SKAINA: WAOMBA RUSHWA YA NGONO WAMENIKATISHA TAMAA!
![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqk5CBZT3S2Nc2kSh3gdr*R4Ncd1MAgjgKnvWFH6Sm13FJ4HL*6qhA4FdIz6JTIP-YncDc5IAUi6I6ko9kOP7v9T/Skyner2.jpg?width=650)
BRIGHTON MASALU SKYNER Ally ‘Skaina’ amekiri kukutana na changamoto ya kuombwa rushwa ya ngono na baadhi ya wazalishaji wa filamu (producers), ili aweze kuonekana kwenye filamu mbalimbali, jambo ambalo anakiri kumkatisha tamaa katika safari yake ya kufika mbali kisanii. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1KWNriy
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Q*aLMEZ1JbfKvJbjG3Og1VI37bdvOeLa89mvDrIXnBy5H1pe3VsTIficyXwfOTEDSERPoF-6DmMAnpOHmHb7Ig/FRONT.jpg?width=650)
RUSHWA YA NGONO YAMNASA KANJIBAI
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Rushwa ya ngono iliniondoa Kaole-Batuli
Msanii wa bongo movie Batuli ameweka wazi kuwa alikimbia kundi la Kaole sanaa Group baada ya kukutana na changamoto nyingi ikiwepo changamoto ya rushwa ya ngono, Batuli amefunguka hayo leo alipokuwa katika kipengele cha Kikaangoni kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Batuli alifunguka na kusema kuwa moja ya sababu kubwa ambayo ilimfanya kuondoka katika kundi hilo ilikuwa kuombwa rushwa ya ngono ili aweze kupewa kipaumbele zaidi kuliko wasanii wengine...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORUJX1ZpgX4NZf5gUDOpccLu-yDH50r85OFQY7Bmay-RNhZoEzN9HFMuR7Z5l*k5-hswzv3R59Ngoy-gjDgVtGV/sandra.jpg?width=650)
SANDRA NA RUSHWA YA NGONO BONGO MOVIE
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Rushwa, ngono tatizo Miss Tanzania
10 years ago
GPL16 Feb
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSyC6r8gDetBMjh6mu*oc*sz*amIThchvVqcVpfTVoP2Mte79Cn4xsFvEYBnq59GjO7udumUel4z2fkLFfR92yz/MENINA.jpg)
MENINAH AFUNGUKIA RUSHWA YA NGONO BSS
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu
AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa. Anadaiwa kutumia...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Mkiombwa rushwa ya ngono semeni-Wajiki