Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shaa: Wanalazimisha kolabo za kimataifa kupata ‘ujiko’

>Wakati baadhi ya wasanii wa kiume wakichachamaa kurekodi nyimbo zao wakishirikiana na wanamuziki wakubwa wa kimataifa(kolabo), msanii wa kike katika muziki nchini Shaa, amesema kuwa hawezi kufanya jambo kama hilo na staa yeyote wa nje bila kuwa na hakika kwa manufaa upande wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Dully Sykes awabeza wasanii wanaofanya kolabo ‘za kimataifa’

Dully Sykes hazitaki mbichi hizi! Muimbaji na mtayarishaji huyo wa muziki amesema hana mpango wa kufanya kolabo na wasanii wa Afrika ambao hawajawahi hata kushiriki kwenye mashindano makubwa ya muziki duniani zikiwemo tuzo za BET. Dully ameiambia Story Tatu ya Planet Bongo kupitia East Africa Radio kuwa hatishiki na wasanii wanaofanya kolabo na wasanii wa […]

 

9 years ago

Dewji Blog

MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma

Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.

Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...

 

9 years ago

Mwananchi

Namna ya kupata alama ya ubora wa kimataifa

Katika uzalishaji wa bidhaa, viwango vya bidhaa ni kitu cha muhimu. Alama ya ubora ya kimataifa hutolewa na Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), ambalo lina wanachama zaidi ya nchi 160 duniani.

 

10 years ago

GPL

ODAMA, NISHA WAIPA UJIKO STEPS

Staa wa filamu Bongo, Jenipha Kyaka 'Odama'. Stori: Mwandishi wetu
MASTAA wa filamu Bongo, Nisha, Odama na Aunt Ezekiel wameipongeza kampuni ya Steps Entertainments kwa kitendo chake cha kuagiza mtambo wa kurekodia filamu kitu ambacho kitawasaidia wasanii kufaidika. “Kitendo cha kurekodia nje ya nchi kilikuwa kinawafanya wasambazaji kuongeza gharama za filamu zetu kwa walaji, kitu ambacho kilikuwa kikiwafanya...

 

11 years ago

GPL

PATI YA TBL BAADA YA NDOVU SPECIAL MALT KUPATA TUZO YA KIMATAIFA

Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli, akionyesha kikombe alichoshinda kupitia bia ya Ndovu kutoka katika Kampuni ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa ikiwa bia  yenye ubora wa kimataifa wakati wa hafla ya kupongezana na wadau wa bia hiyo iliyofanyika Dar es Slaam . Kikuli  na Meneja Masoko wa TBL wakionyesha kikombe walichoshinda kupitia bia ya Ndovu.… ...

 

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAPOKEA TUZO YA KIMATAIFA BAADA YA KUJIUNGA NA MPANGO WA KUPATA FEDHA.



MAKATABA wenya thamani ya dola za kimarekani milioni $700m uliosainiwa na washirika wa ndege ya Etihad kwa ajili ya upanuzi wa shirika hilo umetambuliwa na shirika lenye sifa duniani katika nyanja ya masuala ya kifedha na uchumi la “International Financing Review (IFR)” na hivyo kuitunuku shirika la ndege la Etihad na tuzo maalum. 
Mkataba huo wa miaka mitano ulitambulika kama dhamana kubwa kabisa ya mwaka iliyosainiwa kutoka barana ulaya, mashariki ya kati na Afrika, katika hafla...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD lapokea tuzo ya kimataifa baada ya kujiunga na mpango wa kupata mikopo ya kifedha

Etihad_Airways_-_Airbus_A380-861

Mkataba wenya thamani ya dola za kimarekani milioni $700m uliosainiwa na washirika wa ndege ya Etihad kwa ajili ya upanuzi wa shirika hilo umetambuliwa na shirika lenye sifa duniani katika nyanja ya masuala ya kifedha na uchumi la “International Financing Review (IFR)” na hivyo kuitunuku shirika la ndege la Etihad na tuzo maalum. 

Mkataba huo wa miaka mitano ulitambulika kama dhamana kubwa kabisa ya mwaka iliyosainiwa kutoka barana ulaya, mashariki ya kati na Afrika, katika hafla...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA RITHT HERE NCHINI IMEPATA MWEKEZAJI MPYA NA KUPATA UBIA NA KAMPUNI KUBWA YA KIMATAIFA.



Kampuni ya matangazo ya FLAMETREE iliyojikita Africa mashariki sasa imezinduliwa upya na kupewa jina jipya la RIGHT HERE TANZANIA, mabadiliko haya yametokana na kuingia kwa mwekezaji mpya wa kimataifa ambaye ameonyesha nia ya dhati ya kuwekeza kwenye kampuni hii kufuatia utendaji mzuri aliouona kwenye kampuni hiyo na kuamua kuongeza nguvu zaidi katika kuinua utendaji, uwekezaji huu unatarajiwa kuongeza tija na muamko wa wafanyakazi na wateja wao. Kufuatia mabadiliko haya sasa kampuni ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAANGALIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI WAENDELEA KUPATA UFAFANUZI JUU YA MASUALA YANAYOHUSIANA NA VYAMA VYA SIASA NA UCHAGUZI.

 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini . Jaji Francis S. K  Mutungi akizungumza na Waangalizi wa  uchaguzi Mkuu  kutoka Bunge la Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi hiyo jana Oktoba 21,2015. Baadhi ya Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Bunge la Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)kushoto ni Msajili Msaidizi Usajili wa Vyama vya Siasa Bw. Sisty Nyahoza akielezea utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa ,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani