Simu katika chaja yaua msikilizaji
ALI Bakari Ali (20) mkazi wa Kisima Majongoo mjini Unguja amekufa baada ya simu yake aliyokuwa akitumia ambayo ilikuwa imeunganishwa na chaja ya umeme kupata hitilafu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/phone-2.jpg)
MFUNGWA AMEZA SIMU NA CHAJA MBILI
Picha ya kipimo cha X-ray ikionesha simu na chaja zikiwa zimesagwasagwa ndani ya tumbo la mfungwa huyo. Simu na chaja alizomeza mfungwa huyo. Mfungwa akitoka kusalimia ndugu na jamaa zake. MFUNGWA mmoja (hakufahamika jina lake) nchini Brazil amemeza simu ya mkononi na chaja zake mbili wakati akijihami na kukataa kuingizwa gereza la Papunda liliyopo mji mkuu wa nchi hiyo, Brasilia. Tukio hilo lilitokea juzi wakati mfungwa huyo na...
11 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
Kiama cha wafanyakazi wa mizani chaja
Watendaji TANROAD, madereva wa malori wawekwa kikaangoni
MOHAMMED ISSA NA
MWAMVUA MWINYI
SERIKALI imesema itaingia mkataba maalumu na wafanyakazi wa mizani ya Vigwaza, Kibaha mkoani Pwani kwa lengo la kuwadhibiti ili wasiuchakachue na kupitisha magari yaliyozidisha mizigo.
Pia imewaonya baadhi ya watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kuacha mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mbali na hilo, imewatangazia kiama madereva...
11 years ago
BBCSwahili04 May
Milipuko yaua katika mabas 2 Nairobi
Watu kadhaa wamehofiwa kufariki na wengine kujeruhiwa kufuatia milipuko miwili katika mji mkuu wa Kenya Nairobi.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s72-c/Super%2BBat.jpg)
KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s640/Super%2BBat.jpg)
Na Daniel Mbega, MkomaziNI majira ya saa tatu asubuhi Jumatano, Septemba 16, 2015 wakati tunawasili kwenye uwanja mdogo wa ndege (air strip) katika eneo la Kisima ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi inayotenganisha mikoa ya Kilimanjaro na Tanga.Uwanja unaonekana mweupe, hakuna ndege! Nikashangaa kwa sababu wenyeji wetu kampuni ya Bathawk Recon wametuambia tunakuja kushuhudia uzinduzi wa ndege maalum zinazopambana na ujangili.Kilichoonekana mbele yetu ni hema...
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s640/Super%2BBat.jpg)
KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO
Ndege aina ya Super Bat DA-50 Ndege zilizojaribiwa, DT-18 ilijaribiwa Tarangire Hii ilitengenezwa Ufaransa. Ni ndogo sana, inaweza kuruka kwa saa mbili tu katika nusu kipenyo cha kilometa 15 kutoka ilipo mitambo. DT-26 ilijaribiwa Selous…
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Radi yapiga kanisa, yaua watu watano walikuwa katika ibada ya Pasaka.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph%20konyo-7April2015.jpg)
Watu watano wamefariki dunia papo hapo katika kijiji cha Shilabela, kata ya Bwanga, wilayani Chato, mkoa wa Geita, baada ya kupigwa na radi wakati wakiendelea na ibada ya Sikukuu ya Pasaka.
Tukio hilo lilitokea juzi jioni kwenye Kanisa la Assemblies of God Tanzania (AGT) na kujeruhi watu wengine 18 wakati wakiwa kwenye maadhimisho ya sikukuu ya kufufuka kwa Yesu Kristo, Pasaka. Kati ya majeruhi hao, wanne wamelazwa katika Zahanati ya Bwanga,...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ALZSZA22W-w/default.jpg)
SIMU TV: UCHAMBUZI WA MAGAZETI KATIKA TV LEO
Ch10: Je unafahamu wahariri wameruhusu habari gani kunako uwanja wa siasa Jumapili ya leo? fuatilia uchambuzi wa magazeti. https://youtu.be/7f2OspbfSi4Star tv:Je kampeni za uraisi zimetoka na habari gani mpya? Tazama uchambuzi wa kina wa magazeti ya leo september 27. https://youtu.be/UE8J9qAR1twTbc: Je wafahamu yaliyo jiri kwenye ulingo wa siasa kuelekea uchaguzi mkuu? Tazam uchambuzi wa magazeti hapa. https://youtu.be/VXrY_xIrq9c
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Ujumbe katika simu na haki za wateja
Ni dhahiri wengi tumewahi kupokea ujumbe mfupi wa maneno (sms) bila wenyewe kutaka, halafu hapo hapo utaona kiasi fulani cha fedha kimeondoka kutokana na ujumbe huu.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/YUpG-fOWKhE/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania