Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siogopi Kurogwa- Mkwere Original

MCHEKESHAJI mahiri katika tasnia ya filamu Hemed Maliyaga ‘Mkwere Orijino’ amesema kuwa anaposema ukweli haogopi kurogwa kwa sababu anaamini anachokisema ni kwa ajili ya kuweka sawa kama ni rafiki au mwigizaji mwenzake akienda tofauti.

“Mimi nasema tu, siogopi kurogwa bwana utaniroga wewe mimi narogwa na watanzania wengi ninaowafurahisha kila siku, nasema wasanii tubadilike katika kujitenga katika matukio kama maradhi, misiba na sherehe tushirikiane tupendane,”anasema Mkwere.

Mkwere...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mkwele Orijino: Siogopi Kurogwa

Mchekeshaji mahiri katika tasnia ya filamu hapa Bongo  Hemed Maliyaga ‘Mkwere Orijino’ amesema kuwa anaposema ukweli haogopi kurogwa kwa sababu anaamini anachokisema ni kwa ajili ya kuweka sawa kama ni rafiki au mwigizaji mwenzake akienda tofauti.

“Mimi nasema tu, siogopi kurogwa bwana utaniroga wewe mimi narogwa na watanzania wengi ninaowafurahisha kila siku, nasema wasanii tubadilike katika kujitenga katika matukio kama maradhi, misiba na sherehe tushirikiane tupendane,”anasema...

 

10 years ago

GPL

MKWERE APATA MTOTO WA KIKE

Mtoto wa Komediani maarufu nchini, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ aliyepewa jina la Shamsa Hemedi Maliyaga. Chande abdallah MSANII wa komedi anayeuza sura kupitia Kipindi cha Mizengwe kinachorushwa katika Kituo cha Televisheni cha ITV, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ amefunguka kuwa anajivunia kupata mtoto wa kike baada ya mkewe kujifungua hivi karibuni.
 Mke wa Mkwere na watoto wake, Shamsa na Kamira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkwere ateuliwa Balozi ‘Tupe Jina’

MUIGIZAJI wa vichekesho kutoka kundi la Mizengwe, Hemed Khalida ‘Mkwere’, ameula baada ya kuchaguliwa kuwa balozi wa kuhamasisha upatikanaji wa jina la Kampuni ya Simu iliyozinduliwa bila jina. Kampeni hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkwere: Nikiwa nyumbani ni baba, mshauri, mume

Kwa akili ya haraka umwonapo unaweza kusema kuwa ni kijana anayepoteza muda katika anachokifanya. Akiwa kazini na kumwona katika luninga, unaweza kucheka hata ukashindwa kupumua kutokana na vituko vyake.

 

10 years ago

Vijimambo

LULU MICHAEL Agoma kumtaja BABA wa Mimba yake ...Kisa Kuogopa KUROGWA

\lizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anaogopa wachawi kumtaja mhusika wa mimba aliyonayo.Lulu alifunguka hayo juzikati wakati mwanahabari wetu alipotaka kujua mhusika wa mzigo alionao ndipo msanii huyo aliposema aachwe kwanza maana wachawi ni wengi.“Mh! Naomba mniache kwanza maana mjini hapa wachawi ni wengi, mambo yakiwa freshi kila mmoja atamjua,” alisema Lulu.

 

9 years ago

Mtanzania

Belle 9: Siogopi wanasiasa

BelleNA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI wa RnB asiye na tuzo, Abelnego Damian ‘Belle 9’, ameweka wazi kwamba kujiamini ndiko kulikomfanya atoe video mpya ya wimbo wake wa ‘Shauri Zao’ licha ya pilika nyingi za kuelekea uchaguzi wa Oktoba 25.

Belle 9 alisema wengi walidhani ataogopa kuachia video hiyo mpya kwa hofu ya kukosa mashabiki kutokana na mchakato na mvutano mkubwa wa mashabiki wa muziki kuwa katika masuala ya siasa.

“Mimi siogopi wanasiasa, unajua watu wengi wanasahau kwamba kuna muda watu...

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima:Siogopi mtu wala kufa

IMG_2845Na Asifiwe George,Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima,amesema haogopi mtu yeyote wala kufa bali ataendelea kuinyoosha nchi anapoona haiendi sawa.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana,wakati wa mahubiri yaliyofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe.
Alisema uhusiano wake na watu mbalimbali wakiwamo wanasiasa utaendelea kubaki palepele.
Kwa mujibu Askofu Gwajima, baadhi ya watu wamekuwa wakimhusisha kuwa na urafiki na Waziri Mkuu wa zamani, Edward...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu

Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.

Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka nizaliwe hajawahi kuninunulia ata pipiii!!!

Sasa ni hivi kusemwa mimi siogopi na matus pia siogopi kabisa coz...

 

11 years ago

Mwananchi

Pamela Maasay: Siogopi kuvuliwa wadhifa huu

Siku chache baada ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba (Ukawa) kutoka bungeni, Pamela Maasay amesema hana hofu ya kufukuzwa ujumbe wa Bunge hilo kwa sababu ya kutetea kazi iliyompeleka bungeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani