SMZ: Hakuna mwenye ubavu wa kuipora Pemba
>Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema Kisiwa cha Pemba ni miliki ya Zanzibar na sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hakuna nchi yoyote yenye ubavu wa kukichukua kisiwa hicho, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Loga: Hakuna mwenye namba Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Logarusic Zdravko, amewataka nyota wake kujituma katika mazoezi kuwa fiti zaidi ili kupata namba katika kikosi cha kwanza akisema haoni mwenye uhakika wa namba. Loga aliyejipambanua...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Ukweli hakuna mwenye kuitaka Taifa Stars
Taifa Stars inapoingia uwanjani, kila mmoja anataka kuona inashinda. Si timu hiyo, hata timu nyingine, kila mmoja anataka kuona ushindi unapatikana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-1QKcpxDQeWTt4Z4sFF4K0C-H80zFZqIAEAkJHclALqTBcrmKTGfjiEeDtNdZCPuLgEtPj2CAg38t2IBF*mhmhP/Faiza.jpg)
FAIZA: HAKUNA STAA MWENYE FIGA KAMA YANGU
Stori: Imelda Mtema/Amani
MZAZI mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema kuwa hakuna staa yeyote hapa Bongo mwenye figa kama yake ya kuweza kuvaa ‘bikini’ na kujiachia kama yeye. Mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally. Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao...
9 years ago
Bongo524 Sep
Hakuna mtoto wa staa mwenye mvuto zaidi ya Tanzanite — H.Baba
H.Baba amejigamba kwa kusema kuwa hakuna staa wa Tanzania mwenye mtoto mwenye mvuto kumzidi mwanae Tanzanite!!!!??? H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa tayari mtoto wake huyo amepata tangazo la kimataifa nchini Kenya. “Mwezi ujao mama yake ana safari naye kwenda Kenya kufanya tangazo,” amesema muimbaji huyo. “Sema tunashindwa kuweka wazi mambo yetu kwa sasabu kuwa watu wanapiga […]
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/zjg0sWbML4M/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PrrRyV2txE0/VSKwP867ZSI/AAAAAAABq-M/okGnoKCAXy8/s72-c/11050834_796847653703263_8242308058899657421_n.jpg)
Hoteli mpya ya New Pemba Seaview yafunguliwa Machomane, Pemba
![](http://1.bp.blogspot.com/-PrrRyV2txE0/VSKwP867ZSI/AAAAAAABq-M/okGnoKCAXy8/s1600/11050834_796847653703263_8242308058899657421_n.jpg)
Mwonekano wa Hoteli
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-5pySBOR0S0lnWdIgA0ybKLLubdz9LklRY4bkSEMz74sQNs91kVLRVRwzzPYaWi4fi2sUVB23SXwphOvTxuGI87/mastaa.jpg?width=650)
MASTAA NA UBAVU WAO
MAKALA: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ aliwahi kusema ndoa si lazima lakini inaongeza heshima katika jamii. Kwa upande wa kiroho, kuoa au kuolewa ni agizo lililotolewa na Mwenyezi Mungu katika maandiko matakatifu. H.Baba na mkewe Flora. Leo katika makala haya tunakuletea mastaa wa muziki na filamu Bongo wakiwa na ubavu wao, japokuwa ni wasanii lakini pia wana maisha ya ndoa. Wapo mastaa wa...
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Etoile na Yanga kupimana ubavu
Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inategemewa kuwasili Dar es Salaam wiki hii kwa ajili ya mechi dhidi ya Yanga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania