Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sijawahi jeruhi mchezaji:Costa

Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Diego Costa amesema hajawahi kumjeruhi mchezaji mwenzake kwa makusudi mchezoni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji ‘aliyechokozwa’ na Costa apewa marashi

Mchezaji aliyeonekana kuchokozwa na mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameahidiwa manukato ya kumtosha mwaka mmoja.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa

Arsene 22

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.

“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...

 

9 years ago

Michuzi

MCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...

 

11 years ago

GPL

LINA: SIJAWAHI KUSAGANA

Stori: Shakoor Jongo MWANDAFADA anayekimbiza ndani ya Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ amesema anakiri kuwa usagaji upo kwa mastaa lakini yeye hajawahi kushiriki. Estelina Sanga ‘Linah’. Linah alifunguka hilo alipokuwa akifanya mahojiani na paparazi wetu hivi karibuni akasema:…

 

10 years ago

GPL

JULIETH: JAMANI SIJAWAHI KUZAA

Stori: Gladness Mallya AKANUSHA! Baada ya tetesi kuzagaa kuwa aliyekuwa Miss Progress International, Julieth William kuwa ana mtoto mchanga, mwenyewe ameibuka na kufunguka kwamba habari hizo ni za kizushi. Miss Progress International, Julieth William. Akipiga stori na paparazi wetu, Julieth alisema anashangazwa na maneno hayo ya watu kwamba ana mtoto wakati hajawahi kuzaa hivyo anaumizwa sana na tetesi hizo.… ...

 

11 years ago

GPL

SIJAWAHI KUTAKA KUMUOA LULU

Mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’. KAMA ilivyo ada mpenzi msomaji wa safu hii ya Kiti cha Moto, wiki iliyopita tulimleta kwenu mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’ ambaye mlimuuliza maswali na leo tumewaletea majibu aliyoyatoa. UNGANA NAYE... Msani wa fiamu Bongo,  Elizabeth...

 

11 years ago

Habarileo

Zitto: Sijawahi kuwa Ukawa

Zitto KabweMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amesisitiza hajawahi kuwa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wala kundi lolote ndani ya Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa, yuko kwenye linalotaka maridhiano.

 

10 years ago

Habarileo

Shein- Sijawahi kusema sitagombea

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewaonya watu wanaomsema kuwa hatagombea urais mwaka kesho, akieleza kwamba anaheshimu utaratibu wa kupata wagombea katika chama chake, hivyo kamwe watu wengine wasimsemee kuhusu suala hilo.

 

11 years ago

GPL

NISHA: SIJAWAHI KUCHUKULIWA NA PEDESHEE

SALMA Jabu maarufu kama Nisha, ni mmoja wa waigizaji wanaofanya vizuri katika kiwanda cha filamu Tanzania. Amefanya kazi nyingi zinazomfanya kuwa mmoja wa mastaa wanaoongoza kwa kushiriki katika movie nyingi. Salma Jabu 'Nisha'. Risasi Mchanganyiko lilimtafuta na kufanya naye mahojiano maalum kuhusu mambo mbalimbali yanayohusiana na sanaa yake.
Risasi: Mambo vipi Nisha?
Nisha: Poa kabisa, niambie Risasi: Unaizungumziaje...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani