Serikali yamsaka Nabii anayejitangaza kutoa Tiba ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-sk7xfV9il3E/XkVtYLzbpfI/AAAAAAALdR8/4a7J0ABzoikGV5uxvZ2iuPVCxrxkxt0SACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200213_130502_313_2.jpg)
,Naibu Waziri wa Afya,Dkt Faustine Ndugulile
Na Ahmed Mahmoud,Arusha
Serikali ya Tanzania imemuonya vikali mtu anayejiita Nabii Namba saba ambaye jina lake halisi ni Mosses Mollel kuwa itamchukulia hatua kali iwapo atashindwa kuthibitisha madai kuwa na uwezo wa kutibu virusi Vya ugonjwa wa Corona .
Nabii huyo ambaye taarifa zake zilianza kusambaa mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii akidai anayodawa ya kutibu ugonjwa hatari wa Corona ulioanzia nchini China na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mOsSkFSASgk/XkY5sxedNqI/AAAAAAACylU/eoic4VcdT-kQeo_NhLIEaz_dfbpt-QgoACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_3.png)
SERIKALI YAMSAKA NABII ANAYEJITANGAZA KUWA ANATIBA YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mOsSkFSASgk/XkY5sxedNqI/AAAAAAACylU/eoic4VcdT-kQeo_NhLIEaz_dfbpt-QgoACLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_3.png)
Na Ahmed Mahmoud,Arusha
Serikali ya Tanzania imemuonya vikali mtu anayejiita Nabii Namba saba ambaye jina lake halisi ni Mosses Mollel kuwa itamchukulia hatua kali iwapo atashindwa kuthibitisha madai kuwa na uwezo wa kutibu virusi Vya ugonjwa wa Corona .
Nabii huyo ambaye taarifa zake zilianza kusambaa mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii akidai anayodawa ya kutibu ugonjwa hatari wa Corona ulioanzia nchini China na kusababisha Vifo Vya watu zaidi ya 1100 hadi...
9 years ago
StarTV01 Dec
Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili
Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.
Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.
Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hb4InVOSWwI/XoyHv8EAsQI/AAAAAAALmYk/zqFoOZXFD_cSAEGuINcJwfflCvhD07IZACLcBGAsYHQ/s72-c/3a76b624-ef1e-42f2-a0e4-b063f232f273.jpg)
Bashungwa:Serikali kulinda Viwanda vinavyozalisha vifaa tiba ya kujikinga na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hb4InVOSWwI/XoyHv8EAsQI/AAAAAAALmYk/zqFoOZXFD_cSAEGuINcJwfflCvhD07IZACLcBGAsYHQ/s640/3a76b624-ef1e-42f2-a0e4-b063f232f273.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uskOLWH85SU/XoyHwOtydZI/AAAAAAALmYo/jMnVVMZA0Qo6HEb7ZF30937L4sRf-z8YgCLcBGAsYHQ/s640/4e794062-8b13-4cc4-ae59-20f9984edc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kuCCFuPIwr0/XoyHvHQUthI/AAAAAAALmYc/kod8KCR9UPkNyBAYg0tKYe3kcqU63kmjgCLcBGAsYHQ/s640/079cf713-ae35-4bf8-a838-053898bb6642.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FrBUKu05jtc/XrVe4V4Y_zI/AAAAAAALpe4/3_kdD70AWC88lGa3lCaFVgINMwWVNBh2gCLcBGAsYHQ/s72-c/f9c472e9-8b11-401b-906c-2b20ea4e62ed.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUTOA TAKWIMU ZA MWENENDO WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FrBUKu05jtc/XrVe4V4Y_zI/AAAAAAALpe4/3_kdD70AWC88lGa3lCaFVgINMwWVNBh2gCLcBGAsYHQ/s640/f9c472e9-8b11-401b-906c-2b20ea4e62ed.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu akiongea na mwananchi kupitia kituo cha afya cha huduma kwa wateja mara baada ya kukizindua .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5572e3e8-f44a-48f4-b941-43bb12ba8d53-1024x683.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu akiongea wakati wa uzinduzi huo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/a1750514-60b7-4c83-87f0-1efd2e972d5d-1024x683.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiangalia namna watoa huduma wanavyopokea simu kutoka kwa wananchi kwa ajili ya kupata elimu kuhusu ugonjwa wa Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4b60229f-03aa-46aa-a162-e736a0a1db0b-1024x683.jpg)
Muonekano wa kituo cha afya cha huduma kwa wateja ambacho kitakua na wataalam 150 wa kutoa elimu na taarifa kwa wananchi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqiVZWfq2y5KjFxXhWCwTG7XUYKPJDPVoRJ2gGXb*LzDxWw73wLGtKkwCbjR009WUFYpCmpTuHuOar34SZCjj37/balali.jpg)
SERIKALI YAHAHA, YAMSAKA BALALI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JoL_OHySIU8/XpmctUeKLyI/AAAAAAALnPE/jxcMe6P3SXMo2L8JW8tbHPN0kwTIUGA_gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200417-114235_1587113051819.png)
MBUNGE JUMAA AUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUTOA MSAADA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JoL_OHySIU8/XpmctUeKLyI/AAAAAAALnPE/jxcMe6P3SXMo2L8JW8tbHPN0kwTIUGA_gCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200417-114235_1587113051819.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ctH1abdBvEo/XpmctFhtojI/AAAAAAALnPA/E7zy-WB8ghglZDw_r4sRKxVtRATo3nXTQCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200417-114918_1587113403210%2B%25281%2529.png)
Ndoo hizo pamoja na sabuni zimekabidhiwa katika Kituo cha Afya cha Mlandizi ili zisambazwe kwenye vituo vya Afya, Zahanati zote ,kwa wafanya biashara sokoni pamoja Standi ili kupambana na homa ya Corona.
Jumaa aliwataka wananchi wa...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Rais wa Madagascar adai kupata tiba ya corona
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona