Sijawahi jeruhi mchezaji:Costa
Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Diego Costa amesema hajawahi kumjeruhi mchezaji mwenzake kwa makusudi mchezoni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Mchezaji ‘aliyechokozwa’ na Costa apewa marashi
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.
“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNbVwA6g8OVC1JCI99UlEulNe02bjN2ani3vyQ3N2*jvCTsD6Q-Y2Q8vsAOwsy9ApPOabFMhKK3JEWQxomgcl*5t/linahusagaji.jpg?width=650)
LINA: SIJAWAHI KUSAGANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycFntjlozty*du7TwhdlC91urpzr7ET6-q*lbfj1I4H053ILydom2HdsIubcfgN9Bs3sJpVBbSAHB06*IvUhHPcN/julie.jpg)
JULIETH: JAMANI SIJAWAHI KUZAA
11 years ago
GPLSIJAWAHI KUTAKA KUMUOA LULU
11 years ago
Habarileo31 Jul
Zitto: Sijawahi kuwa Ukawa
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amesisitiza hajawahi kuwa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wala kundi lolote ndani ya Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa, yuko kwenye linalotaka maridhiano.
10 years ago
Habarileo18 Nov
Shein- Sijawahi kusema sitagombea
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewaonya watu wanaomsema kuwa hatagombea urais mwaka kesho, akieleza kwamba anaheshimu utaratibu wa kupata wagombea katika chama chake, hivyo kamwe watu wengine wasimsemee kuhusu suala hilo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVXr9Bndaa6DPCxytc16rhLGl4ESvSiCOfSUJtIC9HcgVx*PjHNcU3gGo53736E6nJ57lP2w*tLZWRA6NiPNCCCG/nisha.jpg?width=650)
NISHA: SIJAWAHI KUCHUKULIWA NA PEDESHEE