‘Kufuli la Dhahabu’ laitesa Mahakama
IDARA ya Mahakama imeeleza kuwa inajipanga kuhakikisha inashirikiana na vyombo vya habari ili ipate Tuzo ya Ufunguo wa Dhahabu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Magufuli afunga kufuli TRA
*Amsimamisha kazi Kamishna Mkuu Bade, amteua Mpango kukaimu
*Waziri Mkuu Majaliwa asimamisha watano, awakabidhi mikononi mwa polisi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Rished Bade, kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya Sh bilioni 80 na kumteua Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Philip Mpango, kukaimu nafasi hiyo.
Sambamba na hatua hiyo, Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amewasimamisha...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Phiri amtia kufuli Mkude
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-q5W_UubIsVE/VQ09-ZiRNcI/AAAAAAAAYk4/vVoe3aLmfJI/s72-c/1.jpg)
KINANA AKUTANA NA KUFULI KILTEX
![](http://4.bp.blogspot.com/-q5W_UubIsVE/VQ09-ZiRNcI/AAAAAAAAYk4/vVoe3aLmfJI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Etc7HrOiPdU/VQ0-RBK67UI/AAAAAAAAYlI/D0iUW92PRYQ/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1UfWRE1k4KI/VQ0-mIfsIlI/AAAAAAAAYlY/I93ECYhvvKQ/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9iZZYGSNnb4/VQ0-jsVXQ_I/AAAAAAAAYlQ/87-o7O5JJ3Q/s1600/4.jpg)
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Serikali yawapiga kufuli akina Lowassa
10 years ago
Michuzi20 Feb
Kiwanda cha 21st Century chapigwa Kufuli
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira, limetoa amri ya kfungwa shughuli za uzalishaji katika Kiwanda cha nguo cha 21st Century Limited kilichopo Kihonda Mkoani Morogoro leo ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira.
Hatua hiyo imechukuliwa kufuatiwa na kupuuzwa kwa maelekezo na maagizo ya mazingira yaliyokuwa yakitolewa nyakati tofautit tofauti na Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ...
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Membe: Bila kufuli la CCM pasingetosha urais 2015
10 years ago
MichuziMtaa wa Msimbazi Kariakoo, wapigwa kufuli kwa muda
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVCUwWJm8R4/VRuajT_8oXI/AAAAAAAHOtQ/RMHtTUW57DM/s1600/IMG-20150401-WA0004.jpg)
10 years ago
KwanzaJamii02 Sep
MEMBE ASEMA, BILA CCM KUWATIA KUFULI PASINGETOSHA URAIS 2015
10 years ago
Bongo Movies16 Aug
Hichi ndicho alichokisema Irene Uwoya kuhusu yeye kuvaa nguo ya ndani ama kufuli.
Mrembo na staa wa filamu nchini Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a kufuli. Irene amesema hayo alipokuwa akizungumza na magazine maarufu ya burudani ya VIBE.
Alipoulizwa na mwandishi wa jarida hilo kuwa ni nguo gani ni vigumu kuikuta kwenye kabati lake, “Chupi – sipendi kabisa hilo vazi” Alisema Irene uwoya. Hatari sana hii.