Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KiliFest 2015 ilivyofana Dar

mtz31NA TUNU NASORO

UMAHIRI ulioonyeshwa na wasanii waliotumbuiza katika Tamasha jipya la KiliFest lililofanyika kwa mara ya kwanza katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam umeonyesha dira na mwelekeo wa tamasha kubwa zaidi kwa
mwakani.

Tamasha hilo lililodumu takribani saa 18 baada ya kuanza saa nne asubuhi na kumalizika saa tisa na nusu alfajiri lilipokelewa kwa shahuku kubwa na Watanzania wapenda burudani ambao wengi wao walipongeza nia ya tamasha
hilo, ikiwemo kulipeleka mikoa mingi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Kitchen Party ya Coletha Makuala ilivyofana Millennium Towers, Dar es Salaam, Tanzania siku ya June 28, 2015

 Coletha Makuala akipozi tayari kwa kupata u kodak moment kwenye kitchen Party ya kumuaga iliyofanyika Millennium Towers, Dar es Salaam, Tanzania siku ya June 28, 2015
Coletha akiwa tayari kukata keki kwa furaha

Coletha akiwashukuru ndugu na jamaa kwa kufanikisha sherehe yake ya Kitchen Party livyofana Millennium Towers, Dar es Salaam, Tanzania siku ya June 28, 2015

Mtoto kwa mama hakui
Kwa picha zaidi bofya Read More




































































 

9 years ago

Mtanzania

Wasanii wanogesha KiliFest 2015

kilifest Navy KenzoNA MWANDISHI WETU

TAMASHA la KiliFest limefanyika kwa mara ya kwanza katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam, huku wasanii wa muziki wa aina mbalimbali wakinogesha tamasha hilo.

Wasanii waliopanda jukwaani na kunogesha tamasha hilo kwa shoo zao kali ni Isha Mashauzi, Mapacha Watatu, Maua, Ruby, Damian Soul, Navy Kenzo, Fid Q, Ben Paul, Vanessa Mdee, Shettah na kundi la Weusi.

Tamasha hilo lilidumu takribani saa 18 baada ya kuanza saa nne asubuhi na kumalizika saa tisa na nusu...

 

9 years ago

Mtanzania

Tamasha jipya la burudani la KiliFest kuzinduliwa Dar

rubyNA FESTO POLEA

TAMASHA jipya la burudani la KiliFest linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 26, katika viwanja vya Leaders Club, ambapo idadi kubwa ya wasanii wa Bongo Fleva nchini watatumbuiza.

Tamasha hilo linakuwa la kwanza kwa Tanzania na litaanzia jijini Dar es Salaam, lakini kwa miaka ijayo litazunguka na mikoa mingine.

Meneja  wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Pamela Kikuli, ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, alisema lengo la tamasha hilo ni kuwaleta Watanzania pamoja kupitia...

 

9 years ago

Vijimambo

EWURA FAMILY DAY ILIVYOFANA DAR

 Watoto wa familia za wafanyakazi wa wakishindana kukimbiaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), wakati wa hafla ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi pamoja na familia zao (Ewura Family Day) kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam Wafanyakazi wa Ewura wakiwa katika picha ya pamoja na familia zao Wakiwa katika mchezo wa Wavu Wakishindana kukimbia huku wakiwa kwenye magunia
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi...

 

9 years ago

Vijimambo

Send off ya Coletha Makuala ilivyofana Virgimark Hotel, mjini Shinyanga, Tanzania siku ya July 4, 2015



 Coletha Makuala na Sam Mfalila waishio Nashville,  Tennessee (USA) wakiingia ukumbini kwenye Sendoff yao iyofanyika tarehe nne mwezi wa saba 2015 katika ukumbi wa Virgimark Hotel, Shinyanga, Tanzania
Coletha akiwa amepozi na mpambe wake ambaye pia ni mdogo wake, Jacklin Kahangwa baada ya kuingia ukumbini kwenye sherehe ya send off yake

Wazazi wa Bibi harusi mtarajiwa wakipongeza mwanao
Coletha akpata u kodak moment na mumewe mtarajiwa bwana Sam Mfalila ambao kwa sasa wote wanaishi...

 

9 years ago

Dewji Blog

EWURA Family Day ilivyofana jijini Dar

 Watoto wa familia za wafanyakazi wa wakishindana kukimbiaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), wakati wa hafla ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi pamoja na familia zao (Ewura Family Day) kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam

 Wafanyakazi wa Ewura wakiwa katika picha ya pamoja na familia zao.

 Wakiwa katika mchezo wa Wavu.

 Wakishindana kukimbia huku wakiwa kwenye magunia.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix...

 

10 years ago

Vijimambo

TBL FAMILY DAY ILIVYOFANA BAHARI BEACH DAR

 Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiandika majina ya watoto waliofika pamoja na wazazi wake kwa ajili ya kuwapatia zawadi wakati ya sherehe ya siku ya familia ya TBL iliyofanyika kwenye ufukwe wa bahari beach, dar es salaam juzi. Ofisa Uhisano wa TBL, Dorris Malulu akiwa na mumewe wakipata mlo Wakipata chakula wakati wa siku ya familia Watoto wa wafanyakazi wa TBL wakiogelea wakati wa siku ya familia

 Wafanyakazi wa TBL NA FAMILIA ZAO WAKICHEZA MUZIKI Wafanyakazi wa Kampuni ya...

 

10 years ago

GPL

SHOO YA MRS. MABESTE ILIVYOFANA NEW MAISHA CLUB DAR!

Msanii wa Bongo fleva, Kadja Nito akitumbuiza. Mmoja wa wasanii waliohudhuria akiwapagawisha mashabiki. Msanii Mirror akifanya mambo jukwaani.Msanii Ali Kiba akiteta jambo na mmoja wa mashabiki wake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani