Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ODAMA, NISHA WAIPA UJIKO STEPS

Staa wa filamu Bongo, Jenipha Kyaka 'Odama'. Stori: Mwandishi wetu
MASTAA wa filamu Bongo, Nisha, Odama na Aunt Ezekiel wameipongeza kampuni ya Steps Entertainments kwa kitendo chake cha kuagiza mtambo wa kurekodia filamu kitu ambacho kitawasaidia wasanii kufaidika. “Kitendo cha kurekodia nje ya nchi kilikuwa kinawafanya wasambazaji kuongeza gharama za filamu zetu kwa walaji, kitu ambacho kilikuwa kikiwafanya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Shaa: Wanalazimisha kolabo za kimataifa kupata ‘ujiko’

>Wakati baadhi ya wasanii wa kiume wakichachamaa kurekodi nyimbo zao wakishirikiana na wanamuziki wakubwa wa kimataifa(kolabo), msanii wa kike katika muziki nchini Shaa, amesema kuwa hawezi kufanya jambo kama hilo na staa yeyote wa nje bila kuwa na hakika kwa manufaa upande wake.

 

10 years ago

Mwananchi

NMB waipa udhamini Azam FC

Benki ya NMB imeingia mkataba wa udhamini wa miaka miwili na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, wenye thamani ya Sh 2 Bilioni.

 

10 years ago

Habarileo

Kondoa waipa uzito CCM

MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma, yanaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza katika vijiji na vitongoji vingi.

 

10 years ago

Habarileo

Masasi waipa CCM ushindi wa kimbunga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Masasi kimeendelea kufanya vizuri katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji huku baadhi ya vyama vya upinzani wilayani humo, vikikiri kuwa bado ni vigumu kukiondoa madarakani chama tawala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Dar waipa Tanesco siku 10

UMOJA wa wakazi waishio jijini Dar es Salaam zaidi ya 200 wametoa siku 10 kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kubadilisha bei mpya ya umeme na kurejesha iliyokuwepo awali. Akizungumza...

 

9 years ago

Habarileo

GSM Media waipa Taswa mil 50/-

TAASISI ya GSM Media ya Dar es Salaam imetoa Sh milioni 50 kwa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kwa ajili ya kudhamini tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete.

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha waipa neno beki ya Stars

Makocha Mecky Mexime, Fred Minziro na Jackson Mayanja wamebainisha matatizo makuu matatu yanayoisumbua safu ya ulinzi ya timu ya taifa (Taifa Stars), ambayo yanaweza kuwagharimu katika harakati za kutafuta tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini waipa somo serikali

SERIKALI imetakiwa kuwapa kipaumbele watu waliopo katika maeneo kunapogundulika rasilimali ili waweze kunufaika na rasilimali hizo. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Sheikh Abubakar Zuberi kwa niaba ya Baraza...

 

10 years ago

Mwananchi

Diwani, wafuasi wake waipa pigo CUF Tanga

Chama cha Wananchi (CUF) kimepata pigo baada ya diwani wake maarufu wa Kata ya Marungu, Wilaya ya Tanga, Mohamed Mambeya kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani