Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simanzi Kombani arejeshwa nyumbani

SIMANZI, majonzi na vilio vilitawala jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, wakati ndege ya Shirika la Ndege la Emirates, iliyobeba mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani (pichani), ilipokuwa ikitua katika uwanja huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Simanzi zatawala mapokezi mwili wa Celina Kombani

Huzuni, simanzi na majonzi jana vilitawala Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), wakati mwili wa Celina Kombani, aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ulipowasili.

 

11 years ago

GPL

NI VILIO, SIMANZI NYUMBANI KWA MAREHEMU RECHO

Miili ya marehemu Recho na mwanae ikiwasili nyumbani kwa marehemu eneo la Palestina jijini Dar.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu Tutu arejeshwa hospitali

Askofu Desmond Tutu na mshindi wa nishani ya Nobel amerejeshwa tena Hospitali kwa matibabu zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pagan Amum arejeshwa serikalini S Kusini

Katibu mkuu wa chama tawala nchini Sudan kusini amerudishwa katika wadhifa wake baada ya kuishi kwa mwaka uhamsihoni nchini Kenya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Rais arejeshwa Baraza la Ulinzi na Usalama

WAKATI rasimu ya Katiba Mpya ikimwondoa Rais wa Jamhuri ya Muungano katika Baraza la Ulinzi na Usalama wa Taifa lenye wajumbe 13, mapendekezo ya wajumbe walio wengi katika taarifa za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muingereza mwenye Ebola arejeshwa kwao

Muingereza aliyekuwa katika huduma za utibabu nchini Sierra Laone apata ebola na atarajiwa kutibiwa kwao

 

11 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa Boko Haram arejeshwa Nigeria

Mshukiwa wa mashambulizi mawili yaliyofanyika Nigeria, na kuwaua watu 75, amerejeshwa nchini Nigeria kutoka Sudan.

 

10 years ago

GPL

Kiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC

Mshambuliaji wa Simba,Paul Kiongera. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas Dar es Salaam
TIMU ya Simba imepanga kumrejesha kiungo mshambuliaji Paul Kiongera katika usajili mkubwa wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho.Wakati mipango ikiwa hivyo, kiungo huyo ametoa kauli kuwa anakuja akiwa fiti, hiyo ikimaanisha kuwa ushindani wa namba kwenye idara ya ushambuliaji utakuwa mkali kati yake na Elias...

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeiba dola Milioni 100 arejeshwa China

Shirika la habari la taifa la Uchina, linaarifu kuwa afisa wa zamani ambaye anashutumiwa kwa ufisadi mamilioni ya dola, amerejeshwa nyumbani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani