Tendwa: Serikali ibadili upangaji alama za ufaulu
ALIYEKUWA Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa, ameitaka Serikali kufanya mabadiliko ya haraka juu ya mfumo finyu wa upangaji wa alama za ufaulu ‘New Grading System’. Tendwa, alitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Feb
NECTA yafafanua alama za ufaulu kidato cha nne
BARAZA la Taifa la Mitihani (Necta) limetoa ufafanuzi kuhusu viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla, ambavyo vimetumika kwa mara ya kwanza mwaka huu.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RVyZE3N-GnYE20dwBv*eNu5ye9WWu3*IW3olnv15GWLIqcJ647xAC7L0zI7LCNPxKe9q7K0w5u4IGxSClQ9tYF8MYIRtsOv8/4.jpg?width=650)
KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9
11 years ago
Habarileo02 Mar
‘Ufaulu shule za Serikali, binafsi haupishani’
SERIKALI imesema pamoja na matokeo ya kidato cha nne kuonesha hakuna shule zake zilizoshika nafasi katika 10 bora, hali ya ufaulu ni nzuri na haipishani na zisizo za Serikali.
10 years ago
VijimamboWADAU WA ELIMU WAITAKA SERIKALI KUPANDISHA WASTANI WA UFAULU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oajSCfq5SuA/VJl4KswUo3I/AAAAAAABAW0/HtQO0itP3Zw/s72-c/DSC_0819.jpg)
MSD YAKUBALI AGIZO LA SERIKALI KUWEKA ALAMA KATIKA DAWA NA VIFAA TIBA
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD),Cosmas Mwaifwani amesema bohari ya dawa imepokea agizo la serikali kuweka alama katika dawa za umma pamoja na vifaa tiba ili kuweza kudhibiti upotevu wa dawa pamoja na vifaa tiba.
Mwaifwani aliyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mikakati bohari hiyo katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.
Alisema katika mkakati mwingine ni kuanzisha maduka ya jumla...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Cecafa ibadili haraka mfumo wa mashindano
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Warioba kaa pembeni -Tendwa
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Tendwa awapa siri wapinzani
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Tendwa: Wana chuki na kinyongo na mimi