Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Send off ya Coletha Makuala ilivyofana Virgimark Hotel, mjini Shinyanga, Tanzania siku ya July 4, 2015



 Coletha Makuala na Sam Mfalila waishio Nashville,  Tennessee (USA) wakiingia ukumbini kwenye Sendoff yao iyofanyika tarehe nne mwezi wa saba 2015 katika ukumbi wa Virgimark Hotel, Shinyanga, Tanzania
Coletha akiwa amepozi na mpambe wake ambaye pia ni mdogo wake, Jacklin Kahangwa baada ya kuingia ukumbini kwenye sherehe ya send off yake

Wazazi wa Bibi harusi mtarajiwa wakipongeza mwanao
Coletha akpata u kodak moment na mumewe mtarajiwa bwana Sam Mfalila ambao kwa sasa wote wanaishi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Kitchen Party ya Coletha Makuala ilivyofana Millennium Towers, Dar es Salaam, Tanzania siku ya June 28, 2015

 Coletha Makuala akipozi tayari kwa kupata u kodak moment kwenye kitchen Party ya kumuaga iliyofanyika Millennium Towers, Dar es Salaam, Tanzania siku ya June 28, 2015
Coletha akiwa tayari kukata keki kwa furaha

Coletha akiwashukuru ndugu na jamaa kwa kufanikisha sherehe yake ya Kitchen Party livyofana Millennium Towers, Dar es Salaam, Tanzania siku ya June 28, 2015

Mtoto kwa mama hakui
Kwa picha zaidi bofya Read More




































































 

9 years ago

Vijimambo

Coletha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN (USA) walivyo meremeta siku ya July 18, 2015 Azania Front halafu Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es salaam TZ



Coletha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa yao iliyofanyika julai 18 2015 katika kanisa la Azania Front, Dar es Salaam Tanzania.

U kodak moment baada ya ndoa

Maarusi, Coletha and Sam wakiwa kwenye nyuso za furaha kwenye reception yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es salaam TZ siku ya July 18, 2015

Coletha akihakikisha kuwa mume wake Sam anapata chakula

U kodak moment hotelini Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es...

 

10 years ago

Dewji Blog

Top jobs for this week Friday July 9th, 2015-Wednesday July 16th 2015

vacancies

COMPANY NAME            JOB LINK

1.Elite Career Choices    http://www.brightermonday.co.tz/jobs/assistant-quality-control-manager

2.Bank of Tanzania (BoT)   http://www.brightermonday.co.tz/jobs/estate-officer-iii

3. Sugar Board of Tanzania http://www.brightermonday.co.tz/jobs/assistant-human-resources-administration-officer-ii-1-post

4. AGP Tax & Accounting Consultants http://www.brightermonday.co.tz/jobs/itsocial-media-specialist

5. Meyer Enterprises Limited...

 

10 years ago

Michuzi

Do you want to study abroad? check out EdExpo Tanzania, Spring 2015 - New Africa Hotel, 9th and 10th March, 2015


EdExpo Tanzania 2015, the International Higher Education Exhibition will be happening in Dar es Salaam, Tanzania 9th and 10th March, 2015 at the New Africa Hotel, Dar es Salaam.EdExpo Tanzania 2015 will be a platform where prospective students can get information on available degree courses, scholarships and student life at different universities from around the world. EdExpo Tanzania will also provide information about how to access and succeed in international higher...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTEL ZA DOUBLE TREE BY HILTON TANZANIA WADHAMINI SIKU YA CHAKULA

 Hotel Za Double Tree By Hilton Tanzania Tarehe 18.10.2014 walidhamini Siku Ya Maonesho Ya chakula Iliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya Tanganyika International Schools.Akielezea Madhumuni ya kuandaa siku hiyo  Mkurugenzi wa Mauzo  wa Hotel za Double Tree By Hilton Tanzania Bwana Florenso Kirambata alisema kuwa nia yao kubwa ni kuweza kuyapa fursa makampuni mbali mbali na wajasiliamali wadogo wadogo kuweza kuonyesha uwezo wao na bidhaa wanazotengeneza.Mr Florenso  akaongeza kuwa zaidi ya...

 

10 years ago

Michuzi

SUPER MODEL FLAVIANA MATATA'S SEND OFF PARTY NDANI YA SHINYANGA



CUSTOMIZED DRESS from scrach….ikiwa imedhaminiwa  na ze stylist ROSE KOKUHILWA ‘FASHION JUNKII’Ni kwa neema tuuuuuu na rehemaaa, ni kwa neema tuu……ndo nyimbo ilikuwa inaunguruma kwa spikaaa na mabiharusi na mwenzie akawa wanaingia kwa kunesanesa. Kwa mapicha exclusive ya kumwaga toka 8020fashionblog.comBOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

FAMILIA KITCHEN PART GALA 2014 ILIVYOFANA MJINI DODOMA

Mwanamuziki maarufu hapa nchini Shilole akitumbuiza wanawake katika onesho maalum alilo lifanya katika FAMILIA KITCHEN PART GALA 2014 ambapo zaidi ya wanawake 300 walijumuika katika jukwaa na kuhamasika kushiriki katika zoezi la upimaji afya zao ikiwemo ukimwi na saratani ya shingo ya kizazi. Mwanamuziki maarufu hapa nchini Shilole akitumbuiza wanawake katika onesho maalum alilo lifanya katika FAMILIA KITCHEN PART GALA 2014 ambapo zaidi ya wanawake 300 walijumuika katika jukwaa na...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIRIKI VYEMA KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA NA VIWANDA NDOLA ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 JULY HADI 8 JULY 2014

Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mh. Grace Mujuma akipatiwa maelezo na mmoja wa wafanyabiashara wajasiliamali kutoka nchini Tanzania ambao wanashiriki kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara na Viwanda yanayofanyika Mjini Ndola,Zambia. Sehemu ya wafanyabiashara wajasiliamali kutoka nchini Tanzania wakionyesha bidhaa zao kwenye Maonyesho hayo ya Kimataifa.

 

9 years ago

Mtanzania

KiliFest 2015 ilivyofana Dar

mtz31NA TUNU NASORO

UMAHIRI ulioonyeshwa na wasanii waliotumbuiza katika Tamasha jipya la KiliFest lililofanyika kwa mara ya kwanza katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam umeonyesha dira na mwelekeo wa tamasha kubwa zaidi kwa
mwakani.

Tamasha hilo lililodumu takribani saa 18 baada ya kuanza saa nne asubuhi na kumalizika saa tisa na nusu alfajiri lilipokelewa kwa shahuku kubwa na Watanzania wapenda burudani ambao wengi wao walipongeza nia ya tamasha
hilo, ikiwemo kulipeleka mikoa mingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani