Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI ILOPOTOLEA MAELEZO BILION 252 ZA WIZARA YA UJENZI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT:MWIGULU NCHEMBA ATIMUA VIGOGO WALIOKULA BILION 5.7 ZA UJENZI WA MACHINJIO YA KISASA RUVU

Wakati Taifa na Mataifa yakiendelea kutoa pongezi zao kwa serikali ya Rais.J.P.Magufuli kwa speed yake ya kuchapa kazi,Mawaziri wake pia wameendelea kuonesha namna walivyodhamiria kusimamia shughuli za maendeleo ya Nchi yetu.
Hii leo,Mh:Mwigulu Nchemba mwenye dhamana ya Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi amefanya ziara ya siku moja kwenye ranchi ya Taifa ya Ruvu kukagua ujenzi wa majengo ya machinjio ya kisasa ulioanza mwaka 2010.
Katika hali ya kusikitisha na kulazimu kuchukua hatua za...

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIO MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo.
TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA USOME TAARIFA KAMILI

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Tanroads yafafanua matumizi ya bil. 252/-



                                                                                    NA EMMANUEL MOHAMED Mhandisi Mfugale PatrickMKURUGENZI wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi, Patrick Mfugale, amesema fedha zilizodaiwa kuibwa TANROADS, zilitumika kulipia madeni ya wakandarasi kinyume na ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari. Mfugale amesema pesa hizo zilitolewa kwa ajili ya miradi mipya, lakini zikatumika kulipa madeni yaliyokuwa yanadaiwa na wakandarasi. Kigogo huyo...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI YAMUAGA JK

 Rais Jakaya Kikwete akihutubia wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi wakati wa hafla maalum ya kumuaga iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.
 Waziri wa Ujenzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia kwenye hafla ya kumuaga Rais Jakaya Mrisho Kikwete iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi.


 Wahandisi mbali mbali wa Wizara na wasiokuwa wa Wizara walijumuika pamoja kwenye hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete
 Wageni waalikwa kutoka...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yaendelea kuimarisha ukaguzi wa Ndani Wizara na Taasisi za Serikali

Mkuu wa Ukaguzi wa ndani toka Wizara ya Fedha na Mipango Bw.Mohamed Mtonga akiwaeleza waandishi wa Habari kuhusu miongozo mbalimbali iliyolewa na Serikali ikiwa ni moja ya hatua za kuimarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani katika Wizara na Taasisi za Serikali kote nchini ili kuongeza tija,kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara Hiyo Bi. Ingiahedi Mduma na kushoto ni Kaimu Mkaguzi mkuu wa ndani bW. Chotto Sendo.Baadhi ya waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano wa Wizara ya fedha na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani