Siri ya Mizengo Pinda kunusurika yatajwa
Siri ya kunusurika kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow imebainika kuwa wajumbe wa Kamati ya Maridhiano walikubaliana kumwacha kutokana na kubakiza muda mfupi na pia kukwepa kuvunja Baraza la Mawaziri kwa mara ya pili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIv90swKBrvBFYJBuDncJNMabGtJw7XmGkyi7ruxW45mnQA0ZAStR8oBoRbFI77LRWH*QiOoxkH8k9Ox-jjWSiiU/RAISKIKWETE.jpg)
JK:AKATISHA ZIARA YA MIZENGO PINDA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Waziri Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu. Waziri Mkuu ambaye yuko katika ziara ya kutembelea nchi za Falme za Kiarabu, ikiwa ni sehemu ya kudumisha ushirikiano na kutafuta wawekezaji, amekatisha ziara hiyo siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu...
11 years ago
IPPmedia05 Mar
Prime Minister Mizengo Pinda
IPPmedia
IPPmedia
Any provision of the proposed constitution that will not be approved by two thirds majority of the total number of members of the Constituent Assembly from Tanzania mainland and Zanzibar will be considered as rejected. This is in accordance with section ...
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
JK:Akatiza ziara ya Mizengo Pinda
Waziri Mizengo Pinda wa Tanzania amekatiza ziara yake Falme za Kiarabu ,kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Mizengo Pinda kuwania Urais Tanzania
Waziri mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda, atangaza kuwania Urais katika mahojiano na BBC
10 years ago
Vijimambo01 Jul
WAZIRI MKUU, MH MIZENGO PINDA AREJESHA FOMU
![mail.google.com](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mail.google.com_34.jpg)
![mail.google.comm](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mail.google.comm_2.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Mizengo Pinda ataka kanuni za Bunge zibadilishwe
Uamuzi wa wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge wakisusia uhitimishaji wa mjadala wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, kimemzindua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye amependekeza kubadilishwa kwa kanuni za Bunge ili kuwadhibiti.
10 years ago
BBC News27 Nov
Tanzania PM Mizengo Pinda caught in corruption row
BBC News
BBC News
Tanzania's prime minister is under pressure to resign over alleged fraudulent payments worth $120m (£76m) to an energy firm and top officials. Mizengo Pinda failed to properly oversee government finances, a parliamentary watchdog committee said.
Tanzania PM asked to resign over escrow account scandalNewstime Africa
Prime Minister Mizengo PindaIPPmedia
all 3
10 years ago
Spyghana.Com12 May
PM Mizengo Pinda lays emphasis on fair education
spyghana.com
spyghana.com
Officiating at the opening of the Education Week here, the Prime Minister said there was no excuse for any child to miss out on schooling as the government was working round the clock to ensure its effective provision. “Our constitution clearly states that every ...
PM lays stress on fair learningDaily News
all 3
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Wanawake chachu kuondoa umaskini-Mizengo Pinda
Serikali imesema wanawake wa Tanzania watakuwa chachu ya taifa kuwa na uchumi wa ushindani utakaoondoa umaskini iwapo wataweza kutambua na kushiriki katika fursa zinazowazunguka kiuchumi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania