Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siri ya Mizengo Pinda kunusurika yatajwa

Siri ya kunusurika kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow imebainika kuwa wajumbe wa Kamati ya Maridhiano walikubaliana kumwacha kutokana na kubakiza muda mfupi na pia kukwepa kuvunja Baraza la Mawaziri kwa mara ya pili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JK:AKATISHA ZIARA YA MIZENGO PINDA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Waziri Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu. Waziri Mkuu ambaye yuko katika ziara ya kutembelea nchi za Falme za Kiarabu, ikiwa ni sehemu ya kudumisha ushirikiano na kutafuta wawekezaji, amekatisha ziara hiyo siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu...

 

11 years ago

IPPmedia

Prime Minister Mizengo Pinda


IPPmedia
Prime Minister Mizengo Pinda
IPPmedia
Any provision of the proposed constitution that will not be approved by two thirds majority of the total number of members of the Constituent Assembly from Tanzania mainland and Zanzibar will be considered as rejected. This is in accordance with section ...

 

10 years ago

BBCSwahili

JK:Akatiza ziara ya Mizengo Pinda

Waziri Mizengo Pinda wa Tanzania amekatiza ziara yake Falme za Kiarabu ,kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mizengo Pinda kuwania Urais Tanzania

Waziri mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda, atangaza kuwania Urais katika mahojiano na BBC

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU, MH MIZENGO PINDA AREJESHA FOMU

mail.google.comWaziri Mkuu,Mizengo Pinda akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhavi fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini Dodoma Juni 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)mail.google.comm Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizunguza na waandishi wa habari baada ya kurejesha fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini DOdoma Juni 30, 2015.Wapili kulia ni mkewe Tunu na kulia ni mjukuu, michele.

 

11 years ago

Mwananchi

Mizengo Pinda ataka kanuni za Bunge zibadilishwe

Uamuzi wa wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge wakisusia uhitimishaji wa mjadala wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, kimemzindua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye amependekeza kubadilishwa kwa kanuni za Bunge ili kuwadhibiti.

 

10 years ago

BBC News

Tanzania PM Mizengo Pinda caught in corruption row


BBC News
Tanzania PM Mizengo Pinda caught in corruption row
BBC News
Tanzania's prime minister is under pressure to resign over alleged fraudulent payments worth $120m (£76m) to an energy firm and top officials. Mizengo Pinda failed to properly oversee government finances, a parliamentary watchdog committee said.
Tanzania PM asked to resign over escrow account scandalNewstime Africa
Prime Minister Mizengo PindaIPPmedia

all 3

 

10 years ago

Spyghana.Com

PM Mizengo Pinda lays emphasis on fair education


spyghana.com
PM Mizengo Pinda lays emphasis on fair education
spyghana.com
Officiating at the opening of the Education Week here, the Prime Minister said there was no excuse for any child to miss out on schooling as the government was working round the clock to ensure its effective provision. “Our constitution clearly states that every ...
PM lays stress on fair learningDaily News

all 3

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake chachu kuondoa umaskini-Mizengo Pinda

Serikali imesema wanawake wa Tanzania watakuwa chachu ya taifa kuwa na uchumi wa ushindani utakaoondoa umaskini iwapo wataweza kutambua na kushiriki katika fursa zinazowazunguka kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani