‘Serikali ishughulikie mafisadi, si wapinzani’
MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), amesema tatizo kubwa la bajeti ni kutokana na kuwa na mafisadi wengi ambao wanalindwa na serikali. Amesema inasikitisha kuona serikali ikiwashughulikia wanachama wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL12 Nov
10 years ago
GPLNGELEJA: SERIKALI ZA MITAA TUMEWAKIMBIZA WAPINZANI
10 years ago
Uhuru NewspaperAchaneni na wapinzani, hawana serikali- Nape
WANANCHI wametakiwa kuwa macho na baadhi ya vyama, ambavyo lengo lao ni kuwagawa wananchi kwa maslahi yao.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipozungumza na wakazi wa kijiji cha Itolwa wilayani Chemba.
Alisema kumekuwepo na tabia ya baadhi ya vyama kwenda kwa wananchi kuwalaghai kuwa vingeweza kufanya mabadiliko ya hali zao za kimaisha endapo wagombea wake watachaguliwa.
Nape alisema watu hao ni wadanganyifu kwani wanapochaguliwa, hawaonekani kutokana...
5 years ago
MichuziDPP AWASILISHA MAOMBI MAHAKAMA YA MAFISADI KUTAKA AKAUNTI MBILI ZENYE SHILINGI BILIONI 16.7 ZA UPATU ZIWE MALI YA SERIKALI
MKURUGENZI Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ( Mahakama ya Mafisadi), ya kuomba kutaifishwa kwa akaunti mbili za USD na moja ya EURO zenye jumla ya Shilingi bilioni 16.7 za upatu kuwa mali ya Serikali kutokana na washtakiwa hao raia wa kigeni kutofika mahakamani
Washtakiwa hao ni raia wa Ujerumani Manon Huebenthal na raia wa Uingereza Frank Ricket ambapo...
5 years ago
CCM Blog23 Apr
VENEZUELA: SERIKALI NA WAPINZANI WAANZA MAZUNGUMZO YA SIRI
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Bila kuondoa kasoro chaguzi Serikali za Mitaa, wapinzani ni wasindikizaji tu
9 years ago
Mwananchi30 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Mwaka Mpya Serikali ya CCM iache woga kwa wapinzani
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Winga mafisadi
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Magufuli: Mafisadi kukiona
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli (55), amewaahidi Watanzania kuwa atawatumikia pasipo kujali itikadi zao za kisiasa na kwamba endapo atakuwa Rais, serikali yake haitavumilia wazembe, wala rushwa na wabadhirifu.
Akizungumza katika nyakati tofauti baada ya kuchaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM kuwa mgombea wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Magufuli alisema amepokea kitendo hicho kwa unyenyekevu mkubwa na kwamba hatawaangusha...