Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ilegeze masharti uanzishaji viwanda

SERIKALI imeshauriwa kupunguza masharti kwenye taratibu za uanzishwaji wa viwanda vidogo ili kutoa fursa kwa vijana wengi kujiajiri kupitia sekta hiyo. Kauli hiyo ilitolewa na mshauri wa mazao ya maziwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ulaya ilegeze masharti ya biashara — wadau

BAADHI  ya wadau wa masuala ya biashara na uwekezaji nchini,  wamesema kuna haja ya  mataifa ya nje  kulegeza masharti, ili   kupanua wigo wa kibiashara kwa kuruhusu Waafrika kuuza bidhaa zao...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa (katikati) akipata ufafanuzi kuhusu matumizi ya mashine ya Cherehani katika utengenezaji wa Barakoa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Uchapishaji cha Five stars, Ashik Abbas Karim (kushoto), leo Aprili 20, 2020 alipokua katika ziara ya Jijini Dar es Salaam ya kutembelea Viwanda vinavyozalisha Barakoa na Vitakasa Mikono. Waziri wa Viwanda na Biashara,  Innocent Bashungwa (katikati) akisikiliza kwa makini maelezo ya eneo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ya kijiji yatoa masharti kwa wanaoogelea

SERIKALI ya Kijiji cha Mwanzugi, wilayani Igunga, Tabora imepiga marufuku wananchi kutembea na nguo za ndani baada ya kuogelea katika bwawa la kijiji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yatoa masharti kwa Chama cha Muslim Brotherhood

Waziri Mkuu wa Mpito wa Misri asema wafuasi wa Muslim Brotherhood wanaweza kushiriki Uchaguzi Mkuu ikiwa watalaani ghasia

 

10 years ago

Michuzi

Nishati na Madini yatakiwa kushirikisha jamii kwenye uanzishaji wa miradi

Mtaalam Mwelekezi kutoka Kampuni ya Petrogas Bw. Tom Mitro (kushoto) akielekeza namna ya kuandaa mapendekezo ya miradi ( project proposals) mbele ya washiriki wa mafunzo hayo. Baadhi ya washiriki kutoka Wizara ya Nishati na Madini wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa na Bw. Tim Mitro kutoka kampuni ya Petrogas (hayupo pichani). Mtaalam Mwelekezi kutoka Kampuni ya Petrogas Bw. Tom Mitro akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo.
Na Greyson Mwase, Bagamoyo
Wataalamu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kuendeleza viwanda nchini

SERIKALI imeahidi itaendelea kusaidia sekta ya viwanda, hususani vya ndani kwa kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, ili kuhakikisha vinasaidia kutoa mchango katika kukuza uchumi na maendeleo ya jamii. Akizumgumza katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kufanya mapinduzi ya viwanda

Serikali imeomba  ushirikiano baina yake na taasisi za fedha ili kuendeleza maeneo ya uwekezaji na kuleta mapinduzi ya viwanda nchini.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YA AWAMUA YA TANO NI YA VIWANDA

Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akimtambulisha mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kawe, Kippi Warioba (kushoto) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akimtambulisha mgombea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani