Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMINA YA FURSA YAWAONYESHA DIRA WAKAZI WA SHINYANGA

Mkurugenzi wa Vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba (katikati), akifuatilia semina ya Kamata Fursa na  Meneja wa Maxcom Africa, ‘Max malipo’,  Bernard Munubi wa kwanza (kushoto), akiwa na Afisa Mwanadamizi wa GSI Tanzania,Pius Mikongoti. Msanii wa Bongo Fleva Ditto akiongea na wakazi wa Shinyanga kwenye semina ya Kamata Fursa.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA FURSA YAWAONESHA DIRA WAKAZI WA SHINYANGA

  SEMINA ya Kamata Fursa Jitathimini,Jiamini,Jiongeze inayoendeshwa sambamba na burudani za Serengeti Fiesta 2014, jana imeendelea kwa kuwapatia dira ya maisha na namna ya kuwafanya wajikwamue kwenye shughuli mbalimbali za kiuchumi wakazi wa Mkoa wa Shinyanga mjini ndani ya Ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Uhuru iliyopo mjini humo.Semina hiyo ambayo imeongozwa na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba (pichani juu) ilikuwa ya aina yake, kwani baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA FURSA YAWAONYESHA NJIA WAKAZI WA DODOMA

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group, Ruge Mutahabaakiongea na baaddhi ya wakazi wa Dodoma mjini waliyohudhuria kwenye Semina ya Kamata Fursa ndani ya Ukumbi wa Royal Villege mapema leo,ambapo aliweze kuongea nao na kuwapatia mbinu mbalimbali za kujikwamua kupitia lasilimali zilizopo kwenye mazo yapatikanayo ndani ya mkoa huo. Msemaji kutoka G5 One, Pius Mikongoti akiwalezea wakazi wa Dodoma namna ya...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA MKOA WA RUVUMA WAFURIKA KWENYE SEMINA YA FURSA

Mkuu wa Wilaya ya Ruvuma, Joseph Mkirikiti akiteta jambo na Mkurugenzia wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Ruge Mutahaba wakati semina hiyo ilipokuwa ikiendelea ndani ya Ukumbi wa Songea Club.…

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA MBEYA WAFURIKA KWENYE SEMINA YA KAMATA FURSA

Msanii Mrisho Mpoto akiongea na wakazi wa Mbeya waliojitokeza kwenye Semina ya Kamata Fursa mapema leo ndani ya Ukumbi wa Benjamini Mkapa. Msemaji kutoka GS One, Pius Mkongoti akiongea na wakazi wa Mbeya waliokuwa wamefurika kwenye Semina ka Kamata Fursa, tayari kwa kuwapa mbinu za kutomia huduma ya Bar code. Msanii wa Muziki wa Bongo…

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA

Pichani kati msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akiwa na madansa wake wakilishambulia jukwaa kwa namna ya kipekee usiku huu kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga.Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Ney Wa Mitego (pichani kulia) na Stamina wakilishambulia jukwaa kwa wimbo wao wa Huko Kwenu vipi,huku makele ya shangwe yakiwa yametawala kila kona ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga usiku huu.Sehemu ya mashabiki wa Fiesta...

 

10 years ago

CloudsFM

10 years ago

GPL

SEMINA YA FURSA 2014 YAFANYIKA MJINI SINGIDA


 Baadhi ya Washiriki wa Semina ya Kamata Fursa, Jitathimini, Jiamini Jiongeze wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumza ndani  ukumbi wa hoteli ya KBH, ilioko nje kidogo ya mji wa Singida.
Baadhi ya watoa mada mbalimbali katika semina hiyo wakiwa meza kuu.…

 

10 years ago

Vijimambo

Semina ya Fursa 2014 yafanyika Mjini Singida leo

 Baadhi ya Washiriki wa Semina ya Kamata Fursa,Jitathimini,Jiamini,Jiongeze wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumza ndani ya moja ya ukumbi wa hoteli ya KBH,ilioko nje kidogo ya mji wa Singida.Semina ya Fursa 2014 inaandaliwa na Waandaaji wa Tamasha la Fiesta 2014 linalotarajiwa kufanyika leo usiku ndani ya uwanja wa Namfua mjini Singida.  Baadhi ya watoa mada mbalimbali katika semina hiyo wakiwa meza kuu Baadhi ya Vijana walioitumia Fursa ya kutengeneza fulana za tamasha la Fiesta baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANYABIASHARA MKOANI SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA BIASHARA KATIKA MIGODI YA ACACIA

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi Injini Philbert Rweyemamu akizungumza na wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga wakati wa kikao na wafanyabiashara hao kilichokuwa na lengo la kuwapatia ufahamu juu ya masuala ya manunuzi.Bwana Nixson Mlumba – AfisaManunuzi wa ACACIA akifafanua jambo wakati wa Kikao hicho Baadhi ya Wafanyabiashara wakifuatilia kwa makini maelezo ya kutoka kwa Uongozi wa Kampuni ya Acacia wakati wa Kikao hicho. Mmoja wa wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga akichangia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani