Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kufuli la Dhahabu’ laitesa Mahakama

IDARA ya Mahakama imeeleza kuwa inajipanga kuhakikisha inashirikiana na vyombo vya habari ili ipate Tuzo ya Ufunguo wa Dhahabu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Magufuli afunga kufuli TRA

Pg 1*Amsimamisha kazi Kamishna Mkuu Bade, amteua Mpango kukaimu

*Waziri Mkuu Majaliwa asimamisha watano, awakabidhi mikononi mwa polisi

 

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Rished Bade, kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya Sh bilioni 80 na kumteua Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Philip Mpango, kukaimu nafasi hiyo.

Sambamba na hatua hiyo, Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amewasimamisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri amtia kufuli Mkude

Dar es Salaam. Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amemshauri kiungo wake  chipukizi, Jonas Mkude asiondoke ndani ya timu hiyo kwa sasa na  kumwambia akienda Yanga amekwisha.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AKUTANA NA KUFULI KILTEX

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimwaga saruji wakati wa kushiriki ujenzi wa barabara ya Olorieni kwa kiwango cha Lami ikiwa sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiendesha gari maalum la kuchonga barabara wakati wa ujenzi ya barabara ya Olorieni,Arusha mjini.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiingia kwenye kiwanda cha matairi cha Arusha kinachojulikana kama General Tyre.
 Kiwanda cha Matairi cha...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawapiga kufuli akina Lowassa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanasiasa walioshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu hawaruhusiwi kuitisha mikutano ya hadhara kwa ajili ya kuwashukuru wananchi kwa kuwa wanaweza kuvuruga shughuli za maendeleo.

 

10 years ago

Michuzi

Kiwanda cha 21st Century chapigwa Kufuli

Na Victor Mariki – Ofisi ya Makamu wa Rais
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira, limetoa amri ya kfungwa shughuli za uzalishaji katika Kiwanda cha nguo cha 21st Century Limited kilichopo Kihonda Mkoani Morogoro leo ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira.
Hatua hiyo imechukuliwa kufuatiwa na kupuuzwa kwa maelekezo na maagizo ya mazingira yaliyokuwa yakitolewa nyakati tofautit tofauti na Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ...

 

10 years ago

Mwananchi

Membe: Bila kufuli la CCM pasingetosha urais 2015

Uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM wa kuwadhibiti kwa mwaka mmoja makada wake sita waliobainika kukiuka kanuni kwa kuanza mapema kampeni za urais, unaweza kuwa uliwakera wengi, lakini si Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, ambaye ni mmoja wa ‘waliofungwa kufuli’.

 

10 years ago

Michuzi

Mtaa wa Msimbazi Kariakoo, wapigwa kufuli kwa muda

Barabara ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam, imefungwa kwa muda  ili kupisha ukarabati wa Barabara hiyo,ulioanza rasmi leo.ukarabati ushaanza kushika kasi katika Barabara ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo.kibao cha kuonyesha kufungwa kwa Mtaa huo kuanzia Barabara ya Morogoro mpaka Mtaa wa Mafia.hivyo watumiaji wa njia hii mnapaswa kutafuta mbadala wake.mambo yameiva Msimbazi. 

 

10 years ago

KwanzaJamii

MEMBE ASEMA, BILA CCM KUWATIA KUFULI PASINGETOSHA URAIS 2015

Uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM wa kuwadhibiti kwa mwaka mmoja makada wake sita waliobainika kukiuka kanuni kwa kuanza mapema kampeni za urais, unaweza kuwa uliwakera wengi, lakini si Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, ambaye ni mmoja wa ‘waliofungwa kufuli’. Membe anaona adhabu hiyo ilikuwa mwafaka na kwamba laiti uamuzi huo usingefanywa mapema, “ingekuwa vurugu tupu”. “Sijui nchi hii ingekuwa wapi kama watu wangeachwa bila ya kuwekewa ‘gavana’,” alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hichi ndicho alichokisema Irene Uwoya kuhusu yeye kuvaa nguo ya ndani ama kufuli.

Mrembo na staa wa filamu nchini Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a kufuli. Irene amesema hayo alipokuwa akizungumza na magazine maarufu ya burudani ya VIBE.

Alipoulizwa na mwandishi wa jarida hilo kuwa ni nguo gani ni vigumu kuikuta kwenye kabati lake,  “Chupi – sipendi kabisa hilo vazi” Alisema Irene uwoya. Hatari sana hii.

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani