SHOGA, UMEMLETA MWENYEWE NDANI, UNAKIMBIA NINI?
![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZe5fdNC8rYmEE3kzhbkCgDTJeIXiXFV7UxXm3zmPsABm8Z*fEtiWoJlNU4fenp-oIFW1d2cgRT-MdwH-a3kh23J/LOVE.jpg?width=650)
JAMANI hamjambo naona viroho vinawadunda baada ya kuufunua ukurasa huu na kujiuliza leo kombora linaangukia kwa nani? Jamani narudia sipo kwa ajili ya kuwarusha roho bali mtajirusha wenyewe kutokana na tabia zenu mbaya. Nia yangu ni kumuona mwanamke mwenzangu mambo ya kike hayampiti kando. Jamani kuna mambo mengine yanasikitisha, hivi kwa nini umuogope mwanamke mwenzio mwenye viungo kama wewe? Juzi nilikutana na mtoto wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTYIL3aKtLUstTPHl5Qo3xEnzw0msBgljuJB8KRdNrbub*ravCUwPHTfCXkCpeyWM4ThRQo7YkVLuoDQRZ0DJFX/Judithtwoandahalfmen1360629320802560.jpg?width=650)
SHOGA, NYUMBA NDOGO UMEZITAKA MWENYEWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*YcsC3scmmbdQqhiCODcgls2ZLwJGaZT4JiNwlsOCKRsloDcMwCfrT1BisOW0zGPF73EUUnekHjZDyH3UZW8QW/LOVE.jpg?width=650)
SHOGA: MUMEO ANAKURIDHISHA MCHEPUKO WA NINI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23S5CJrG-SuiqdayiwgG3Amj8TGb2WlzoSAX5VcTGCA3el67epRDdBH899I2bxWuD9wWmHI-2KBDgs-UWZS7jPQ/unhappywoman.jpg?width=650)
SHOGA: KWA NINI MUMEO AKUSALITI?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi64tQlmQwKMM-XU89tFBaaqgn00PWpX9qDGL-DNIM-sb*JFevSOMCTD2Kk4Q95TxYXhNbIfklwPfQV-pEA*K2ELg/AishwaryaRai.jpg?width=650)
SHOGA: UNA VYUMBA VIWILI, NDUGUZO WA NINI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/Bp6VsFxYvcIMJqFuEuMvvhOT2MpHyjBXpdLYfHtYI1pBG5nantAOfseYaFYajS6kkBbU7ipJfQSe1VBTMcvL2MEhLO-fI4LX/MaishanaMahusiano.jpg?width=650)
SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii
Jina lake lilianza kutajwa na Watanzania wengi kupitia hit single zake kama ya ‘haturudi nyuma’ ft Juliana ni miaka imepita toka wimbo wake wa mwisho uwe kwenye TOP 10 ya Radio za Tanzania, sasa juzi zikatufikia habari kwamba Kidumu ameokoka na sasa hatoonekana akiimba muziki tuliozoea kumuona nao, ni kweli? ni kitu gani kilitokea hasa? […]
The post Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLUbkrW853sKPvKM1sUD4ERoZoqMrs2aEw*PbSErEDFd6SCtUEi5yWcTkjBwffoKzCKdEtgUwKPUus-DOyYl4He/EveTorreswwedivas31020883642722.jpg?width=650)
SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Nini majaliwa ya Zitto ndani ya Chadema?
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Nini kifanyike katika Sekta ya utalii ndani ya utawala unaokuja? 2015-2025
Tanzania katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, 2005-2015, imeweza kukuza uchumi wake kupitia sekta ya utalii, hasa kwa kuwa na maendeleo makubwa katika kuongeza ajira, ongezeko la fedha za kigeni na kuifanya nchi kutambulika kitaifa.
Sekta ya utalii Tanzania 2014, iliweza kuongeza pato la taifa kwa 14%, ambapo ni sawa na billioni za Kitanzania 8,252.7 na kukadiriwa kupanda kwa 1.3%mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2015. Kwa upande mwingine sekta hii haijafanya vizuri zaidi ukiringanisha...