Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA MKOA WA RUVUMA WAFURIKA KWENYE SEMINA YA FURSA

Mkuu wa Wilaya ya Ruvuma, Joseph Mkirikiti akiteta jambo na Mkurugenzia wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Ruge Mutahaba wakati semina hiyo ilipokuwa ikiendelea ndani ya Ukumbi wa Songea Club.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAKAZI WA MBEYA WAFURIKA KWENYE SEMINA YA KAMATA FURSA

Msanii Mrisho Mpoto akiongea na wakazi wa Mbeya waliojitokeza kwenye Semina ya Kamata Fursa mapema leo ndani ya Ukumbi wa Benjamini Mkapa. Msemaji kutoka GS One, Pius Mkongoti akiongea na wakazi wa Mbeya waliokuwa wamefurika kwenye Semina ka Kamata Fursa, tayari kwa kuwapa mbinu za kutomia huduma ya Bar code. Msanii wa Muziki wa Bongo…

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA FURSA YAWAONESHA DIRA WAKAZI WA SHINYANGA

  SEMINA ya Kamata Fursa Jitathimini,Jiamini,Jiongeze inayoendeshwa sambamba na burudani za Serengeti Fiesta 2014, jana imeendelea kwa kuwapatia dira ya maisha na namna ya kuwafanya wajikwamue kwenye shughuli mbalimbali za kiuchumi wakazi wa Mkoa wa Shinyanga mjini ndani ya Ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Uhuru iliyopo mjini humo.Semina hiyo ambayo imeongozwa na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba (pichani juu) ilikuwa ya aina yake, kwani baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA FURSA YAWAONYESHA NJIA WAKAZI WA DODOMA

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group, Ruge Mutahabaakiongea na baaddhi ya wakazi wa Dodoma mjini waliyohudhuria kwenye Semina ya Kamata Fursa ndani ya Ukumbi wa Royal Villege mapema leo,ambapo aliweze kuongea nao na kuwapatia mbinu mbalimbali za kujikwamua kupitia lasilimali zilizopo kwenye mazo yapatikanayo ndani ya mkoa huo. Msemaji kutoka G5 One, Pius Mikongoti akiwalezea wakazi wa Dodoma namna ya...

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA FURSA YAWAONYESHA DIRA WAKAZI WA SHINYANGA

Mkurugenzi wa Vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba (katikati), akifuatilia semina ya Kamata Fursa na  Meneja wa Maxcom Africa, ‘Max malipo’,  Bernard Munubi wa kwanza (kushoto), akiwa na Afisa Mwanadamizi wa GSI Tanzania,Pius Mikongoti. Msanii wa Bongo Fleva Ditto akiongea na wakazi wa Shinyanga kwenye semina ya Kamata Fursa.… ...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AENDELEA "KUTISHA" MAELFU WAFURIKA KUMSIKILIZA HUKO RUVUMA

MGOMBEA kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia maelfu ya wananchi akiwa kwenye gari, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Matarawe, Songea Mjini, Mkoani Ruvuma leo Septemba 1, 2015 ambapo alihutubia mkutano wa kampeni ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya kampeni akiwa kwenye mkoa watatu baada ya kuzindua rasmi kampeni zake jijini Dar es Salaam. Mh. Lowassa ameendelea kuonyesha "nguvu" zake kisiasa kutokana na maelfu ya wananchi...

 

5 years ago

Michuzi

MKOA WA MOROGORO KUUNGANISHWA NA MKOA WA NJOMBE NA RUVUMA KWA BARABARA ZA LAMI

 Na Mwandishi Wetu

NAIBU Waziri wa Ujenzi Elias Kwandikwa, amesema sasa Serikali iko katika hatua za kuunganisha mkoa wa Morogoro na mikoa jirani ya Njombe na Ruvuma kwa barabara ya lami ili kufungua mikoa hiyo yenye uzalishaji mwingi wa mazao, misitu na chakula.

Amezungumza hayo akiwa katika eneo la Kisegesa iliyopo katika Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro baada ya kukagua eneo lililokarabatiwa na Wakala wa Barabara (TANROADS), ambalo lilipata athari kubwa za mvua...

 

10 years ago

CloudsFM

11 years ago

Michuzi

Wakazi wa Vijijini Mkoani Ruvuma kupatiwa umeme

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akielekea eneo la jukwaa mara baada ya kuwasili katika eneo palipofanyika uzinduzi wa mradi wa kusambaza umeme vijijini unaosimamiwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA) wilaya ya Nyasa. Kulia kwake ni Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo na kushoto kwake ni Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli

Rais Jakaya M. Kikwete akichukua mkasi kwa ajili ya kukata utepe tayari kuelekea katika eneo la uzinduzi wa mradi wa usambazaji wa umeme wilayani Nyasa mkoa wa...

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA FURSA 2014 YAFANYIKA MJINI SINGIDA


 Baadhi ya Washiriki wa Semina ya Kamata Fursa, Jitathimini, Jiamini Jiongeze wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumza ndani  ukumbi wa hoteli ya KBH, ilioko nje kidogo ya mji wa Singida.
Baadhi ya watoa mada mbalimbali katika semina hiyo wakiwa meza kuu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani