Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sh5 mil kutumika kuleta umeme

Chama cha Msingi cha Wakulima wa Tumbaku, Kata ya Kisanga wilayani Sikonge, kimetenga Sh5 milioni za mauzo ya tumbaku kwa msimu wa 2013/14 kwa ajili ya kutunisha mfuko maalumu wa kuweka umeme kwenye vijiji vitatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu mazao ya Sh5 mil

>Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Majengo, Manispaa ya Dodoma wanaouza mazao ya nafaka, wamepata hasara ya Sh5 milioni baada ya mazao yao kuharibiwa na mvua.

 

10 years ago

Mwananchi

Nesi atekwa Dar, watekaji wataka Sh5 mil

Watu wasiojulikana wamemteka Muuguzi wa Hospitali ya Mwananyamala, Pili Amiri, huku wakitoa sharti la kupewa Sh5 milioni ili wamuache huru.

 

11 years ago

Habarileo

Sh mil 120 kutumika kukarabati mahakama

Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman MakunguJUMLA ya Sh milioni 120 zitatumika kwa ajili ya kuyafanyia ukarabati majengo mawili ya Mahakama ya Makunduchi na Mahakama ya Kadhi Mwanakwerekwe mjini Unguja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kuleta umeme Afrika

Wabunge nchini Marekani wameidhinisha mpango wa kuleta umeme kwa zaidi ya watu millioni hamsini Kusini mwa jangwa la Sahara

 

10 years ago

BBCSwahili

Akon kuleta umeme Afrika

Muimbaji wa miondoko ya R&b duniani 'Akon' raia wa Marekani ameamua kutumia muziki kuleta umeme Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Treni ya umeme yaanza kutumika Ethiopia

Wasafiri jijini Addis Ababa wamejawa na msisimko baada ya kuzinduliwa kwa treni ya umeme ya kubeba abiria mijini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nguzo za zege kuleta neema ya umeme

UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme gesi asilia sasa kutumika Desemba

Wizara ya Nishati na Madini inatarajia kuanza kutumia umeme wa gesi asilia kutoka kwenye moja ya mitambo yake iliyopo Kinyerezi jijini Dar es Salaam, ifikapo Desemba mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

UMEME WA GESI ASILIA KUANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI

 Waziri wa nishati na madini George Simbachawene akiwa na wajumbe wa Tanesco akitembelea miradi ya umeme wa gesi alisilia iliyogunduliwa Mtwala, katika kituo lilichojengwa na Kampuni ya mafuta ya Tanzania Petrolium Development Corpolation (TPDC) hii ni sehemu iliyojengwa ni kituo kikubwa cha kutunzia gesi ya kutengenezea umeme katika kituo cha Kinyerezi jijini Dar es Salaam leo. Ikiwa mhandisi wa kituo hicho amesema kuwa kituo hicho kipo tarari kutoa gesi asilia kwa Tanesco ili iweze...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani