yote ya kimataifa na kikanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani