VENEZUELA: SERIKALI NA WAPINZANI WAANZA MAZUNGUMZO YA SIRI
Serikali ya Venezuela na wapinzani wa nchi hiyo wameanza duru mpya ya mazungumzo ya siri yenye lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.Taarifa zinaeleza kuwa, washirika wa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela na wale wa mpinzani wake, kiongozi wa upinzani Juan Guaido, wameanza mazungumzo ya siri wakati hofu imetanda nchini humo juu ya kuenea zaidi kwa virusi vya Corona.Mazungumzo hayo yanafanyika wakati kuna wasiwasi mkubwa kuhusu janga la virusi vya Corona au COVID-19,...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Tendwa awapa siri wapinzani
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
‘Serikali ishughulikie mafisadi, si wapinzani’
MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), amesema tatizo kubwa la bajeti ni kutokana na kuwa na mafisadi wengi ambao wanalindwa na serikali. Amesema inasikitisha kuona serikali ikiwashughulikia wanachama wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OlH1FQgaK9AxkcBKfOJFEEBdes5tkoX7-Q89Dg65bIvix5ORcVwFPMM1h58dQx86omYZmMzcEk4LLVW-c*p*dF2/williamngeleja.jpg?width=650)
NGELEJA: SERIKALI ZA MITAA TUMEWAKIMBIZA WAPINZANI
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-UnoFIYI2u3o/VQGsru18U1I/AAAAAAAAB9o/WfGZhwhH93w/s72-c/MM%2B3.jpg)
Achaneni na wapinzani, hawana serikali- Nape
WANANCHI wametakiwa kuwa macho na baadhi ya vyama, ambavyo lengo lao ni kuwagawa wananchi kwa maslahi yao.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipozungumza na wakazi wa kijiji cha Itolwa wilayani Chemba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UnoFIYI2u3o/VQGsru18U1I/AAAAAAAAB9o/WfGZhwhH93w/s1600/MM%2B3.jpg)
Alisema kumekuwepo na tabia ya baadhi ya vyama kwenda kwa wananchi kuwalaghai kuwa vingeweza kufanya mabadiliko ya hali zao za kimaisha endapo wagombea wake watachaguliwa.
Nape alisema watu hao ni wadanganyifu kwani wanapochaguliwa, hawaonekani kutokana...
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Serikali na waasi kumaliza mazungumzo
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Bila kuondoa kasoro chaguzi Serikali za Mitaa, wapinzani ni wasindikizaji tu
10 years ago
BBCSwahili19 May
Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Hong Kong:Serikali kufanya mazungumzo
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Serikali ya Burundi kususia mazungumzo Arusha