Siku ya walimu imepita, kero bado zingalipo
Oktoba 5, walimu wa Tanzania waliungana na wenzao duniani kote kuadhimisha siku ya kimataifa ya walimu.Kaulimbiu ya maadhimisho ya mwaka huu inachochea uwezeshaji kwa walimu kama wajenzi muhimu wa jamii endelevu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrK180VAjMxIIv2CEJcTr7UOZ*IjoqNIBi0gMr2*TyjGBwibhkOEm8DWHPJVr4c2jbYTy8xT24qbeyZUiDe5EBGf/maxresdefault.jpg?width=650)
LUCKY DUBE; MIAKA 8 IMEPITA, BADO ANAKUMBUKWA
10 years ago
Habarileo28 May
JK aahidi kuzika kero za walimu
RAIS Jakaya Kikwete amesema atahakikisha anamaliza matatizo yote yanayowakabili walimu kote nchini katika kipindi kilichobaki cha utawala wake.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
CWT: Serikali itatue kero za walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya Morogoro kimeitaka serikali kuepusha migogoro kati yake na walimu. Rai hiyo imetolewa na Katibu wa CWT, Maswi Munada alipomkaribisha Mkurugenzi wa Manispaa, Jorvis...
10 years ago
Habarileo31 Jul
Ukatili wa kijinsia bado kero Manyara
UKATILI wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana ni moja ya vikwazo vya maendeleo mkoani Manyara, vinavyochangiwa na mila na desturi potofu katika jamii hiyo.
9 years ago
StarTV21 Dec
Upatikanaji wa walimu wa ufundi stadi bado changamoto
Ukosefu wa ajira ya moja kwa moja kutoka Serikalini kwa walimu wenye taaluma ya ufundi stadi, imeelezwa bado ni changamoto kubwa inayowakabili walimu hao, hatua inayosababisha baadhi ya vyuo vya Ufundi stadi nchini, kuajiri walimu wasio na sifa zinazojitosheleza katika kada hiyo.
Mpaka sasa Tanzania ina chuo kimoja pekee, kinachofundisha ualimu wa ufundi stadi, huku changamoto ya soko la ajira kwa wahitimu wanaomaliza katika chuo hicho bado halijatafutiwa utatuzi.
Tanzania iko katika...
9 years ago
StarTV02 Oct
Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto
Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.
Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.
Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9Xwf8*BIwQl1J1v5-ygXWZFQm8NoahxBuluzMaHLpFkvX8ZcHxnBrwv4S92Z2gFYVFkWVGg2iLoxTnKUvAR4PE2q/IMG_0671.jpg?width=650)
MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...
10 years ago
MichuziCWT WAADHIMISHA SIKU YA WALIMU DUNIANI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10