Simba SC yapitisha 28
Majina 28 ya wachezaji waliosajiliwa Simba kwa ajili ya msimu ujao yamekabidhiwa juzi katika kikao cha kamati ya utendaji ya klabu hiyo kilichoongozwa na rais wao, Evans Aveva na kupitisha usajili huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSIMBA YAPITISHA MAREKEBISHO YA KATIBA MPYA
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Tanzania yapitisha muswada wa ajira
11 years ago
Habarileo08 May
Kamati yapitisha bajeti ya Ujenzi
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka ujao wa fedha 2014/2015, ya Sh trilioni 1.2, fedha zilizoelekezwa katika matumizi ya kawaida na ya maendeleo katika wizara hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Bagamoyo yapitisha bajeti bil. 45/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bagamoyo inatarajia kukusanya sh bilioni 45 katika mwaka wa fedha wa 2014/ 2015 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato. Taarifa hiyo iliwasilishwa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi...
10 years ago
Mwananchi14 Aug
CCM yapitisha wagombea ubunge
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
UK yapitisha Sheria ya mtoto wa wazazi 3
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Halmashauri Ushetu yapitisha bajeti bil. 32/-
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga limepitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya sh bilioni 32.5 kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Akisoma mapendekezo...
11 years ago
Michuzi
KAMATI YA SHERIA YAPITISHA USAJILI WA WACHEZAJI

Kasoro hizo ni kufikia makubaliano na klabu ambazo wachezaji husika wametoka, kuwafanyia uhamisho (transfer) na kulipa ada za uhamisho. Kamati vilevile ilibaini wachezaji wengi hawakufanyiwa uhamisho kama kanuni za ligi hizo zinavyoelekeza.
Hivyo, klabu...
10 years ago
Michuzi
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 50.1
Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo mbele ya wajumbe wa mkutano wa maalum wa Baraza la Madiwani Dar es Salaam,Meya wa Manispaa wa Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema kuwa mbali ya fedha hizo ambazo ni makusanyo ya ndani pia wanatarajia kupokea shilingi bilioni 128.6 ikiwa ni ruzuku...