Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ: Hakuna mwenye ubavu wa kuipora Pemba

>Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema Kisiwa cha Pemba ni miliki ya Zanzibar na sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hakuna nchi yoyote yenye ubavu wa kukichukua kisiwa hicho, imeelezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Loga: Hakuna mwenye namba Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Logarusic Zdravko, amewataka nyota wake kujituma katika mazoezi kuwa fiti zaidi ili kupata namba katika kikosi cha kwanza akisema haoni mwenye uhakika wa namba. Loga aliyejipambanua...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukweli hakuna mwenye kuitaka Taifa Stars

Taifa Stars inapoingia uwanjani, kila mmoja anataka kuona inashinda. Si timu hiyo, hata timu nyingine, kila mmoja anataka kuona ushindi unapatikana.

 

10 years ago

GPL

FAIZA: HAKUNA STAA MWENYE FIGA KAMA YANGU

Stori: Imelda Mtema/Amani
MZAZI mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema kuwa hakuna staa yeyote hapa Bongo mwenye figa kama yake ya kuweza kuvaa ‘bikini’ na kujiachia kama yeye. Mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally. Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao...

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna mtoto wa staa mwenye mvuto zaidi ya Tanzanite — H.Baba

H.Baba amejigamba kwa kusema kuwa hakuna staa wa Tanzania mwenye mtoto mwenye mvuto kumzidi mwanae Tanzanite!!!!??? H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa tayari mtoto wake huyo amepata tangazo la kimataifa nchini Kenya. “Mwezi ujao mama yake ana safari naye kwenda Kenya kufanya tangazo,” amesema muimbaji huyo. “Sema tunashindwa kuweka wazi mambo yetu kwa sasabu kuwa watu wanapiga […]

 

10 years ago

Vijimambo

Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu

Na Yericko Nyerere
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Hoteli mpya ya New Pemba Seaview yafunguliwa Machomane, Pemba


Mwonekano wa Hoteli WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud Mohamed akizungumza na wananchi wa Machomanne Chake Chake Pemba, kabla ya kuifunguwa hoteli ya Muwekezaji Mzalendo wa Pemba.WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, akihimiza jambo kabla ya kuifungua hoteli ya Mzalendo kisiwani Pemba, Halfan Hababu (Kidishi)kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akiwa pamoja na viongozi mbali...

 

11 years ago

GPL

MASTAA NA UBAVU WAO

MAKALA: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ aliwahi kusema ndoa si lazima lakini inaongeza heshima katika jamii. Kwa upande wa kiroho, kuoa au kuolewa ni agizo lililotolewa na Mwenyezi Mungu katika maandiko matakatifu. H.Baba na mkewe Flora. Leo katika makala haya tunakuletea mastaa wa muziki na filamu Bongo wakiwa na ubavu wao, japokuwa ni wasanii lakini pia wana maisha ya ndoa. Wapo mastaa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Etoile na Yanga kupimana ubavu

Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inategemewa kuwasili Dar es Salaam wiki hii kwa ajili ya mechi dhidi ya Yanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani