SERIKALI YAMSAKA NABII ANAYEJITANGAZA KUWA ANATIBA YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mOsSkFSASgk/XkY5sxedNqI/AAAAAAACylU/eoic4VcdT-kQeo_NhLIEaz_dfbpt-QgoACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_3.png)
Na Ahmed Mahmoud,Arusha
Serikali ya Tanzania imemuonya vikali mtu anayejiita Nabii Namba saba ambaye jina lake halisi ni Mosses Mollel kuwa itamchukulia hatua kali iwapo atashindwa kuthibitisha madai kuwa na uwezo wa kutibu virusi Vya ugonjwa wa Corona .
Nabii huyo ambaye taarifa zake zilianza kusambaa mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii akidai anayodawa ya kutibu ugonjwa hatari wa Corona ulioanzia nchini China na kusababisha Vifo Vya watu zaidi ya 1100 hadi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sk7xfV9il3E/XkVtYLzbpfI/AAAAAAALdR8/4a7J0ABzoikGV5uxvZ2iuPVCxrxkxt0SACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200213_130502_313_2.jpg)
Serikali yamsaka Nabii anayejitangaza kutoa Tiba ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-sk7xfV9il3E/XkVtYLzbpfI/AAAAAAALdR8/4a7J0ABzoikGV5uxvZ2iuPVCxrxkxt0SACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200213_130502_313_2.jpg)
,Naibu Waziri wa Afya,Dkt Faustine Ndugulile
Na Ahmed Mahmoud,Arusha
Serikali ya Tanzania imemuonya vikali mtu anayejiita Nabii Namba saba ambaye jina lake halisi ni Mosses Mollel kuwa itamchukulia hatua kali iwapo atashindwa kuthibitisha madai kuwa na uwezo wa kutibu virusi Vya ugonjwa wa Corona .
Nabii huyo ambaye taarifa zake zilianza kusambaa mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii akidai anayodawa ya kutibu ugonjwa hatari wa Corona ulioanzia nchini China na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi
![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s640/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Aidha wapinzani wanautazama uchaguzi huo ambao utafanyika kesho Jumapili kuwa mbinu za rais Alpha Condé ambaye anataka kubadilisha katiba ili aweze kuwania muhula wa tatu kinyume cha sheria ya sasa.
Ingawa katiba mpya ambayo inatazamiwa kuidhinishwa katika kura ya maoni ina kipengee cha...
5 years ago
CCM Blog![](https://3.bp.blogspot.com/-7JmxluI1jdk/XpceKqSs0-I/AAAAAAACJ1Y/qvX-Or_Lmx0yULpabxIFR2sckf0vukJaACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0059.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAASWA WATUMISHI WA SERIKALI MIPAKANI KUTOISALITI NCHI YAO KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Mh. Wangabo amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kwani kuwapitisha wageni hao kwa kutumia rushwa kutasababisha nchi itaingia kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Watumishi wa Serikali mipakani waaswa kutoisaliti nchi yao kujiepusha na ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Bandari ya Kabwe, Wilayani Nkasi, Mkoani Rukwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0102-scaled.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo pamoja na Kikosi cha Ulinzi na Usalama Mkoa akitoa maelekezo baada ya kuiona nyumba itakayotumika kwaajili ya kuhifadhi wageni kwa siku 14 katika bandari ya Kabwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0086-scaled.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (katikati) akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mh. Said Mtanda (kushoto) pamoja na msimamizi wa Bandari ya Kabwe Mohamed Issa (Kulia) na wengineo wakati wakiingia katika lango kuu la bandari hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s72-c/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAHIMIZWA KUISADIA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s400/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
Akizungumza na Vyombo vya habari Msemaji wa Taasisi ya dini ya Kiislaamu ya TWARIQA Qadiria,Jalailania Arrasziqia Tanzania Shekhe Haruna Hussein alisema viongozi wa dini Wana nafasi kubwa Sana katika kusaidia mapambano haya ya Virusi vya Corona,kwa kuhakikisha kuwa katika...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...
10 years ago
GPLNABII YASPI BENDERA ATINGA GLOBAL, ATOA UTABIRI KUHUSU UGONJWA WA EBOLA
10 years ago
Michuzi12 Aug