Shakila kumsindikiza Mashauzi
MWIMBAJI mkongwe wa taarabu, Shakila Said, anatarajiwa kumsindikiza Isha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’ katika onyesho maalumu la kumpongeza mshindi huyo wa tuzo mbili za muziki huo nchini. Onyesho hilo linatarajiwa kufanyika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aMZYI63gCX4/VP32rRWRhmI/AAAAAAAHJOM/QB8NDRmZXCk/s72-c/press%2Bpic.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
9 years ago
Mtanzania06 Jan
TFF kumsindikiza Samatta tuzo za Afrika
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa, anatarajia kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta, kuelekea kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barani Afrika nchini Nigeria.
Samatta ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika, anawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani.
Taarifa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s72-c/Upendo%2BNkone.jpg)
Upendo Nkone kumsindikiza Bonny Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s320/Upendo%2BNkone.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama Nkone amekuwa wa kwanza na ameonesha nia ya kumsindikiza Mwaitege kwa sababu ya ubora wa uzinduzi huo. “Uzinduzi wa Mwaitege utakuwa ni wa aina yake kwa sababu maandalizi yake kwa yamefanywa kwa ustadi mkubwa hasa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GFxjMb9sNAA/VaPOKUTNh8I/AAAAAAAHpYI/ytx-oABxVtU/s72-c/p.txt.jpg)
Danny Bulenge: Naweza kumsindikiza Mwaitege
![](http://4.bp.blogspot.com/-GFxjMb9sNAA/VaPOKUTNh8I/AAAAAAAHpYI/ytx-oABxVtU/s640/p.txt.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hOFJ8akGy1k/U7wFGR7tEmI/AAAAAAAFyaA/Gp9yPjJB3og/s72-c/nkone.jpg)
Upendo Nkone kumsindikiza Rose Muhando
![](http://1.bp.blogspot.com/-hOFJ8akGy1k/U7wFGR7tEmI/AAAAAAAFyaA/Gp9yPjJB3og/s1600/nkone.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w8U2fm0AxWE/VYwiE1I-ANI/AAAAAAAC7b0/PcGZ9uZ6xVw/s72-c/10853650_783884661659685_182485499_o.jpg)
Waimbaji wa ndani waomba kumsindikiza Bonny Mwaitege
![](http://4.bp.blogspot.com/-w8U2fm0AxWE/VYwiE1I-ANI/AAAAAAAC7b0/PcGZ9uZ6xVw/s320/10853650_783884661659685_182485499_o.jpg)
Uzinduzi huo unaotarajia kufanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam ambao utashirikisha albamu tatu za muimbaji huyo zinazoendelea kurekodiwa jijini Mwanza.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama hivi sasa utaratibu wa kurekodi albamu hizo unaendelea jijini Mwanza. Msama aliyezungumza...
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Christian Bella kumsindikiza Miss Albino Novemba 27
![Christian Bella](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Christian-Bella-200x300.jpg)
MFALME wa Sauti, Christian Bella, anatarajiwa kutumbuiza katika shindano la kumsaka mrembo albino ‘Miss Albino’ linalotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu, kwenye Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam.
Shindano hilo awali lilipangwa kufanyika Septemba 4 mwaka huu katika Hoteli ya Serena, lakini likashindikana hadi lilipotangazwa tena.
Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF), Fredy Kaula, walioandaaa shindano hilo, alisema...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Dk. Slaa: Siko tayari kumsindikiza fisadi Ikulu
YAFUATAYO ni mahojiano kuhusu masuala mbalimbali kati ya Mwandishi Wetu, DEUS BUGAYWA na aliyekuw
Mwandishi Wetu