Sifikirii kama siasa inaweza kunilipa kama sanaa- JB
Mwigizaji wa Bongo movie na mkurugenzi wa kampuni ya Jerusalem Film, Jacob Stephen ‘JB’ amesema kuwa upande wake anaona sanaa inalipa kuliko siasa. Akizungumza na Global Publishers, JB amesema kuwa kupitia sanaa ameweza kutoa ajira kwa watu wasiopungua 30 katika kila filamu anayoitoa. “Sanaa inanilipa, sifikirii kama ubunge au siasa kwa ujumla inaweza kunilipa kama […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
ACT inaweza ikafa kama CCJ
SIASA ni mchezo mchafu. Kauli hii huwa inatumiwa sana na watu wengi wanapozungumzia mambo ya kisiasa! Kismsingi siasa ndiyo inayoongoza serikali ya taifa lolote. Mwaka 1992, Sheria ya kuanzishwa kwa vyama...
9 years ago
Bongo522 Dec
Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu
Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.
Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani
“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...
10 years ago
Bongo Movies10 Jul
Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete
Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu
Vicent Kigosi “Ray”...
10 years ago
Vijimambo5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Wafanyakazi wa kipato cha chini Kenya kama kama Esther wahofia
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KAMA ANGELIJUA KESHO YAKE ANGESIMAMISHWA KAZI SIDHANI KAMA ANGEKUWEMO KWENYE HOTUBA YA JK
10 years ago
VijimamboMkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.