Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wanogesha KiliFest 2015

kilifest Navy KenzoNA MWANDISHI WETU

TAMASHA la KiliFest limefanyika kwa mara ya kwanza katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam, huku wasanii wa muziki wa aina mbalimbali wakinogesha tamasha hilo.

Wasanii waliopanda jukwaani na kunogesha tamasha hilo kwa shoo zao kali ni Isha Mashauzi, Mapacha Watatu, Maua, Ruby, Damian Soul, Navy Kenzo, Fid Q, Ben Paul, Vanessa Mdee, Shettah na kundi la Weusi.

Tamasha hilo lilidumu takribani saa 18 baada ya kuanza saa nne asubuhi na kumalizika saa tisa na nusu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

KiliFest 2015 ilivyofana Dar

mtz31NA TUNU NASORO

UMAHIRI ulioonyeshwa na wasanii waliotumbuiza katika Tamasha jipya la KiliFest lililofanyika kwa mara ya kwanza katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam umeonyesha dira na mwelekeo wa tamasha kubwa zaidi kwa
mwakani.

Tamasha hilo lililodumu takribani saa 18 baada ya kuanza saa nne asubuhi na kumalizika saa tisa na nusu alfajiri lilipokelewa kwa shahuku kubwa na Watanzania wapenda burudani ambao wengi wao walipongeza nia ya tamasha
hilo, ikiwemo kulipeleka mikoa mingi...

 

9 years ago

Vijimambo

WASANII BONGO MOVIE WANOGESHA KAMPENI ZA MGOMBEA MWENZA CCM

Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie wakizungumza na wanaCCM na wananchi katika mkutano wa kampeni za mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu katika mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Azimia Jimbo la Kibaha Vijijini jana mkoani Pwani.Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie wakizungumza na wanaCCM na wananchi katika mkutano wa kampeni za mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu katika mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Azimia Jimbo...

 

9 years ago

Mtanzania

Tamasha la KiliFest kuzinduliwa kwa muziki wa ‘live’

VanessaNA JULIET MORI (TUDARCO)

VIWANJA vya Leaders Club kesho vinatarajiwa kuwaka moto wakati wasanii watakapokuwa wakitumbuiza katika uzinduzi wa tamasha jipya la KiliFest 2015, linalodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

Ili tamasha hili la KiliFest liwe na hadhi kubwa, Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Pamela Kikuli, anasema limeandaliwa kwa umakini mkubwa, huku wasanii wakali na wenye majina makubwa nchini wakitarajiwa kulinogesha.

Wasanii wanaotarajiwa kupamba tamasha hilo...

 

9 years ago

Mtanzania

Tamasha jipya la burudani la KiliFest kuzinduliwa Dar

rubyNA FESTO POLEA

TAMASHA jipya la burudani la KiliFest linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 26, katika viwanja vya Leaders Club, ambapo idadi kubwa ya wasanii wa Bongo Fleva nchini watatumbuiza.

Tamasha hilo linakuwa la kwanza kwa Tanzania na litaanzia jijini Dar es Salaam, lakini kwa miaka ijayo litazunguka na mikoa mingine.

Meneja  wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Pamela Kikuli, ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, alisema lengo la tamasha hilo ni kuwaleta Watanzania pamoja kupitia...

 

10 years ago

GPL

URAIS 2015 WASANII VIPANDE

Mwandishi Wetu
MPASUKO! Zikiwa zimesalia takriban siku 31 kabla ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpitisha mgombea mmoja wa urais atakayechuana na vyama vya upinzani, imebainika kuwa mastaa wa filamu na Bongo Fleva wamegawanyika vipande huku wakiwa kwenye msuguano mkali kufanikisha ushindi wa makada Bernard Membe na Edward Lowassa, Risasi Mchanganyiko linapa mchapo kamili. Waziri wa mambo ya nje Bernard Membe. WAJIPAMBANUA
...

 

11 years ago

Michuzi

WITO KWA WASANII: Sauti za Busara 2015

Je muziki wako ni wa laivu? Je muziki wako umehusiana na Africa, Uarabuni au nchi za bahari hindi? Je umevutiwa kupiga muziki mwezi ujao wa Februari Zanzibar? Kama unaweza kujibu ndio, ndio, ndio - basi endelea kusoma... MWISHO...

 

10 years ago

Mwananchi

Kampeni ya wasanii kuhusu vijana na uchaguzi 2015

Kampeni ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya inayoitwa ‘Tuonane Januari’ inazidi kupamba moto na wiki hii jumla ya wasanii 10 watapanda jukwaa moja jijini Mwanza kwa kazi moja tu, kuwaambia vijana wenzao kushiriki katika zoezi la kujiandikisha daftari la wapiga ili kuleta mabadiliko katika uchaguzi wa mkuu ujao.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU 2015 WASANII BONGO WANAUZUNGUMZIAJE?

Laurent Samatta
Habari ya mjini kwa sasa ni Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2015 ambapo Watanzania wote watatumia haki yao ya msingi ya kupiga kura, kuwachagua viongozi wanaowataka. Showbiz Plus imewatafuta wasanii wa tasnia tofauti Bongo na kuwauliza mtazamo wao juu ya uchaguzi huo na hali ya upepo wa kisiasa Bongo ambapo wamefunguka kama ifuatavyo: MRISHO MPOTO ‘MJOMBA’
...

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii hawa wamepeta Uchaguzi Mkuu 2015

Wakati fomu za ushiriki wa urais, wabunge, viti maalumu na udiwani zilipoanza kutolewa, wengi walijitokeza kushiriki kwa kujaza fomu na kutangaza nia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani