Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulaya ilegeze masharti ya biashara — wadau

BAADHI  ya wadau wa masuala ya biashara na uwekezaji nchini,  wamesema kuna haja ya  mataifa ya nje  kulegeza masharti, ili   kupanua wigo wa kibiashara kwa kuruhusu Waafrika kuuza bidhaa zao...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali ilegeze masharti uanzishaji viwanda

SERIKALI imeshauriwa kupunguza masharti kwenye taratibu za uanzishwaji wa viwanda vidogo ili kutoa fursa kwa vijana wengi kujiajiri kupitia sekta hiyo. Kauli hiyo ilitolewa na mshauri wa mazao ya maziwa...

 

5 years ago

CCM Blog

JE UNAYAJUA MASHARTI YA UENDESHAJI WA BIASHARA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA.?.



Kamishna wa Sekta ndogo ya Fedha Wizara ya Fedha na Mipango,Dkt Charles Mwamwaja alipokuwa akiwasilisha mada katika semina ya Wahariri na Waandishi wa Habari kuhusu Elimu ya Sera ,Sheria na kanuni za huduma ndogo za Fedha,iliyofanyika hivi karibuni mjini Morogoro. Pamoja na mambo hayo,Kamishna Mwamwaja pia alieleza na kufafanua kuhusu Masharti ya uendeshaji wa biashara hiyo ya huduma ndogo za fedha kama yanavyoonesha hapa chini.
 HABARI

 

10 years ago

BBCSwahili

Biashara ya binaadamu ni tatizo Ulaya

Utafiti wa kituo cha Uingereza British Think-Tank unasema kuwa biashara ya binaadamu ni tatizo kubwa Ulaya .

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau: Biashara ya sanaa bado wizi mtupu

Licha ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuahidi kuwasaidia wasani katika kudhibiti wizi wa kazi zao, wadau wa sanaa nchini wamesema kuwa hawaridhishwi na adhabu zinazochukuliwa na vyombo vyenye mamlaka ya kulinda na kutetea haki za wasanii nchini.

 

9 years ago

StarTV

Wadau barani Afrika wahimizwa kuchangamkia fursa za biashara

Wadau wa sekta ya uchumi barani Afrika wamehimizwa kuzichangamkia fursa za biashara na masoko kwa kuzingatia uwekezaji madhubuti ili kukuza uchumi wa nchi zao.

Wito huo umetolewa jijini Nairobi na meneja masoko  wa kampuni ya Kenya airways Chris Diaz, akijielekeza zaidi kuzungumzia wajibu wa makampuni ya kibiashara barani Afrika kuzisaidia nchi za kiafrika kufanikisha mpango wa maendeleo wa 2030.

Mpango wa miaka kumi na tano ulioainishwa na Umoja wa mataifa hivi karibuni ukilenga kumaliza...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Sanamu zilizotukuza biashara ya utumwa Marekani na Ulaya zaharibiwa

Sanamu zimekuwa zikivunjwa na kuharibiwa, kama ishara ya kutaka kusahau ''dhulma'' za kihistoria.

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA TANZANIA DIASPORA WAKO NDANI YA MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASBA.

Sehemu ya muonekano wa banda hilo ndani ya viwanja vya Mwalimu JK Nyerere kunakofanyuika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya saba saba.  Wadau mbalimbali wakipita kwenye banda hilo kujipatia maelezo ya hapa na pale.Wageni wote wanakaribishwa kwenye banda hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif awavuta wawekezaji wa Ulaya kuwekeza kwenye biashara za viungo na utalii

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa maonyesho hayo ya Milan 2015 Bw. Bruno Antonio Pasquino mara alipowasili.Maalim Seif kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara Mjini Milan Italy. (Picha zote na Salmin Said, Italy)..Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia washiriki wa maonyesho hayo wakati wa kuadhimisho siku ya Tanzania kwenye maonyesho hayo mjini Milan Italy.

Na: Khamis Haji, Milan...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani