Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tendwa awapa siri wapinzani

Tangu mwaka 1995 vyama vya upinzani nchini vimekuwa vikisimamisha wagombea katika Uchaguzi Mkuu na kuambulia patupu mbele ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini sasa vimepewa somo la kushinda katika uchaguzi huo na aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mkapa awapa viongozi Afrika siri ya maendeleo

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin MkapaVIONGOZI wa Afrika wametakiwa kubuni mikakati itakayowawezesha wananchi wote kushiriki katika shughuli za kimaendeleo.

 

5 years ago

CCM Blog

VENEZUELA: SERIKALI NA WAPINZANI WAANZA MAZUNGUMZO YA SIRI

Mgogoro wa Venezuela: Serikali na wapinzani waanza mazungumzo ya siri Serikali ya Venezuela na wapinzani wa nchi hiyo wameanza duru mpya ya mazungumzo ya siri yenye lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.Taarifa zinaeleza kuwa, washirika wa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela na wale wa mpinzani wake, kiongozi wa upinzani Juan Guaido, wameanza mazungumzo ya siri wakati hofu imetanda nchini humo juu ya kuenea zaidi kwa virusi vya Corona.Mazungumzo hayo yanafanyika wakati kuna wasiwasi mkubwa kuhusu janga la virusi vya Corona au COVID-19,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwanahabari Nashon Kenedy awapa siri ya mafanikio Waigizaji wa filamu Jijini Mwanza!

  Kulia ni Mwanahabari Nashon Kenedy kutoka gazeti la kiswahili la Habari Leo na lile la kiingereza la Daily News akiongea katika hafla ya kuzaliwa kwa Yusuph Kisiba a.k.a Yuskiss ambae ni Mtengenezaji wa Filamu katika Kampuni ya Shafineyz Film Production ya Jijini Mwanza. Na:George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media Group Mwanahabari Nashon Kenedy kutoka gazeti la kiswahili la Habari Leo na lile la kiingereza la Daily News amewashauri wasanii wa maigizo Jijini Mwanza, kubadilika na kuigiza...

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba kaa pembeni -Tendwa

Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuacha kuitetea Rasimu ya Katiba kwa maelezo kuwa kazi yake ilikuwa ni kuiandaa na siyo kushawishi kila mtu akubaliane nayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tendwa: Wana chuki na kinyongo na mimi

Msajili wa zamani wa vyama vya siasa, John Tendwa amesema licha ya kustaafu kazi hiyo, bado kuna baadhi ya viongozi wa Chadema wana chuki na kinyongo dhidi yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tendwa: Serikali ibadili upangaji alama za ufaulu

ALIYEKUWA Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa, ameitaka Serikali kufanya mabadiliko ya haraka juu ya mfumo finyu wa upangaji wa alama za ufaulu ‘New Grading System’. Tendwa, alitoa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tendwa: Kikwete ameteleza kusemea msimamo wa CCM bungeni

>Aliyekuwa msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa amesema Rais Jakaya Kikwete aliteleza kueleza msimamo wake na ambao baadaye ulibainika kuwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati akizindua Bunge Maalumu la Katiba, Machi 21.

 

11 years ago

Mwananchi

Tendwa: Nilifungiwa CUF kwa saa mbili ofisini nikamriwa nikae kimya!

John Tendwa ni msajili wa vyama mstaafu ambaye alitumikia nafasi hiyo kwa miaka 13 mfululizo, akipewa kijiti na mtangulizi wake George Liundi ambaye kwa sasa ni marehemu.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]

The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani