Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku ya walimu imepita, kero bado zingalipo

Oktoba 5, walimu wa Tanzania waliungana na wenzao duniani kote kuadhimisha siku ya kimataifa ya walimu.Kaulimbiu ya maadhimisho ya mwaka huu inachochea uwezeshaji kwa walimu kama wajenzi muhimu wa jamii endelevu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

LUCKY DUBE; MIAKA 8 IMEPITA, BADO ANAKUMBUKWA

 Lejendari wa Reggae, marehemu Lucky Dube enzi za uhai wake. JANA Oktoba 18, ilikuwa ni kumbukumbu ya miaka nane tangu kuuawa kwa lejendari wa Reggae, Lucky Dube, aliyeuawa nyumbani kwao Afrika Kusini ‘Sauz’ Oktoba 18, 2007.Lakini licha ya kupita miaka nane, nyimbo za gwiji huyo bado hazichoshi ukizisikiliza na anabaki kuwa kwenye kumbukumbu milele. Dube alitokea wapi? Dube alizaliwa Agosti 3, mwaka 1964 katika Mji wa...

 

10 years ago

Habarileo

JK aahidi kuzika kero za walimu

Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia walimu katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), uliofanyika katika Hoteli ya Ngurdoto nje kidogo ya mji wa Arusha jana. Mkutano huo pia utawachagua viongozi wapya wa chama hicho. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amesema atahakikisha anamaliza matatizo yote yanayowakabili walimu kote nchini katika kipindi kilichobaki cha utawala wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT: Serikali itatue kero za walimu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya Morogoro kimeitaka serikali kuepusha migogoro kati yake na walimu. Rai hiyo imetolewa na Katibu wa CWT, Maswi Munada alipomkaribisha Mkurugenzi wa Manispaa, Jorvis...

 

10 years ago

Habarileo

Ukatili wa kijinsia bado kero Manyara

UKATILI wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana ni moja ya vikwazo vya maendeleo mkoani Manyara, vinavyochangiwa na mila na desturi potofu katika jamii hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Upatikanaji wa walimu wa ufundi stadi bado changamoto

 

Ukosefu wa ajira ya moja kwa moja kutoka Serikalini kwa walimu wenye taaluma ya ufundi stadi, imeelezwa bado ni changamoto kubwa inayowakabili walimu hao, hatua inayosababisha baadhi ya vyuo vya Ufundi stadi nchini, kuajiri walimu wasio na sifa zinazojitosheleza katika kada hiyo.

Mpaka sasa Tanzania ina chuo kimoja pekee, kinachofundisha ualimu wa ufundi stadi, huku changamoto ya soko la ajira kwa wahitimu wanaomaliza katika chuo hicho bado halijatafutiwa utatuzi.

Tanzania iko katika...

 

9 years ago

StarTV

Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto

Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.

Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.

Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA

Mafuriko yaliyojitokeza jana Tegeta picha zote za juu. …

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona

Na Andrew Chale, Modewji blog

Kufuatia mvua kubwa  inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu  mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.

Modewji blog  imeshuhudia maeneo kadhaa  katikati ya jiji na maeneo  mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.

 Baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

CWT WAADHIMISHA SIKU YA WALIMU DUNIANI

Mratibu wa Uhakiki wa Ubora wa Elimu kutoka Shirika la Kijamii la Masuala ya Elimu (Haki Elimu), Robert Mihayo akitoa mada kuhusu Ubora wa Elimu Tanzania wakati wa semina ya maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliandaliwa na TEN/MET kwa kushirikiana na Chama Cha Walimu Tanzania (CWT).
Ofisa Mradi wa TEN/MET, Alistidia Kamugisha (kulia), Meneja wa Fedha na Utawala (TEN/MET), Beatrice Malya (katikati) na Mratibu wa TEN/MET, Cathleene Sekwao. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani