SKENDO MADAWA YA KULEVYA YAMNYOOSHA MASOGANGE
Stori: Mwandishi Wetu VIDEO Queen maarufu Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amekuwa makini na kusafiri kwa tahadhari kubwa baada ya kunusurika kwenye msala wa madawa yaliyodaiwa kuwa ni ya kulevya nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ mwaka jana. Video Queen maarufu Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’. Masogange alisema kwa sasa akipewa begi na mtu yeyote lazima alikague kwani hakufanya hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2
10 years ago
GPLMADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA
10 years ago
GPLPADRI: MADAWA YA KULEVYA YAMETUCHAFUA UINGEREZA
10 years ago
Bongo Movies11 Aug
Nisha Akana Kukamatwa na Madawa ya Kulevya
Msanii wa tasnia ya Bongo movie nchini Salama Jabu alimaarufu kama Nisha ameibuka na kuwatoa hofu watanzania pamoja na mashabiki wake kuwa hajakamatwa na madawa ya kulevya kama ambavyo taarifa zinavyosambaza katika mitandano ya kijamii.
Nisha kwa sasa yupo nchini China amekanusha taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram baaada ya kuona akiulizwa sana na kupewa pole na watu wake wa karibu. Nisha amesema huwa si kawaida yake kujibu au kutolea ufafanuzi mambo ambayo huwa ni uzushi lakini...
11 years ago
GPLDUDE AKIRI KUBEBESHWA MADAWA YA KULEVYA
10 years ago
GPLMADAWA YA KULEVYA, CHONJI HALI TETE
11 years ago
GPLMADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO