Serikali yawapiga kufuli akina Lowassa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanasiasa walioshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu hawaruhusiwi kuitisha mikutano ya hadhara kwa ajili ya kuwashukuru wananchi kwa kuwa wanaweza kuvuruga shughuli za maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Serikali yawapiga msasa madereva wanaosafirisha kemikali
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mdereva wa magari yanayosafirisha kemikali ndani na nje ya nchi, mafunzo yanayolenga kuwajengea uwezo wa usafirishaji salama wa kemikali za viwandani na Majumbani. Katikati ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara Bw. George Kasinga toka ofisi hiyo na wa mwisho kulia ni Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali inaendelea kuimarisha mifumo yausafirishaji wa Kemikali ndani na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o6MEnD5NZhI/U_DW8trzcSI/AAAAAAAGATg/hfLzSZDPaIU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Serikali yawapiga msasa viongozi wa elimu ngazi ya Mikoa
10 years ago
Habarileo05 Dec
‘Kufuli la Dhahabu’ laitesa Mahakama
IDARA ya Mahakama imeeleza kuwa inajipanga kuhakikisha inashirikiana na vyombo vya habari ili ipate Tuzo ya Ufunguo wa Dhahabu.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-q5W_UubIsVE/VQ09-ZiRNcI/AAAAAAAAYk4/vVoe3aLmfJI/s72-c/1.jpg)
KINANA AKUTANA NA KUFULI KILTEX
![](http://4.bp.blogspot.com/-q5W_UubIsVE/VQ09-ZiRNcI/AAAAAAAAYk4/vVoe3aLmfJI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Etc7HrOiPdU/VQ0-RBK67UI/AAAAAAAAYlI/D0iUW92PRYQ/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1UfWRE1k4KI/VQ0-mIfsIlI/AAAAAAAAYlY/I93ECYhvvKQ/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9iZZYGSNnb4/VQ0-jsVXQ_I/AAAAAAAAYlQ/87-o7O5JJ3Q/s1600/4.jpg)
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Magufuli afunga kufuli TRA
*Amsimamisha kazi Kamishna Mkuu Bade, amteua Mpango kukaimu
*Waziri Mkuu Majaliwa asimamisha watano, awakabidhi mikononi mwa polisi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Rished Bade, kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya Sh bilioni 80 na kumteua Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Philip Mpango, kukaimu nafasi hiyo.
Sambamba na hatua hiyo, Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amewasimamisha...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Phiri amtia kufuli Mkude
10 years ago
Michuzi20 Feb
Kiwanda cha 21st Century chapigwa Kufuli
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira, limetoa amri ya kfungwa shughuli za uzalishaji katika Kiwanda cha nguo cha 21st Century Limited kilichopo Kihonda Mkoani Morogoro leo ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira.
Hatua hiyo imechukuliwa kufuatiwa na kupuuzwa kwa maelekezo na maagizo ya mazingira yaliyokuwa yakitolewa nyakati tofautit tofauti na Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ...
10 years ago
MichuziMtaa wa Msimbazi Kariakoo, wapigwa kufuli kwa muda
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVCUwWJm8R4/VRuajT_8oXI/AAAAAAAHOtQ/RMHtTUW57DM/s1600/IMG-20150401-WA0004.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Membe: Bila kufuli la CCM pasingetosha urais 2015