Serikali yaanza kuhami mazingira ya Msimbati
SERIKALI imeanza kuchukua hatua za awali za kunusuru kiwanda cha kuchakata gesi asilia kilichoko eneo la Msimbati mkoani Mtwara, kisiendelee kuharibiwa kwa maji ya bahari yanayoendelea kuingia ndani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Apr
Serikali yaanza kudhibiti Shilingi
SERIKALI imesema imeshaanza kuchukua hatua za kudhibiti kuporomoka kwa kasi kwa Shilingi. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha Masoko wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Alexander Ng’winamila, alisema kamwe Serikali haiwezi kulikalia kimya suala hilo.
11 years ago
Habarileo06 Jun
Serikali yaanza kusambaza kompyuta vyuoni
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali kwa sasa imeanza kusambaza kompyuta katika vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuboresha elimu kwa wanafunzi. Pia, amesema baadaye Serikali itaanza kusambaza kompyuta ndogo zinazobeba vitabu kidijitali, maarufu kama tabuleti (tablets) kwa wanafunzi.
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Serikali yaanza kulipa madeni ya walimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-peDc8IY8BuM/Xt3ahoq6MoI/AAAAAAALs-c/PLA8dpHodN85lCKGgnWb55BJFOlHxsYggCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B2.jpg)
SERIKALI YAANZA RASMI BIASHARA YA MAFUTA
![](https://1.bp.blogspot.com/-peDc8IY8BuM/Xt3ahoq6MoI/AAAAAAALs-c/PLA8dpHodN85lCKGgnWb55BJFOlHxsYggCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Serikali yaanza kusambaza Katiba Inayopendekezwa
Waziri Migiro akiongea na baadhi ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro amesema leo (Jumatano, Februari 11, 2015) jijini Dar es Salaam kuwa kati ya nakala hizo zilizochapwa jijini Dar es Salaam, nakala 1,800,000...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Serikali haifadhili miradi ya mazingira
OFISI ya Makamu wa Rais imesema haina fedha za kuwasaidia vijana katika miradi ya kuhifadhi mazingira. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Charles Kitanga alisema...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Serikali yaanza kulipa madeni ya Mfuko wa PSPF
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Serikali: Nemc simamieni mazingira ya viwandani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-55-768x512.jpg)
SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA UKUSANYAJI TAKWIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s640/1-55-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-37-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Amina Msengwa, wakipokea hati ya kiwanja eneo ambalo Ofisi ya NBS Mkoa wa Kigoma kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Rashid Mchata,...