Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEREHE YA WATOTO, MIJIMAMA YATIA AIBU!

Richard bukos Ama kweli dunia imekwisha! Hayo yalidhihirishwa Jumamosi iliyopita baada ya kundi la mijimama kuwamwagia radhi watoto walio chini ya umri wa miaka saba ambao walikuwa wakitolewa jandoni katika kigodoro kilichofanyika Kigogo Luhanga jijini Dar.  ....Soma zaidi====>http://goo.gl/kU5BZY

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yatia aibu Congo Brazaville

Jahazi la Tanzania katika michezo ya Afrika nchini Congo –Brazzaville limezama katika michezo ya Afrika baada ya awali kwenda mrama katika michezo ambayo timu hizo zilishiriki.

 

11 years ago

Mwananchi

Unyanyasaji huu wa watoto ni aibu kwa taifa

Watafiti wa masuala ya haki za binadamu wamefanya utafiti na kutoa taarifa kwamba wapo watoto magerezani wanaochanganywa na watu wazima, hivyo kuainisha kuwa hayo ni mateso makubwa kwa watoto kisaikolojia na kimakuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la aibu kupita kiasi kwa watoto

Mtoto wako ana aibu kupita kiasi? Unafahamu kuwa kitendo cha mtoto wako kuwa katika hali hiyo kinaweza kuathiri hata maisha yake ya baadaye?

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa: Aibu watoto wetu kufanya kazi za ndani

MBUNGE wa Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa amewataka wazazi kuacha tabia ya kuwapeleka watoto wao waliohitimu darasa la saba kufanya kazi za ndani mijini kwa kuwa ni aibu kwa wakazi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini tuone aibu kuzaa watoto wenye ulemavu?

Makala yangu ya mwisho nilieleza kuhusu hali ya watoto wenye ulemavu na majukumu wanayokabiliana nayo wazazi na walezi wa watoto hao.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mijimama’ inavyoingiza waosha kucha, miguu katika hatari ya kuambukizwa VVU

>Utengenezaji wa kucha na uoshaji miguu ni biashara inayokuwa kwa kasi hasa maeneo ya mijini ambapo wanawake wengi wanahusudu na kujihusisha na masuala ya urembo.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA ‘ESCROW’ NOMA, WATOTO WA KIGOGO WAFANYA BETHIDEI YA MAMILIONI

Bethidei ya Hassan na Khadija Dilunga wakiwa na makapu ya fedha.
MSHANGAO!
WAKATI dunia ikiingia Mwaka Mpya wa 2015, taarifa ikufikie kwamba kigogo mmoja ambaye ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar amewaangushia wanaye, Hassan na Khadija Dilunga sherehe ya kuzaliwa ambayo imepachikwa jina la ‘Escrow’ kufuatia kufuru ya fedha iliyooneshwa na wahusika hivyo kuwa ndiyo gumzo la mjini kwa wikiendi iliyopita.
Sherehe hiyo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Msasani Tower jijini Dar juzi ambapo...

 

10 years ago

GPL

SHEREHE YA ‘ESCROW’ NOMA, WATOTO WA KIGOGO WAFANYA BETHIDEI YA MAMILIONI

Stori: Hamida Hassan WAKATI dunia ikiingia Mwaka Mpya wa 2015, taarifa ikufikie kwamba kigogo mmoja ambaye ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar amewaangushia wanaye, Hassan na Khadija Dilunga sherehe ya kuzaliwa ambayo imepachikwa jina la ‘Escrow’ kufuatia kufuru ya fedha iliyooneshwa na wahusika hivyo kuwa ndiyo gumzo la mjini kwa wikiendi iliyopita. Bethidei ya Hassan na Khadija Dilunga wakiwa na makapu ya fedha....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani