Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIGARA YA KUOKOTA HAIISHI HAMU, TATU ZIKIISHA INATOSHA

JAMANI eeh! Hali ni mbaya hebu basi tujionee huruma mwenye kwani kila anayelia siku zote ushika kichwa chake na hakuna anayepokewa matatizo. Jamani hebu basi tulijue hilo, kwa nini basi tuwe kama wanyama wasiojua zuri na baya. Inaweezekana nimeanza kwa kasi ya ajabu kitu ambacho si kawaida yangu lakini kwa hilo sihitaji kukujulia hali kwa vile mwenyewe hutaki kuijua hali yako.
Jana kaja shostito wangu ambayo biashara zake huwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?

Jiji la Mwanza linakadiriwa kuwa na wafanyabiashara kati ya 2,800 hadi 3,000 wanaojishughulisha na biashara mbalimbali huku likitajwa kuwa jiji la pili kuchangia pato la Taifa .

 

10 years ago

Mwananchi

Cheka aona ngumi hazilipi, arudi kuokota chupa

Nyumbani kwa bondia Francis ‘SMG’ Cheka hakuishi pilika ambazo zinatokana na kazi ya chupa za plastiki anayofanya bingwa huyo wa zamani wa dunia wa WBF.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND UHURU PARTY WASHINGTON DC -KUTOKANA NA MAOMBI YA WENGI "TUMEFANIKIWA KUONGEZA NAFASI "20 TU" TAFADHALI ZIKIISHA HIZI NDO BASI !

HOTEL WAMEKUBALI KUONGEZA NAFASI 20 TU,KAMA UNAHITAJI TAFADHALI PIGA SIMU HARAKA ZIKIISHA HIZI BASI MAANA CHUMBA NDO KITAKUWA KIMEJAA
                PIGA SIMU  # 301-661-6207     # 240-605-1870

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete: Miaka 10 inatosha

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa miaka 10 ya uongozi, inatosha kwa mkuu wa nchi kufanya mambo mengi na kuwa hahitaji muda zaidi kuweza kumaliza ajenda yake. Aidha, Rais Kikwete amewataka watumishi wa Ikulu, kumsaidia Rais ajaye hata kwa ari na nguvu zaidi kuliko hata walimvyosaidia yeye katika miaka yake yote 10 ya uongozi wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Malinzi: Inatosha kuiongoza BMT

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi amesema kipindi cha miaka mmitatu alichoongoza chombo hicho kinatosha na hawezi kuendelea hata kama Serikali itamwongezea muda.

 

11 years ago

Mwananchi

JUMA NATURE: Nyota wa muziki aliyejisomesha kwa kuokota, kuuza vyuma chakavu na vitumbua

>Historia yoyote huwa na msingi wake. Uwe wa kitu au mtu, historia hujengeka kutokana na matukio iwe ya kusikitisha, kusisimua, kufariji hata kutia moyo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Miaka 50 ya Muungano inatosha kufanya mabadiliko’

Arusha. Wakati Muungano unatimiza miaka 50 mwaka huu, licha ya kuwa na mafanikio kadhaa una changamoto nyingi ambazo zimeufanya uonekane kuwa unapitia katika kipindi kigumu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapenzi sio pesa, roho inatosha

Mapenzi yamtoa msichana wa kihindi katika familia ya kitajiri na kumpeleka kijijini kwa kijana mwafrika Kenya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani