Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JULIETH: JAMANI SIJAWAHI KUZAA

Stori: Gladness Mallya AKANUSHA! Baada ya tetesi kuzagaa kuwa aliyekuwa Miss Progress International, Julieth William kuwa ana mtoto mchanga, mwenyewe ameibuka na kufunguka kwamba habari hizo ni za kizushi. Miss Progress International, Julieth William. Akipiga stori na paparazi wetu, Julieth alisema anashangazwa na maneno hayo ya watu kwamba ana mtoto wakati hajawahi kuzaa hivyo anaumizwa sana na tetesi hizo.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FLORA: KUZAA RAHA JAMANI!

Msanii wa filamu Bongo, Flora Mvungi ‘H-Mama’. Stori:Chande Abdallah
Msanii wa filamu Bongo, Flora Mvungi ‘H-Mama’ amewashinikiza wasanii wenzake wa kike kuzaa mapema huku akiwataka kuingia kwenye hatua ya kuitwa mama na kusema kuzaa kuna raha yake. Akizungumza na mwandishi wetu, Flora alisema baadhi ya mastaa wamekuwa na dhana potofu kwamba, ukizaa unazeeka na utakuwa hufanyi starehe, jambo ambalo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

10 years ago

GPL

JULIETH ATESWA NA WALEMAVU WA NGOZI

Stori: Gladness Mallya MISS Progress International, Julieth William ambaye ni Mkurugenzi wa Progressive Foundation amesema kamwe hawezi kuwasahau walemavu wa ngozi kutokana na mateso wanayopata ya kukatwa viungo na kuuawa ambapo kila wakati huwa anawapatia msaada. Miss Progress International, Julieth William akiwabeba watoto wawili wenye ulemavu wa ngozi. Akizungumza hivi karibuni baada ya kutoa msaada wa vifaa mbalimbali vya...

 

11 years ago

GPL

LINA: SIJAWAHI KUSAGANA

Stori: Shakoor Jongo MWANDAFADA anayekimbiza ndani ya Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ amesema anakiri kuwa usagaji upo kwa mastaa lakini yeye hajawahi kushiriki. Estelina Sanga ‘Linah’. Linah alifunguka hilo alipokuwa akifanya mahojiani na paparazi wetu hivi karibuni akasema:…

 

10 years ago

BBCSwahili

Sijawahi panga matokeo : Herrera

Kiungo wa Manchester United Ander Herrera amesisitiza hajawahi kupanga matokeo ya mechi wakati akiichezea klabu Real Zaragoza.

 

11 years ago

Habarileo

Zitto: Sijawahi kuwa Ukawa

Zitto KabweMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amesisitiza hajawahi kuwa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wala kundi lolote ndani ya Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa, yuko kwenye linalotaka maridhiano.

 

11 years ago

GPL

SIJAWAHI KULALA NA TINY - MAYWEATHER

Picha inayodaiwa kuleta kizaazaa. Bondia Floyd Mayweather akifunguka katika mahojiano na necolebitchie.com.
BONDIA Floyd Mayweather amefunguka kuwa hajawahi kulala na mpenzi wa rappa T.I aitwaye Tiny. Mayweather ameyasema hayo ikiwa ni siku chache tangu ugomvi kati ya kundi lake na T.I utokee kisa kikitajwa kuwa ni uhusiano wa kimapenzi kati ya bondia huyo na Tiny. Katika mahojiano na mtandao wa necolebitchie.com, Floyd...

 

11 years ago

GPL

MBOTO: SIJAWAHI KUTOKA NA MSANII

MKALI wa komedi Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ amesema hajawahi kutoka kimapenzi na msanii mwenzake na hana mpango wa kufanya hivyo. Mkali wa komedi Bongo, Haji Salum ‘Mboto’. Akistorisha na Stori Mix, Mboto alisema: “Ni nadhiri niliyojiwekea tangu naanza fani hii. Kamwe siwezi kutoka na msanii mwenzangu. Unajua unapofanya kazi na mtu, anakuwa kama ndugu yako, isitoshe utakapoingiza tu mambo ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sijawahi jeruhi mchezaji:Costa

Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Diego Costa amesema hajawahi kumjeruhi mchezaji mwenzake kwa makusudi mchezoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani