SERIKALI YATAKIWA KUKOMESHA UBABE KWENYE UKEKETAJI
Mgeni rasmi Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaudentia Kabaka akisalimiana na Mhashamu Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma Mkoani Mara, Michael Msongazila mara baada ya kuwasili kwenye mahafali hayo. Mratibu wa kituo cha TFGM na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Mtakatifu Catherine Laboure ya Kijiji cha Masanga kilichopo wilayani Tarime mkoani Mara, Thomas Maruga akiwatembeza maeneo mbalimbali ya shule hiyo na Mratibu Mkazi wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Serikali yatakiwa kukomesha ubabe kwenye ukeketaji
Mratibu wa kituo cha TFGM na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Mtakatifu Catherine Laboure ya Kijiji cha Masanga kilichopo wilayani Tarime mkoani Mara, Thomas Maruga akiwatembeza maeneo mbalimbali ya shule hiyo na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt. Natalia Kanem (kushoto) wakati wa sherehe ya...
10 years ago
GPLTAMKO LA PAMOJA KWA SIKU YA KIMATAIFA YA KUKOMESHA UKEKETAJI DHIDI YA WA WATOTO WA KIKE
10 years ago
Habarileo21 Mar
EU yaanzisha mradi kukomesha ukeketaji
UMOJA wa Ulaya (EU) kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Plan umeanza mradi maalumu wa miaka miwili katika wilaya ya Tarime mkoani Mara, kuzuia ndoa za utotoni na vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike utakaogharimu zaidi ya Euro 400,000.
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Tamko la pamoja kwa siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji dhidi ya wa watoto wa kike
UNFPA, UNICEF, Shirikisho la Kimataifa la Wakunga na Shirikisho la Kimataifa la Magonjwa ya Wanawake na Uzazi.
Wito kwa wafanyakazi wa afya duniani kote ili kuhamasisha kukomesha ukeketaji
Kwa mwaka 2015, ujumbe wa kimataifa wa siku ya kupinga ukeketaji umewalenga wahudumu wa afya; “Uhamasishaji na ushirikishwaji wa wafanyakazi wa Afya ili kuharakisha kutokomeza ukeketaji”. Na hii ni kwa sababu asilimia 34 ya ukeketaji duniani hufanywa na wahudumu wa afya.
Pamoja na ujumbe huu mahsusi kwa...
11 years ago
GPLSERIKALI WILAYANI NGORONGORO YATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA REDIO ZA KIJAMII
10 years ago
MichuziTANZANIA YASAINI MAKUBALIANO NA UINGEREZA YA KUKOMESHA NDOA ZA UTOTONI NA UKEKETAJI KWA WATOTO KIKE
11 years ago
GPLWAZIRI SIMBA AZINDUWA MKUTANO KUJADILI UTOKOMEZAJI UKEKETAJI TANZANIA
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Serikali imeshindwa kukomesha mapigano haya?
KWA mara nyingine yamezuka mapigano baina ya wakulima na wafugaji wa jamii ya Kimasai katika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Vurugu hizo zinadaiwa kuzuka jana asubuhi baada ya wakulima kuamua...
11 years ago
GPLSERIKALI, UNDP, PATH WAKUBALIANA NJIA BORA YA KUKABILIANA NA TB, MALARIA NA MAGONJWA KWENYE NCHI ZA JOTO